Mabondia wetu: Mike Tyson na Evander Horifield....

geophysics

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
904
166
Kushoto bingwa wa UBO anaetetea mkanda wake Mbwana Matumla na kulia kwake ni Francis Miyeyuyo baada ya kusaini kupambana tarehe 30 Octoba, 2011. (Photo Source: MIchuzi Blog Spot). Miaka ya nyuma mabondia walikuwa na maguvu na maumbo kama ya watunisha misuli.... lakini wa siku hizi ni tofauti kabisa, sijui kwanini wembamba sana hata wakati mwingine kutilia shaka afya zao.
Sais+powa.JPG
 
yani inaonekana kama huyo promota ndio bondia hao wawili wanaoitwa mabondia wanaonekana kama mashabiki tu
 
yani inaonekana kama huyo promota ndio bondia hao wawili wanaoitwa mabondia wanaonekana kama mashabiki tu

hiyo ni dhahiri kuwa jamaa (huyo promota) anawanyonya damu na jasho lao tu.
 
Kushoto bingwa wa UBO anaetetea mkanda wake Mbwana Matumla na kulia kwake ni Francis Miyeyuyo baada ya kusaini kupambana tarehe 30 Octoba, 2011. (Photo Source: MIchuzi Blog Spot). Miaka ya nyuma mabondia walikuwa na maguvu na maumbo kama ya watunisha misuli.... lakini wa siku hizi ni tofauti kabisa, sijui kwanini wembamba sana hata wakati mwingine kutilia shaka afya zao.
Sais+powa.JPG

Jamani si vizuri kukimbilia kukosoa mambo msiyoyajua kwa undani wake, sasa kama mlikuwa hamjui ni kwamba kwenye mchezo wa ngumi kuna suala la uzito sasa si lazima wachezaji wote wawe na umbo kama la Tyson au Evander ndio maana unasikia kuna Heavy Weight, Bantam, Middle, Light na kadhalika sasa we ndugu yangu uliepost hii sijui ni great thinker wa wapi usiejua mambo madogo kama haya! Si vizuri kupost na kuponda tu mambo ambayo huna ufahamu nayo. Next time kaa chini kwanza na utumie akili yako iliyo kichwani na si kukurupuka tu kama mtu aliyeshikwa ugoni! SHAME ON YOU!!!
 
Jamani mabondia wanacheza kulingana na uzito, maungo hayo mnayoyasema ni ya mabondia wa uzito wa juu kuanzia Light Heavy Kilo 79.37 au paundi 175 na kuendelea mpaka Heavy Weight kuanzia kilo 90 au paundi 175 na kuendela . Duniani kote kuna mabondia wa uzito mbali mbali ikiwemo wa chini. Mfano hawa wanacheza katika uzito wa Bantam ambao ni kilo 53.524, unategemea mchezaji wa uzito huu awe amejazia kama Evander Hollified! Kama mtamkumbuka Willy Isangura bondia wa Tanzania ambae sasa ni kocha alikuwa anachezea uzito wa juu yaani zaidi ya Kilo 90 au zaidi ya paundi 175, hamkuona alivyojazia.
Sasa si afadhali ya hawa kuliko wanaopigana katika uzito wa "straw" kilo 46, Mini Fly Kilo 47.6, Junior Fly Kilo 48.9, Fly kilo 50, Superfly/Junior bantam Kilo 52.16, na hawa bantam kilo 53.52.
Kwa kifupi bondia wa uzito wa bamtam duniani kote hawezi kuwa na umbo kama la Tyson au Evander. Tuwape moyo hawa vijana jamani tusiwabeze.
 
Kushoto bingwa wa UBO anaetetea mkanda wake Mbwana Matumla na kulia kwake ni Francis Miyeyuyo baada ya kusaini kupambana tarehe 30 Octoba, 2011. (Photo Source: MIchuzi Blog Spot). Miaka ya nyuma mabondia walikuwa na maguvu na maumbo kama ya watunisha misuli.... lakini wa siku hizi ni tofauti kabisa, sijui kwanini wembamba sana hata wakati mwingine kutilia shaka afya zao.
Sais+powa.JPG

Naomba tukuite hamnazo namba moja wa JF. Kwanini unaanzisha thread ambazo huna uelewa nazo?
 
MMH ! hivi vituko vyengine navyo haya bora tuyawache manake sijaifahamu hapo juu aliposema Kushoto bingwa wa UBO,halafu wamedhohofika hali zao kama wakulima.haya jamani napita hapa sio pangu.
 
Back
Top Bottom