Maisha magumu ni sababu kubwa inayofanya watu waanzishe dini

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,194
12,689
Ukiangalia kwa unfdani utaona kuwa dini nyingi ni matokeo ya maisha magumu. Kisaikolojia mtu akiwa frustrated na ugumu wa maisha huanza kuota ndoto za mchana na kufantasize maisha yasiyo na taabu. mifano mingi inaonyesha hivyo.

1. Kuanzishwa kwa dini ya kiyahudi: Kuna mtaalamu anasema kuwa Wayahudi waliishi maisha mazuri sana wakati wa mfalme Daudi. Anadai kuwa baadaye mambo yalivyokuwa magumu, wakitekwa na kufanywa watumwa huku na kule na wababiloni na waajemi wakaanza kukumbuka enzi za Daudi. Mwishowe wakaanza kuota kuwa kuna mzao wa daudi atakuja na kurudisha neema ya wakati wa Daudi. Ndiyo huyo wakamwita Messiah. Chanzo ni ugumu wa maisha na kukumbuka enzi za Daudi.

2. Musa mwenyewe utaona kuwa alianzisha dini baada ya kuona mateso wanayopitia Waebrania kule Misri.

3. Mababu zetu walianzisha dini ili kuiomba mizimu wakati wa njaa, magonjwa na vita.

4. Kuna wakati wahindi wekundu walikuwa wanasakamwa sana na wazungu huko Marekani. wWalikuwa wamenyang;anywa ardhi yote nzuri. Wamewekwa kwenye maeneo makame na hawatakiwi kutoka huko. Na wakipigwa vita na kuuwawa kama wanyama. Akatokea mhindi mmoja akasema kuwa ametokewa na Yesu. Akadai kuwa Yesu huyo ni mhindi na ameahidi kuja kuwakomboa wahindi kutokana na mateso. Wanachotakiwa ni wacheze dansi bila kupumzika. Ikawa hivyo, watu wakaanza kucheza dansi mfululizo hadi pale serikali ya wazungu ilipoingilia kati kikatili.

5. Nilikuwa namsoma Malcom X. Dini yao ya Nation Of Islam ilianzishwa kutokana na maisha magumu waliyokuwa wanapitia watu weusi wa Marekani. Dini hiyo inasema kuwa Mtu mweupe ndiye shetani. Kwamba alizalishwa miaka elfu sita iliyopita. Na kuwa baada ya miaka elfu sita watu weusi ambao ndiyo watu asilia watarudia utukufu wao. Ni ugumu wa maisha uliozaa dini hii.

6. Budhha mwenyewe alianzisha dini yake baada ya kuoana mateso wanayopitia watu.

7. Dini nyingi zinazoanzishwa leo na wakina Gwajima, Mwamposa, Mzee wa Upako nk, zinaanzishwa sababu ya maisha magumu. Sehemu kubwa zinahubiri utajiri, uponyaji, na mafanikio kwa ujumla. Ugumu wa maisha ndizo zimefanya uwepo. Watu wakienda huko wanapata ndoto zao za mchana na kuepuka matatizo yao kwa muda.

Sababu nyingine kubwa ya kuanzisha dini ni ya kisiasa. Dini kama Ukatoliki na Uislamu n i kwa ajili ya watu kujipatia nguvu za kisiasa. Hata mifarakano kwenye dini hizi. Mfano kutokea kwa kanisa la Orthodox, Anglicana nk, ni sababu za kisiasa. Kutokea kwa Usunni na Ushia ni sababu za kisiasa.

Dini nyingi ni uzushi.
 
DINI YA WAISLAMU IMEANZISHWA NA PADRE WA KATOLIKI KWA LENGO LA KUITAWALA DUNIA..

Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo na alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W). Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W)

kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu. Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na inasemekana kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake.

Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira. Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W).

Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W) na hivyo hakuwa mmoja wa Masahaba wake wa karibu.
 
Zaburi 53:1


Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.

YESU kristo ndie njia ya kweli na Uzima.
Mtu HAJI kwa BABA ILA kwa NJIA ya Yesu.

