Majeshi yote yana askari na majeshi yote yana Wanajeshi

Omutontozi

Senior Member
Nov 12, 2021
122
213
Kumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi nk,,,,sasa twende pamoja uelimike na wewe uelimishe


Mwananajeshi ni muunganiko wa maneno mawili yaani
Mwana+jeshi=Mwanajeshi
Sasa basi hapa Tz tuna majeshi mbalimbali kila jeshi na majukumu yake yaani Jwtz,polisi,Magereza nk

Katika hali hiyo utakutana na Mwanajeshi wa Jwtz,Mwanajeshi wa jeshi la polisi,Mwanajeshi wa jeshi la Magereza nk (Hawa wote ni wanajeshi)

Elewa kwamba hakuna utambulisho wa askari KATIKA jeshi lolote wa kuitwa mwanajeshi bali wote katika Majeshi yote huitwa "ASKARI"
ISIPOKUWA askari hawa huko majeshini kwao hutenganishwa kwa kuitwa MAAFISA/ASKARI
Kwa maana Maafisa ni wale wenye single star na kuendelea
Na askari ni wale wenye kuanzia Private/constable/wdr mpaka RSM kama sijakosea

Nahitimisha kwa kusema kwamba majeshi yoooote yana askari
Na majeshi yoooote yana Wanajeshi wake.Naomba kuhitimisha mwenye swali karibu sana

Kwa msaada zaidi unaweza kusoma katiba Ibara 147 na ibara zake ndogo zote
 
Fahamu hivi.
Afisa wa jeshi ni mwanajeshi, lakini sio askali. Ni afisa au mwanajeshi.
Mwanajeshi anaweza kuwa askali lakini askali huwezi kuwa mwanajeshi. Labda baada ya training. Na vigezo vya kua mwanajeshi Ni kutokuwahi kuwa askali wa idara au service nyingine inayo tambulika katika ulinzi na usalama.

Mf. Agencies yeyote duniani ikihitaji kutrain watu au kusajiri. Huwa kunakigezo maalum kwa watu maalum, kwenda majeshi ya nchi zao. Hivyo ikitokea wamechukuliwa na watu kutoka defense force, huwa hata kazi zao ni tofauti pia.
 
Soldier ni Askari,,Mwanajeshi unakuwa ume brend maneno mawili mwana+ jeshi ambayo kwa kiingeza ni member of armed force
Unatakiwa uwaite "Slaves in Uniform"
Yaani mimi nalala wewe unahangaika kuwalinda wanaume? Wanaume hao ni wakubwa wa kisiasa, yeye anapanga vita halafu wewe unabebeshwa bunduki ukaue binadamu mwenzako huo ni ukichaa!!
Yaani unaenda kuua mtu ambaye hujawahi kugombana naye na wala humjui, huko ni kutojielewa kama binadamu.
Kazi nyingine ni za kuwaachia ma robot wafanye
 
Mkuu, mwananchi Omutontozi, kwa mantiki hiyo unataka tumuone amiri jeshi mkuu, akiwa ndani gwanda, za magereza, za polisi, za mgambo, za kikosi cha usalama wa raisi(PSU), za wanasalama barabarani, za JKT, za uamiaji, za zima moto, za wanyama pori, za wanamaji, za wanaanga na kadhalika, baadala ya kuonekana kutinga za jeshi la wananchi(JWTZ) pekee. Ili kuleta usawa katika kuwakilisha, hadhi ya majeshi hayo katika uso wa jamii, kwani kila moja lina umuhimu wa kwa taifa na kwa nchi kiujumla. Swali langu ni, hili, je amri jeshi mkuu, anapokuwa kavaa sare ya jeshi husika bila nyota hata moja, kwa maana ya kuwa afisa, na badala yake kuonekana kama askari wa kawaida, je maafisa wa jeshi hilo, ni sawa kupigia saruti sare, wanayo izidi cheo kimamlaka(kijeshi)?
 
Mkuu, mwananchi Omutontozi, kwa mantiki hiyo unataka tumuone amiri jeshi mkuu, akiwa ndani gwanda, za magereza, za polisi, za mgambo, za kikosi cha usalama wa raisi(PSU), za wanasalama barabarani, za JKT, za uamiaji, za zima moto, za wanyama pori, za wanamaji, za wanaanga na kadhalika, baadala ya kuonekana kutinga za jeshi la wananchi(JWTZ) pekee. Ili kuleta usawa katika kuwakilisha, hadhi ya majeshi hayo katika uso wa jamii, kwani kila moja lina umuhimu wa kwa taifa na kwa nchi kiujumla. Swali langu ni, hili, je amri jeshi mkuu, anapokuwa kavaa sare ya jeshi husika bila nyota hata moja, kwa maana ya kuwa afisa, na badala yake kuonekana kama askari wa kawaida, je maafisa wa jeshi hilo, ni sawa kupigia saruti sare, wanayo izidi cheo kimamlaka(kijeshi)?
Mkuu nimekuelewa, kuhusu kumpigia Rais akiwa amavaa sare bila cheo chochote (nyota) ni very complicated huwezi pata jibu la moja kwa moja ila kwa kutambua madaraka aliyonayo bila kujali amevaa nyota au la!!! Ni lazima umpigie saluti " busara ya askari husika itatumika" Kumbuka hata kama amevaa sare bila nyota yoyote kinachozingatiwa ni Madaraka yake aliyo nayo,ambayo unampigia saluti hata kama yuko kiraia,,,,Ahsante.Kuhusu kuwa ndani ya Magwanda ya majeshi mengine ni utashi wake tu anaweza kuamua kuvaa sare yoyote nadhani hakuna sheria inayomdhibiti,,,,kama kuna customs and norms kuhusu avae sare ya jeshi gani hapo sijui ila uelewa katika maswala hayo rais anaweza vaa sare ya jeshi lolote
 
