Hawa asili yao wanakuwa kama machotara kama vile wasomali, they're not reffering themselves as pure africans with dark skin. Sasa wewe mmatumbi unawataka hao na dada zenu nao wataolewa na nani, frankly they look down on black africans mostly are married to whites or if you have money if you know what I mean!
Sasa achane upumbavu wa kutaka vya kung'aa nyinyi ndio sababu ya dada zetu wa kibongo kujichubua.
Watoto wa kihabeshi wazuri, tatizo lao kule ikulu nyasi huwa hazipunguzwi kama sio kuondolewa kabisa.... Unaweza taka kwenda kumsalimia mkuu usione mlango wa ikulu sababu ya nyasi zilivyoshona!!!
Tatizo lao kubwa ni ubaguzi na wanaamini katika kuchukuana wenyewe kwa wenyewe,na wewe usiye muhabeshi ukijidai kulibeba la hivyo ni vyema ukawa huna wivu maana lazima atakuwa akichakachuliwa na muhabeshi mwenzake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.