Daah jaman sasa hivi tulipofikia inatisha bungeni.KWANI WABUNGE WANAFANYA VITUKO KAMA WATOTO. jana wametoa taarifa za uongo na kuiga saini ya WAZIRI MKUU. Leo wamerumbana baada ya kutoelewana...
<tbody>
VIDEO - Dunia Inakaribia Mwisho Wake? huu ndio Ustaraabu wa MaShetani wa Kizungu wanao tuambukiza Utamaduni wao Mchafu, hata sisi watu Weusi Tunawaiga hao Mashetani wa kizungu Wachafu wa...
haya sasa...
maana tumesha zoea kila miss au mdada ukimuuliza au akiulizwa unapendelea nini utasikia kuswim.....sasa si kila mahala pa kudumbukia na hivyo vijivazi vinavyo fichwa na...
Bright Secondary School: Kwa Mpango Huu hapa Je tutafika kielimu?.. Ni swali kwa wadau wote TAZAMA HIZI TASWIRA KWA UMAKINI ZAIDI HALAFU UTAPATA MAJIBU KAMA SECTA HUSIKA YA ELIMU INATOA VIBALI...
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es...
Kushoto bingwa wa UBO anaetetea mkanda wake Mbwana Matumla na kulia kwake ni Francis Miyeyuyo baada ya kusaini kupambana tarehe 30 Octoba, 2011. (Photo Source: MIchuzi Blog Spot). Miaka ya nyuma...
Katika tukio la kusikitisha sana kamera yetu iliwanasa wanafunzi wa kidato cha saba huko Rudewa wakiwa wameacha masomo na kujiandaa na Mitihani lakini wapo Bize kuvua Dagaa ili wapate Shiringi za...