Nakuomba kwa Mungu AKUPE neema USOME BIBLIA KWA KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU.

HAYLTIMAYE MUNGU AKUFUNULIE YOOOOTE.
 
Binadamu anataka "kusurvive".....

Mimi si mdini japo ninafuata miongoni mwa dini zilizopo duniani....

Wala mchukia wana dini....

Wala mchukia wasio na dini.....

Ila ninashangaa sana kujitokeza mtu akaichukia dini/akawachukia wanadini/akawachukia wasio na dini na kuiona dini yake ndiyo bora kwa kigezo tu cha maandiko YAKE/ALIYONAYO/ANAYOYAPENDA/YALIUGUSA MOYO WAKE.....huu nao ni UCHIZI kama aina nyingine za uchizi.....

**********************

Never give wisdom to unworthy because it's unfair to the knowledgeable
 
Ukiangalia kwa unfdani utaona kuwa dini nyingi ni matokeo ya maisha magumu. Kisaikolojia mtu akiwa frustrated na ugumu wa maisha huanza kuota ndoto za mchana na kufantasize maisha yasiyo na taabu. mifano mingi inaonyesha hivyo.

1. Kuanzishwa kwa dini ya kiyahudi: Kuna mtaalamu anasema kuwa Wayahudi waliishi maisha mazuri sana wakati wa mfalme Daudi. Anadai kuwa baadaye mambo yalivyokuwa magumu, wakitekwa na kufanywa watumwa huku na kule na wababiloni na waajemi wakaanza kukumbuka enzi za Daudi. Mwishowe wakaanza kuota kuwa kuna mzao wa daudi atakuja na kurudisha neema ya wakati wa Daudi. Ndiyo huyo wakamwita Messiah. Chanzo ni ugumu wa maisha na kukumbuka enzi za Daudi.

2. Musa mwenyewe utaona kuwa alianzisha dini baada ya kuona mateso wanayopitia Waebrania kule Misri.

3. Mababu zetu walianzisha dini ili kuiomba mizimu wakati wa njaa, magonjwa na vita.

4. Kuna wakati wahindi wekundu walikuwa wanasakamwa sana na wazungu huko Marekani. wWalikuwa wamenyang;anywa ardhi yote nzuri. Wamewekwa kwenye maeneo makame na hawatakiwi kutoka huko. Na wakipigwa vita na kuuwawa kama wanyama. Akatokea mhindi mmoja akasema kuwa ametokewa na Yesu. Akadai kuwa Yesu huyo ni mhindi na ameahidi kuja kuwakomboa wahindi kutokana na mateso. Wanachotakiwa ni wacheze dansi bila kupumzika. Ikawa hivyo, watu wakaanza kucheza dansi mfululizo hadi pale serikali ya wazungu ilipoingilia kati kikatili.

5. Nilikuwa namsoma Malcom X. Dini yao ya Nation Of Islam ilianzishwa kutokana na maisha magumu waliyokuwa wanapitia watu weusi wa Marekani. Dini hiyo inasema kuwa Mtu mweupe ndiye shetani. Kwamba alizalishwa miaka elfu sita iliyopita. Na kuwa baada ya miaka elfu sita watu weusi ambao ndiyo watu asilia watarudia utukufu wao. Ni ugumu wa maisha uliozaa dini hii.

6. Budhha mwenyewe alianzisha dini yake baada ya kuoana mateso wanayopitia watu.

7. Dini nyingi zinazoanzishwa leo na wakina Gwajima, Mwamposa, Mzee wa Upako nk, zinaanzishwa sababu ya maisha magumu. Sehemu kubwa zinahubiri utajiri, uponyaji, na mafanikio kwa ujumla. Ugumu wa maisha ndizo zimefanya uwepo. Watu wakienda huko wanapata ndoto zao za mchana na kuepuka matatizo yao kwa muda.