Soldier limetoka kwene neno la kilatin '' solidus'' which is the name of the gold coin used to pay soldiers who fought in Roman army.... Kiufupi wale walio kwene army(jeshi la ulinzi) ndio huitwa soldiers
Kwa mfano askari walioenda vita ya Uganda walikuwa mchanganyiko wa majeshi mbalimbali hivyo wote lazima waitwe askari kwa maana ya Maafisa wapiganishaji/Askari wapiganaji na ukiwa huko hakuna amri inayotoka inasema " wanajeshi" bali amri ikitoka inasema askari/wapiganaji fanya hili au lile
 
Kwa mfano askari walioenda vita ya Uganda walikuwa mchanganyiko wa majeshi mbalimbali hivyo wote lazima waitwe askari kwa maana ya Maafisa wapiganishaji/Askari wapiganaji na ukiwa huko hakuna amri inayotoka inasema " wanajeshi" bali amri ikitoka inasema askari/wapiganaji fanya hili au lile
Kuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.

Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.

Kama unaswali niulize
 
Kuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.

Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.

Kama unaswali niulize
Kuhusu refresher course hii inatolewa hata kama wanaoshiriki vita husika watakuwa ni Jwtz peke yake kwahy hilo umefeli,,,,alafu kupigwa refresher sio kwamba uaskari wako unakuwa na mashaka,hapana! Mfano kwenye mission za nje umakuta Jeshi la Ufaransa ama Us wanawapiga refresh askari kutoka nchi za Afrika kwhy hilo nalo ni kwamba majeshi hayajui kitu!!!? Kuhusu kuzifahamu vyema kazi ambazo wamekabidhiwa Jwtz hilo nalo sio hoja yenye mantiki kwa sababu Hata jwtz hawawezi kuzifahamu kazi za polisi kwa 100 % mpaka wapigwe refresh,,hivyo hivyo kwa Magereza Jwtz hawawezi kujua kazi zao bila kuwa refreshed,,,

Ulipokuja kuharibu nkaona unaleta ligi flani ambayo ipo cku zote kati w/ulinzi na w/ndani ni pale ulipoanza kuzidharau special forces ambazo ziko chini ya Magereza na Polisi,,hivi unafikiri kuwa mstari wa mbele kila siku kupambana na majambazi wenye silaha nzito ni mchezo na wengine ni askari waliofukuzwa au kuacha kazi huko huko jwtz lkn wanadhibitiwa ipasavyo na polisi hawa hawa,,,,Kumdhibiti mfungwa unadhani ni kazi nyepesi !!!? Kumbuka gerezani wahalifu ambao wengine ni makomandoo ambao wametoka huko huko jwtz ila wafanye ila wakifanya fyoko fyoko watasimulia jaramba watakalo kutana nalo

Kuhusu Mtwara mbona polisi walipiga kazi iliyotukuka na wale magaidi wakakimbia !!? Na pale iliunganishwa nguvu kutoka vyombo vyote sasa unaposema jwtz ndo walifanya kazi peke yao nakushangaa,,,,,Vipi kibiti napo hukuona kazi ya polisi kweli!!!?

Kuhusu kupigana vita hata raia anaweza kusonga front kumbuka vita ni ujasiri wala siyo mbwembwe,,,,kwhyo naamini hata Polisi na Magereza wakikabidhiwa jukumu la ulinzi wa Mipaka wanaliweza watakachohitaji ni uwezeshaji tu lkn kuhusu mafunzo msingi ya kijeshi wako fit tena sana

Walioko Jwtz ni watoto wetu tunawafahamu hawana maajabu yoyote yale,,,Sema tu dhamana na heshima waliyoibeba dhidi ya nchi hatunabudi kuwasema vizuri kama ilivyo kwa majeshi mengine ya Nchi,,,Wengine hata mimi raia najipigia vizuri tu hawana chochote ni bakabaka tu na crown ya nchi ndo tunaviheshimu sana kama ilivo kwa sare na crown za majeshi mengine
 
Fahamu hivi.
Afisa wa jeshi ni mwanajeshi, lakini sio askali. Ni afisa au mwanajeshi.
Mwanajeshi anaweza kuwa askali lakini askali huwezi kuwa mwanajeshi. Labda baada ya training. Na vigezo vya kua mwanajeshi Ni kutokuwahi kuwa askali wa idara au service nyingine inayo tambulika katika ulinzi na usalama.

