Habari!
Naomba nijadili na ninyi hili jambo ambalo limetutokea juzi Mimi na rafiki yangu.
Miaka kadhaa iliyopita nimewahi kusimuliwa na jamaa mmoja ambaye scientific calculator yake ikiwa nyumbani...
Kiukweli leo nilikuwa nafatilia mtifuano ama mapigano yanayoendelea kati ISEAEL NA PALESTINA hasa nikifatilia uwezo halisi wa hii defence system ya Israel.
Nimeshangaa baada ya kujua kwamba kumbe...
"Vultures fly", Tai wanaruka, kwa nini Tai wana ruka , hapa naangazia jinsi gani Tai wanavyoruka na kutua sehemu ulipo mzoga na kuruka na kile walichokiona kina thamani kwao. Tai hawa ni baadhi ya...
Wasalaam,
Katika wale wote tunaofuata Iman ya Mungu mmoja ama mafundisho yanayofanana na kutofautiana katika sehemu chache
Haswa katika dini kuu Uislam ,Ukristo na Uyahudi.
Katika pande zote...
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.
Ukweli ni...
Dola ya Rumi au unaweza kuiita Roman Empire ni moja ya falme nne zenye nguvu zilizo tokea kuitawala duniani kama ilivyo tabiriwa kutoka kwenye maandiko matakatifu. Soma kitabu cha (Danieli sura...
Hebu leo tulijadili hili kwa mapana yake Luciferianism na Satanism kwa kuwa wengi huwa tunachanganya tukidhani ni kitu kimoja lakini chenye majina tofauti, lakini kiukweli ni vitu viwili tofauti...
Kwa vizazi vyetu vya Siku hizi , imekua ni ngumu mno kufuatilia mambo ya ukoo /Mizimu, huku wengi tukiita ni mapepo wachafu ambao hatupaswi kuwa nao karibu kabisa. Na vitu hivi vimekua...
Watunzi wa biblia na vitabu vingine vya imani walijisahau na hawakujua kama Ubongo wa binadamu utakuja kuongezeka na kuanza kuhoji mambo kwa kina.
Watunzi hawa wa Biblia hawakujua kabisa kama...
Cc Kiranga
“Is God willing to prevent evil, but not able? Then he is not omnipotent.
Is he able, but not willing? Then he is malevolent.
Is he both able and willing? Then whence cometh evil...
Nje nakuamini nguvu fulani ya utendaji ktk nyanja ya utawaliwa, maisha ni halisi tena ni halisi ya uhalisia.
Naandika kitu hichi lakini najua tuna makundi tofautitofauti kiufahamu, naamini sio...
Uislamu uko zaidi mashariki ya kati, uarabuni, mataifa yanayopakana na uarabuni, Afrika Kaskazini na Nusu ya Africa magharibi.
Ukristo uko zaid Ulaya, Marekani ya Kusini na Kaskazini, Australia...
Ndugu Zangu nyote Habarini za Leo
Someni Biblia Kwa Akili Ndugu zanguni, AChaneni na Dhana ya Mambo ya Kusubiri Roho ziwatafsirie. Dhana ambayo Bado Ni Potofu na Inayofunga Akili zenu zisitumike...
Tangu nilipoingia kwenye siasa, kimsingi nimeaminishwa maoni ya wanaume kwa faragha. Baadhi ya wanaume wakubwa nchini Marekani, katika uwanja wa biashara na utengenezaji, wanaogopa kitu. Wanajua...
Leviticus 19:4"Do not turn to idols or make metal gods for yourselves.Iam the Lord your God". Judges 10:14,"Go and cry out to the gods you have chosen,let them save you when you are in trouble"...
Kuna theories nyingi....moja ikiwa hii
Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.
Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana...
Mwaka 1859 mwanabaiolojia Charles Darwin alichapisha kitabu chake kuhusu chanzo cha viumbe wote duniani chenye jina “On the origin of species” Kilichoelezea theory yake ya evolution. Darwin...
Aisee wamarekani C watu wa mchezo mchezo, nimeingia katika WEB library ya Central intelligence Agency Nimekuta data ambazo hata Serikali ya TZ hawana, nimeona data mbalimbali kila aina...
1.Kwa nini wanaume wengi ndio huwa atheists kuliko wanawake? Atheists wanawake ni wachache sana na hakuna walio maarafu duniani. Ni nadra sana kukuta atheists wanawake kwenye jamii hasa ya Africa...
Basi kwa neema na baraka zake Mungu baba alie juu mbinguni mahali patakatifu ahimidiwe kwa busara na hekima zake kwa uhai aliotujalia na afya na anijalie niandike vyema ili kusudi langu lieleweke...