Hapa ni Benghazi 1983 wakati huo Jenerali akiwa naibu katibu mkuu wa Pan African Youth Movement, Ghadafi alikuwa ndio mfadhili mkuu wa Pan African Youth movement
I was searching for some road signs in Africa, ghafla nikakutana na hii site. It is interesting to see white peoples views and attitudes towards African life.
Cheki huyu mzungu mapicha...
Hizi totozi ni tamu wajameni.....ziko cool hazina mapepe na ile inglishi yao raha tupu...ukitaka mfaidi vizuri mnyeshe wine au Amarula.....
Ningekuwa raisi huyu ningempa ubunge viti...
hivi kati ya huyu jamaa na ferre gola nani mkali zaidi katika kutunga,kuimba,kucheza,nidhamu,uwajibikaji,kuudumisha muziki wa bakongo,kushambulia jukwaa,mavazi,uongozi mzuri wa...