Mf. Agencies yeyote duniani ikihitaji kutrain watu au kusajiri. Huwa kunakigezo maalum kwa watu maalum, kwenda majeshi ya nchi zao. Hivyo ikitokea wamechukuliwa na watu kutoka defense force, huwa hata kazi zao ni tofauti pia.
We nae nanga wa wapi tena!!!? Unawezaje kuwa mwanajeshi bila kuwa askari!!!? Hakuna jeshi linalo Identify askari kwa kumuita mwanajeshi,,,Majeshi yote yanaita AFSA/ASKARI ,,wala huwezi kukuta afande wa jwtz anamuita askari kwamba we mwanajeshi njoo hapa bali atamuita we askari njoo hapa,,,hivyo hivyo kwa Polisi na Magereza ndo wito wanaotumia,,,kwa maafande wanaa wanaita "wapiganaji"
 
Kuhusu refresher course hii inatolewa hata kama wanaoshiriki vita husika watakuwa ni Jwtz peke yake kwahy hilo umefeli,,,,alafu kupigwa refresher sio kwamba uaskari wako unakuwa na mashaka,hapana! Mfano kwenye mission za nje umakuta Jeshi la Ufaransa ama Us wanawapiga refresh askari kutoka nchi za Afrika kwhy hilo nalo ni kwamba majeshi hayajui kitu!!!? Kuhusu kuzifahamu vyema kazi ambazo wamekabidhiwa Jwtz hilo nalo sio hoja yenye mantiki kwa sababu Hata jwtz hawawezi kuzifahamu kazi za polisi kwa 100 % mpaka wapigwe refresh,,hivyo hivyo kwa Magereza Jwtz hawawezi kujua kazi zao bila kuwa refreshed,,,

Ulipokuja kuharibu nkaona unaleta ligi flani ambayo ipo cku zote kati w/ulinzi na w/ndani ni pale ulipoanza kuzidharau special forces ambazo ziko chini ya Magereza na Polisi,,hivi unafikiri kuwa mstari wa mbele kila siku kupambana na majambazi wenye silaha nzito ni mchezo na wengine ni askari waliofukuzwa au kuacha kazi huko huko jwtz lkn wanadhibitiwa ipasavyo na polisi hawa hawa,,,,Kumdhibiti mfungwa unadhani ni kazi nyepesi !!!? Kumbuka gerezani wahalifu ambao wengine ni makomandoo ambao wametoka huko huko jwtz ila wafanye ila wakifanya fyoko fyoko watasimulia jaramba watakalo kutana nalo

Kuhusu Mtwara mbona polisi walipiga kazi iliyotukuka na wale magaidi wakakimbia !!? Na pale iliunganishwa nguvu kutoka vyombo vyote sasa unaposema jwtz ndo walifanya kazi peke yao nakushangaa,,,,,Vipi kibiti napo hukuona kazi ya polisi kweli!!!?

Kuhusu kupigana vita hata raia anaweza kusonga front kumbuka vita ni ujasiri wala siyo mbwembwe,,,,kwhyo naamini hata Polisi na Magereza wakikabidhiwa jukumu la ulinzi wa Mipaka wanaliweza watakachohitaji ni uwezeshaji tu lkn kuhusu mafunzo msingi ya kijeshi wako fit tena sana

Walioko Jwtz ni watoto wetu tunawafahamu hawana maajabu yoyote yale,,,Sema tu dhamana na heshima waliyoibeba dhidi ya nchi hatunabudi kuwasema vizuri kama ilivyo kwa majeshi mengine ya Nchi,,,Wengine hata mimi raia najipigia vizuri tu hawana chochote ni bakabaka tu na crown ya nchi ndo tunaviheshimu sana kama ilivo kwa sare na crown za majeshi mengine
Kwakua sio ligi na nilichohitaji ukifaham umekifaham Basi hapo hakuna jipya.

Nikukumbushe uwezo wa kijeshi upimwa kwa mission/silaha nk, je! Magereza ili wawe wakali waende field na kundi linalo kinzana nalo kijeshi. Mfungwa muweke pembeni.
Nitarudi
 
Kwakua sio ligi na nilichohitaji ukifaham umekifaham Basi hapo hakuna jipya.

Nikukumbushe uwezo wa kijeshi upimwa kwa mission/silaha nk, je! Magereza ili wawe wakali waende field na kundi linalo kinzana nalo kijeshi. Mfungwa muweke pembeni.
Nitarudi
Msingi wa hoja yako ni upi!!!?????
 
Back
Top Bottom