Baba mtoto wa Fina Mango ndo huyu?

Baba mtoto wa Fina Mango ndo huyu?

Haya dada zetu siku hizi fasheni ni kuzaa na walami aka WAZUNGU tehetehe bongo bana
 
nasikia huyu ndo baba mtoto wa fina....wadau mnasemaje?

ndiyo jamani ni yeye haswaaaaa, nakumbuka nshamwona kwa Babu(Loliondo) akipata kikombe ktakatfu. Siku hz kanona ile mbaya c unaona hlo shavu kama kaficha bagia..!!
 
Mzuri haswaaa....wamlee kijana katika maadili yalinyooka.
 
Pelekeni upuuzi huu kwenye jukwaa husika, jukwaa hili halina nafasi hiyo. Jifunzeni matumizi sahihi ya majukwaa. Elimu hii hutolewa bure.
 
Haya dada zetu siku hizi fasheni ni kuzaa na walami aka WAZUNGU tehetehe bongo bana


Fina hayumo kwenye hilo kundi la machangu doa washamba washamba. Fina's case is different, she is not with the guy for money or ushamba. It is for true love.

All the best Fina.
 
Wadada fulani niwajuao wanasema wazungu wanajua kuwapa raha kujisikia wanawake/mke sio watz eti kutwa akili nyumba ndogo etc
 
umbea tu? mwanaume mzima huna hata haya? au wewe ni mwandishi wa magazeti ya udaku unatafuta news? mnh:ballchain:
 
umbea tu? mwanaume mzima huna hata haya? au wewe ni mwandishi wa magazeti ya udaku unatafuta news? mnh:ballchain:

Umejuaje kwama mtoa mada ni mwanaume??? JF zaidi ya niijuayo!
 
Wadada fulani niwajuao wanasema wazungu wanajua kuwapa raha kujisikia wanawake/mke sio watz eti kutwa akili nyumba ndogo etc

ALIKUAMBIA KUWA TIQO KWAO NI KAMA CHACHANDU WAKATI WA KULA PANDE LA MHOGO, HIVYO WANAVUMILIA MENGI TEH TEH:lol:
 
ALIKUAMBIA KUWA TIQO KWAO NI KAMA CHACHANDU WAKATI WA KULA PANDE LA MHOGO, HIVYO WANAVUMILIA MENGI TEH TEH:lol:

hakuna lolote msiwatie hila,si wote wala tigo na hata kama anataka atakuomba ukikataa imetoka sio kama nyie kaka zetu mnaotelezesha hovyo,wazungu juuuuuuuu:lol:
 
hakuna lolote msiwatie hila,si wote wala tigo na hata kama anataka atakuomba ukikataa imetoka sio kama nyie kaka zetu mnaotelezesha hovyo,wazungu juuuuuuuu:lol:
Dah!!!! kumbe hawa jamaa wastaarabu eeeh! tehetehetehe !!!
 
ndiyo jamani ni yeye haswaaaaa, nakumbuka nshamwona kwa Babu(Loliondo) akipata kikombe ktakatfu. Siku hz kanona ile mbaya c unaona hlo shavu kama kaficha bagia..!!

Haaa haaa, watu huku JF mna mambo i cant you
 
Back
Top Bottom