Sababu nyingine kubwa ya kuanzisha dini ni ya kisiasa. Dini kama Ukatoliki na Uislamu n i kwa ajili ya watu kujipatia nguvu za kisiasa. Hata mifarakano kwenye dini hizi. Mfano kutokea kwa kanisa la Orthodox, Anglicana nk, ni sababu za kisiasa. Kutokea kwa Usunni na Ushia ni sababu za kisiasa.

Dini nyingi ni uzushi.
Sababu kubwa ni kutaka kuwatawala na kuwala wajinga kwa kuwakamua kiuchumi. Kimsingi, dini ndiye baba wa siasa japo siasa baadaye ilizipiga teke na kuchukua usukani. Ni aina fulani ya utawala unaowaneemesha wachache kwa kuwatumiwa walio wengi. Nimpenda. hitimisho lako kuwa ni uzushi. Hivyo, umeuliza na kujibu swali lako mwenyewe
 
Ukiangalia kwa unfdani utaona kuwa dini nyingi ni matokeo ya maisha magumu. Kisaikolojia mtu akiwa frustrated na ugumu wa maisha huanza kuota ndoto za mchana na kufantasize maisha yasiyo na taabu. mifano mingi inaonyesha hivyo.

1. Kuanzishwa kwa dini ya kiyahudi: Kuna mtaalamu anasema kuwa Wayahudi waliishi maisha mazuri sana wakati wa mfalme Daudi. Anadai kuwa baadaye mambo yalivyokuwa magumu, wakitekwa na kufanywa watumwa huku na kule na wababiloni na waajemi wakaanza kukumbuka enzi za Daudi. Mwishowe wakaanza kuota kuwa kuna mzao wa daudi atakuja na kurudisha neema ya wakati wa Daudi. Ndiyo huyo wakamwita Messiah. Chanzo ni ugumu wa maisha na kukumbuka enzi za Daudi.

2. Musa mwenyewe utaona kuwa alianzisha dini baada ya kuona mateso wanayopitia Waebrania kule Misri.

3. Mababu zetu walianzisha dini ili kuiomba mizimu wakati wa njaa, magonjwa na vita.

4. Kuna wakati wahindi wekundu walikuwa wanasakamwa sana na wazungu huko Marekani. wWalikuwa wamenyang;anywa ardhi yote nzuri. Wamewekwa kwenye maeneo makame na hawatakiwi kutoka huko. Na wakipigwa vita na kuuwawa kama wanyama. Akatokea mhindi mmoja akasema kuwa ametokewa na Yesu. Akadai kuwa Yesu huyo ni mhindi na ameahidi kuja kuwakomboa wahindi kutokana na mateso. Wanachotakiwa ni wacheze dansi bila kupumzika. Ikawa hivyo, watu wakaanza kucheza dansi mfululizo hadi pale serikali ya wazungu ilipoingilia kati kikatili.

5. Nilikuwa namsoma Malcom X. Dini yao ya Nation Of Islam ilianzishwa kutokana na maisha magumu waliyokuwa wanapitia watu weusi wa Marekani. Dini hiyo inasema kuwa Mtu mweupe ndiye shetani. Kwamba alizalishwa miaka elfu sita iliyopita. Na kuwa baada ya miaka elfu sita watu weusi ambao ndiyo watu asilia watarudia utukufu wao. Ni ugumu wa maisha uliozaa dini hii.

6. Budhha mwenyewe alianzisha dini yake baada ya kuoana mateso wanayopitia watu.

7. Dini nyingi zinazoanzishwa leo na wakina Gwajima, Mwamposa, Mzee wa Upako nk, zinaanzishwa sababu ya maisha magumu. Sehemu kubwa zinahubiri utajiri, uponyaji, na mafanikio kwa ujumla. Ugumu wa maisha ndizo zimefanya uwepo. Watu wakienda huko wanapata ndoto zao za mchana na kuepuka matatizo yao kwa muda.

