geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 166
Kushoto bingwa wa UBO anaetetea mkanda wake Mbwana Matumla na kulia kwake ni Francis Miyeyuyo baada ya kusaini kupambana tarehe 30 Octoba, 2011. (Photo Source: MIchuzi Blog Spot). Miaka ya nyuma mabondia walikuwa na maguvu na maumbo kama ya watunisha misuli.... lakini wa siku hizi ni tofauti kabisa, sijui kwanini wembamba sana hata wakati mwingine kutilia shaka afya zao.