Ilipangwa au ni muda wao ulifika tu?

Ilipangwa au ni muda wao ulifika tu?

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,240
Kuna theories nyingi....moja ikiwa hii

Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.

Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana ilipangwa au ilitokea tu Mungu aliwahitaji?

Amenikumbusha wote wamepelekwa na gonjwa moja.
 
Kuna theories nyingi....moja ikiwa hii

Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.

Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana ilipangwa au naturally?

Amenikumbusha wote wamepelekwa na gonjwa moja.

Hayo maswali sijui iyo soga nenda kwenye uzi wa @y[mention]yoga [/mention] kamuulize yeye. Hii sio mada ya kuijadili
 
Kuna theories nyingi....moja ikiwa hii

Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.

Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana ilipangwa au naturally?

Amenikumbusha wote wamepelekwa na gonjwa moja.
mi nimekuelewa vizuri..
ila nadhani hiyo itakuwa ni conspiracy theory mkuu
 
Kuna theories nyingi....moja ikiwa hii

Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.

Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana ilipangwa au naturally?

Amenikumbusha wote wamepelekwa na gonjwa moja.
Let them rest in peace.
 
Lakini...mbona nguvu inyotumika kuifuta legacy yake imekuwa kubwa saana..?
labda kwa sababu jamaa aliwapiga pin la maana, na alikua anataka kuwafuta kwenye chama na serikali..kwa hyo chuki ni kubwa sana.

ila pia hiyo theory yako ina mashiko..
maana ukiangalia huo mfululuzo jumlishia na wale jamaa zake wawili wa madaraja, na kuponea tundu la sindano kwa huyu no 2 wa sasa...

inabd mtu ujiulize sana maswali
 
Kuna theories nyingi....moja ikiwa hii

Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.

Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana ilipangwa au naturally?

Amenikumbusha wote wamepelekwa na gonjwa moja.


Sijaelewa.Labda pengine mada iliyopita sikusoma kama uliandika
 
Kuna theories nyingi....moja ikiwa hii

Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.

Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana ilipangwa au naturally?

Amenikumbusha wote wamepelekwa na gonjwa moja.
Mr clean alikuwa na nia ya kutuepusha na matatizo but mwendazake akawa mzembe kwenye kurinda uhai wake. Unachokiona Sasa ndiyo kilitakiwa kiwepo kwa Mr diplomasia. Unfortunately we have the same another diplomasia of the different gender but the same idiology after six years ahead. I feel confused how we will be out of gangster group. It seems will dominate our nation more decades to come. Until our opposition part become very strong and overturn this group.

Good bless our nation
 
labda kwa sababu jamaa aliwapiga pin la maana, na alikua anataka kuwafuta kwenye chama na serikali..kwa hyo chuki ni kubwa sana.

ila pia hiyo theory yako ina mashiko..
maana ukiangalia huo mfululuzo jumlishia na wale jamaa zake wawili wa madaraja, na kuponea tundu la sindano kwa huyu no 2 wa sasa...

inabd mtu ujiulize sana maswali
Tatizo la kuwa mshamba alafu ukaleta ujuaji
 
Back
Top Bottom