Sababu nyingine kubwa ya kuanzisha dini ni ya kisiasa. Dini kama Ukatoliki na Uislamu n i kwa ajili ya watu kujipatia nguvu za kisiasa. Hata mifarakano kwenye dini hizi. Mfano kutokea kwa kanisa la Orthodox, Anglicana nk, ni sababu za kisiasa. Kutokea kwa Usunni na Ushia ni sababu za kisiasa.

Dini nyingi ni uzushi.
Duu muumini akitaka gari anaombewa Mchungaji akitaka gari unamchangia
 
Naona mshashiba sasa na pumzi zinawadanganya mnataka kutuchafulia hali ya hewa.

Nikukumbushe tu aliwahi kuishi nabii aitwaye Suleiman na mpaka sasa hajawahi na hatowahi kutokea mtu mwenye utajiri, mamlaka na uwezo kama aliokuwa nao Suleiman.

Licha ya uwezo wake wote huo bado aliendelea kumtumikia Mola wake. Iweje mimi na wewe tusio na lolote tujisahau na tuanze kukashifu dini.

Mungu yupo na dini zipo ila dini ya kweli ni uislamu unaokutaka umuabudu Mungu mmoja bila ya kumshirikisha na kitu chochote. May Allah guide you and I
 
Sababu kubwa ni kutaka kuwatawala na kuwala wajinga kwa kuwakamua kiuchumi. Kimsingi, dini ndiye baba wa siasa japo siasa baadaye ilizipiga teke na kuchukua usukani. Ni aina fulani ya utawala unaowaneemesha wachache kwa kuwatumiwa walio wengi. Nimpenda. hitimisho lako kuwa ni uzushi. Hivyo, umeuliza na kujibu swali lako mwenyewe
Unaizungumzia dini gani mzee. Kama ni ukristo sawa hiyo iko wazi kuwa mnakamuliwa na wachungaji. Uislam hauna hayo mambo.

Kingine nchi za kiislam zina jali watu wao kuliko nchi zisizo na dini rasmi. Nchi kama za kwetu ndo tunakamuliwa na serikali ila nchi za kiislam maisha ni safi sana. Angalia nchi za kiarabu jinsi wananchi wake wanavyoneemeka, serikali yao inawasaidia na kuwajali.
 
Presenter: mtume kuna miujiza hapa.
Apostle: sema, nini kimetokea.
presenter: huyu binti alikuwa mgumba kwa miaka 7.
Apostle: eeenhee nini kimetokea.
presenter: baada ya kuja hapa kupata maji na mafuta alipokea ujazito.
Apostle: nani mtenda miujiza, sema aya yaya yaaa.....
😁🙃
 
Unaizungumzia dini gani mzee. Kama ni ukristo sawa hiyo iko wazi kuwa mnakamuliwa na wachungaji. Uislam hauna hayo mambo.

Kingine nchi za kiislam zina jali watu wao kuliko nchi zisizo na dini rasmi. Nchi kama za kwetu ndo tunakamuliwa na serikali ila nchi za kiislam maisha ni safi sana. Angalia nchi za kiarabu jinsi wananchi wake wanavyoneemeka, serikali yao inawasaidia na kuwajali.
Hakuna dini iliyonusurika zote. Tena kwa uislam ndo usiseme. Ukristo unaweza kuwa na nafuu kwa vile walaji lau hufanya mambo mengine ya kijamii. Ukitaka kujua nimaanishacho angalia yafuatayo:
Makao makuu yenu pale Bakwata hayana hadhi hata ya kituo kama cha Msimbazi.
Pili, walaji walikula kila kitu hadi mkawa chokambaya mpaka Magufuli akawamua kuwajengea. Kazi ya walaji wenu ni kuoa wake wengi na kuzalisha utitiri wa vihiiyo. japo siyo wote.
Tatu, kwanini mmeamrishwa kwenda Makka kuwapelekea fedha waarabu ili kuona makaburi na kuramba jiwe al kaaba?
Nne, zakat mnazotozwa unajua maana yake? Nenda mikoa maskini vijijini uone. Unakuta vijumba vyote makuti isipokuwa msikiti. Hapo unajifunza nini mwanangu?
Ngoja leo niishie hapa. Uislam ndo dini yenye chimbuko kubwa tu la maisha magumu pale Muhammad alipoolewa na mama lenye umri sawa na mama yake na kumpa fedha za kuwahonga waislam wa kwanza waamini dini yao ni ya Mungu. Ndiyo maana wajanja wa Makka waliikataa dini bandia ya Muhammad Mustafa.
 
