habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,793
- 8,739
Amani iwe nanyi wana wa Mungu
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa, naamini hata we ulipo uko mzima wa afya na mwenye nguvu.
Bibilia imeandikwa Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia, na baada ya kumaliza kuumba mbingu, Mungu akahamishia makao yake mbinguni ambapo ndiko kiti cha enzi kilipo na duniani ni pahala pa kuweka miguu yake,
Je kabla Mungu hajaumba hiyo Mbingu Mungu huyu alikiwa akiishi wapi?
Mbingu inayosimuliwa ktk misahafu haijawahi kuonekana machoni kwa binadam yeyote, pamoja na kwamba watafiti wa mambo ya anga kutengeneza darubini nzur za kisasa ambavyo huwawezesha kuona umbali wa matrilion ya maili angani, lkn hawajaweza kukutana na ukuta unaozuia wasiendelee kuona mbele ambao ni ukuta wa mbingu,
Pamoja na umakini wa hali ya juu unofanywa na watafiti hawa wa anga naamini km mbingu ingalikiwepo wasingekosa kutoa taarifa za kuwapo kwake.
Km kwel kuna mbingu, basi ni Mungu peke yake ndo anajua pahala ilipo na si binadam! Maana hakuna aliyewahi kwenda huko na kurudi akaleta habari za uwepo wake.
Hadaa hii imedumaza bongo za watu wengi na kusababisha binadam aendelee kuishi kwa kutegemea mawazo duni ya waliotuletea uvumi huu.
Na rudia tena, km mbingu IPO ni Mungu pekee tu ndiye anajua pahala gani IPO na si mwanadam, tuache kuhadaana.
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa, naamini hata we ulipo uko mzima wa afya na mwenye nguvu.
Bibilia imeandikwa Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia, na baada ya kumaliza kuumba mbingu, Mungu akahamishia makao yake mbinguni ambapo ndiko kiti cha enzi kilipo na duniani ni pahala pa kuweka miguu yake,
Je kabla Mungu hajaumba hiyo Mbingu Mungu huyu alikiwa akiishi wapi?
Mbingu inayosimuliwa ktk misahafu haijawahi kuonekana machoni kwa binadam yeyote, pamoja na kwamba watafiti wa mambo ya anga kutengeneza darubini nzur za kisasa ambavyo huwawezesha kuona umbali wa matrilion ya maili angani, lkn hawajaweza kukutana na ukuta unaozuia wasiendelee kuona mbele ambao ni ukuta wa mbingu,
Pamoja na umakini wa hali ya juu unofanywa na watafiti hawa wa anga naamini km mbingu ingalikiwepo wasingekosa kutoa taarifa za kuwapo kwake.
Km kwel kuna mbingu, basi ni Mungu peke yake ndo anajua pahala ilipo na si binadam! Maana hakuna aliyewahi kwenda huko na kurudi akaleta habari za uwepo wake.
Hadaa hii imedumaza bongo za watu wengi na kusababisha binadam aendelee kuishi kwa kutegemea mawazo duni ya waliotuletea uvumi huu.
Na rudia tena, km mbingu IPO ni Mungu pekee tu ndiye anajua pahala gani IPO na si mwanadam, tuache kuhadaana.