Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu...
M23 wameandika taarifa kwa umma wakilalamika TPDF kutembeza kichapo kisicho na Kisimbuzi. Ikumbukwe hawa M23 wameua RAIA wengi na Jumuia za Kimataifa ipo kimya.
Malalamiko yao yanakuja baada ya...
Tumekuwa na kawaida Kila Jumalipi tunaenda kanisani kusali Kwa sisi Wakristo na tukisisitizwa kuwa ni siku ya Bwana; kuwa alipumzika siku ya Saba.
Je lugha yetu inanichanganya maana nafahamu juma...
HII NI LIST YA WANASAYANSI KUTOKA AFRICA NA KAZI WANAZOZIFANYA KWENYE MATAIFA MAKUBWA
EGYPT
1. Euclid of Alexandria
huyu ni founder wa geometry ni mzaliwa wa egypt
amefanya kazi katika European...
Habari Wana JamiiForum na Wasabato wote Tanzania!
Kwa neema yake Mungu naomba tushirikiane na kuwaza kwa pamoja kama wakristo wano heshimu neno la Mungu kuhusiana na ubadhirifu wa unaofanywa na...
Wakati mwingine nadhani ni vizuri au busara kuto alika waandishi wa habari katika matukio ya ndani,au nyeti...Ambayo yatahitaji weredi wa nini kirushwe au nini kisirushwe....
Uvivu wa baadhi ya...
"Ding-dong!" goes the doorbell. Is it Avon calling? Or perhaps Ed McMahon with my three million dollars? No, it's Yahweh's Witlesses again, just wanting to have a nice little chat about the...
Ni vitu vichache ambavyo vinasisimua zaidi kuliko kuwa na uelewa wa mambo fiche ya ulimwengu kama ulivyo na umbo lake. Na vitu hivyo sio vya watu werevu tu, bali pia ni vya kila mtu kuviwaza na...
Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani
Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa...
???????
Swali hili ni Muhimu sana hasa dunia ya leo maana limeigawa katika vipande viwili ambavyo havina ukaribu wala ufanano hata chembe.
1:Wanaoamini Dunia iliumbwa(Creationists) - Dunia ina...
Habari Za Muda huu wanajamvi!
Leo ni siku ambayo ningependa kushare kidogo kuhusu Aina ya mtu kuongozwa kiakili na kufikia kufanya maamuzi kinyume na matakwa yake (Psychological Manipulation)...
Jamii imekuwa ni mwongozo wetu kwenye kuishi, hisia zetu mawazo na kufikiria mara zote yanatokana na jinsi jamii ilivyotutafsiria maisha. Kinachotokea ni tunakuwa zao la jamii inavyotaka na kukosa...
MATE,
Mwaka 33AD baada ya Kristo kuondoka duniani aliliacha kanisa mikononi mwa Peter kama papa/baba wa kwanza katika kueneza Imani na ushuhuda wa Kristo, Paulo akishirikiana na mitume/wanafunzi...
Hi to all of you here , my hope is that you are at least thinking of lockdown for yoour own good(I do not mean the situation has gone wild). Let me take it slow, currently there have been fishy...
Muhimu: Makala hii ndani yake ina maelezo na picha zenye kuogofya na ukatili. Soma kwa tahadhari binafsi. (reader’s discretion is strongly advised)
LA ULTIMA LETRA.
Sasa, unaweza kupata...
Majasusi ambao wanakuwa ni double agent wanakuwa changamoto sana kwa idara nyingi za usalama duniani ingawaje wanatumiwa sana mpaka sasa. Wengi wao hujifanya kuifanyia kazi kitengo Cha nchi yake...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
Wadau naamini kuna watu wenye uelewa na na michezo ya mazingaombwe au viini macho, naomba kujua hatua gani na taratibu zinatakiwa kufuatwa? Na wapi naweza jifunza?, je kunausiano wa mambo ya...
Habari Wanabodi
Nimeona quotes mbalimbali kuhusu complex person, je hawa ni watu wenye traits zipi?
Je umeshawahi washuhudia? Inasemekana ni watu wenye kuvutia at the same time ni dangerous...
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu?
وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ
[ AL - MUUMINUN - 78 ]
Na...