Zaburi 53:1


Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.

YESU kristo ndie njia ya kweli na Uzima.
Mtu HAJI kwa BABA ILA kwa NJIA ya Yesu.

Nakuomba kwa Mungu AKUPE neema USOME BIBLIA KWA KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU.

HAYLTIMAYE MUNGU AKUFUNULIE YOOOOTE.
Hizo Biblia zote zimeandikwa na binadamu kama wewe ndio maana kuna version za kuanzia Rome mpaka American, hadithi zote za kutunga na zimewekwa na binadamu kama wewe, hata babu yako angekuwa na uwezo angeweza kuandika bible yake na leo ikaonekana ndio neno la mungu, miaka 500 ijayo inawezekana kabisa ikaja bible nyingine iliyondikwa na mtu mwenye nguvu, amini tuu na wala hakuna makosa lakini za kupewa changanya na zako
 
Tuambie exactly ni kwa namna gani mtu anakamuliwa pesa na dini? Maan nchi yetu kuna mambo mengi yanakamua watu yako wazi. Kwa mfano kwa vijana kuna bangi, uzinzi, madawa ya kulevya na ulevi wa pombe wa kupindukia. Sasa nambie je wanadini wanakosa ela mpaka kuwa mapanya road au? Au ni hizo namna nyingine la sivyo una ogopa kuhukumiwa sababu hutaka kutua mzigo wa dhambi.
 
Hizo Biblia zote zimeandikwa na binadamu kama wewe ndio maana kuna version za kuanzia Rome mpaka American, hadithi zote za kutunga na zimewekwa na binadamu kama wewe, hata babu yako angekuwa na uwezo angeweza kuandika bible yake na leo ikaonekana ndio neno la mungu, miaka 500 ijayo inawezekana kabisa ikaja bible nyingine iliyondikwa na mtu mwenye nguvu, amini tuu na wala hakuna makosa lakini za kupewa changanya na zako
Binadamu anaakili sana binadamu huyohuyo ni mvivu wa kufikiri
 
Hizo Biblia zote zimeandikwa na binadamu kama wewe ndio maana kuna version za kuanzia Rome mpaka American, hadithi zote za kutunga na zimewekwa na binadamu kama wewe, hata babu yako angekuwa na uwezo angeweza kuandika bible yake na leo ikaonekana ndio neno la mungu, miaka 500 ijayo inawezekana kabisa ikaja bible nyingine iliyondikwa na mtu mwenye nguvu, amini tuu na wala hakuna makosa lakini za kupewa changanya na zako
Imetafsiriwa au imetungwa emu elezea vizuri ndugu usije ukawa unachanganya mambo.
 
Hakuna dini iliyonusurika zote. Tena kwa uislam ndo usiseme. Ukristo unaweza kuwa na nafuu kwa vile walaji lau hufanya mambo mengine ya kijamii. Ukitaka kujua nimaanishacho angalia yafuatayo:
Makao makuu yenu pale Bakwata hayana hadhi hata ya kituo kama cha Msimbazi.
Pili, walaji walikula kila kitu hadi mkawa chokambaya mpaka Magufuli akawamua kuwajengea. Kazi ya walaji wenu ni kuoa wake wengi na kuzalisha utitiri wa vihiiyo. japo siyo wote.
Tatu, kwanini mmeamrishwa kwenda Makka kuwapelekea fedha waarabu ili kuona makaburi na kuramba jiwe al kaaba?
Nne, zakat mnazotozwa unajua maana yake? Nenda mikoa maskini vijijini uone. Unakuta vijumba vyote makuti isipokuwa msikiti. Hapo unajifunza nini mwanangu?
Ngoja leo niishie hapa. Uislam ndo dini yenye chimbuko kubwa tu la maisha magumu pale Muhammad alipoolewa na mama lenye umri sawa na mama yake na kumpa fedha za kuwahonga waislam wa kwanza waamini dini yao ni ya Mungu. Ndiyo maana wajanja wa Makka waliikataa dini bandia ya Muhammad Mustafa.
Sidhani kama unajua unachokiandika hapa.

Uislam hauna walaji hilo la kwanza. Waislam hawalazimishwi kutoa sadaka msikitini na hata wakitoa hakuna pesa inayopatikana itakayomfanya mtu aneemeke bali ni vipesa tu vya kuendesha msikiti ndo mana mashekhe hawatembelei mabenzi kama wachungaji wanavyowakamua kondoo.

Kwenda kuhiji makka sio amri ya lazima. Bali ni nguzo muhimu ya dini inayoweza kutekelezwa na mtu mwenye uwezo wa kwenda kuhiji. Kama huna uwezo haikulazimu uende.

Nakushauri tu kabla ya kuuponda uislam, jaribu kuusoma kwanza mafundisho yake na jinsi unavyo operate ndio uje kuongea hapa sio unasambaza taarifa zisizo na ukweli
 
Duu muumini akitaka gari anaombewa Mchungaji akitaka gari unamchangia
Acha story za vijiweni mkuu ingia kanisani infact wanaoombewa zaidi ni waumini kuliko hata mchungaji kuanzia magonjwa mpaka uchumia tena wao na familia zao. Halafu mchungaji yuko mmoja waumini wakiwa zaidi ya 1000 wakamchangia si lazima ela iwe nyingi sasa utahesabiaje utadhan kachangia mtu mmoja. Halafu makanisa yametoa misaada kibao kwa jamii kila siku hutaki kuzungumzia hilo ila wewe unahisi ela kazi yake kuliwa tu.
 
Tuambie exactly ni kwa namna gani mtu anakamuliwa pesa na dini? Maan nchi yetu kuna mambo mengi yanakamua watu yako wazi. Kwa mfano kwa vijana kuna bangi, uzinzi, madawa ya kulevya na ulevi wa pombe wa kupindukia. Sasa nambie je wanadini wanakosa ela mpaka kuwa mapanya road au? Au ni hizo namna nyingine la sivyo una ogopa kuhukumiwa sababu hutaka kutua mzigo wa dhambi.
 
Sidhani kama unajua unachokiandika hapa.

Uislam hauna walaji hilo la kwanza. Waislam hawalazimishwi kutoa sadaka msikitini na hata wakitoa hakuna pesa inayopatikana itakayomfanya mtu aneemeke bali ni vipesa tu vya kuendesha msikiti ndo mana mashekhe hawatembelei mabenzi kama wachungaji wanavyowakamua kondoo.

Kwenda kuhiji makka sio amri ya lazima. Bali ni nguzo muhimu ya dini inayoweza kutekelezwa na mtu mwenye uwezo wa kwenda kuhiji. Kama huna uwezo haikulazimu uende.

Nakushauri tu kabla ya kuuponda uislam, jaribu kuusoma kwanza mafundisho yake na jinsi unavyo operate ndio uje kuongea hapa sio unasambaza taarifa zisizo na ukweli
 
Acha story za vijiweni mkuu ingia kanisani infact wanaoombewa zaidi ni waumini kuliko hata mchungaji kuanzia magonjwa mpaka uchumia tena wao na familia zao. Halafu mchungaji yuko mmoja waumini wakiwa zaidi ya 1000 wakamchangia si lazima ela iwe nyingi sasa utahesabiaje utadhan kachangia mtu mmoja. Halafu makanisa yametoa misaada kibao kwa jamii kila siku hutaki kuzungumzia hilo ila wewe unahisi ela kazi yake kuliwa tu.
Kanisa ni mimi na wewe kuna matukio mengi hayako sawa hata michango imezidi
 
Back
Top Bottom