Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
5,796
13,038
Scenario
Naomba ni declare interest "Mimi ni mkristo Tena Mlutheri".
Hivi lipokuja swala la kuwaaminisha hawa wasio amini Mungu yupo "Kwanini sisi Tunaoamini Mungu yupo TUSIWE NA SAUTI MOJA?"

Flash back
Nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi tu juu ya wasio amini Mungu yupo wakitoa madini yao.
Lakini pia nimekuwa nikisoma juu ya wanaoamini Mungu yupo wakitoa madini yao pia.

The Problem
Ila mi binafsi nahisi Kuna tatizo kwa "Sisi Waamini Mungu"
We fungua Uzi wowote kwa wasioamini Mungu, utaona kila mwamini Mungu yupo anatoa ushahidi wake ambao ni tofauti na ushahidi wa mwengine.

Hebu soma ushahidi wa wakristo juu ya Mungu yupo?
Then soma ushahidi wa Waislamu juu ya Mungu yupo?

Utaona japo wote wanaoamini Mungu yupo ila kila side ina views zake na comments zake ambazo sometimes zinatofautiana kabisa yaani ZINAPINGANA.

We Waambie watoe view juu ya Mungu yupo kupitia Maandiko yaliyomtaja Yesu na Mtume Mohammed S.A.W utaona wako tofauti na kama hata wao ""Wanakinzana na kugombana kimawazo""

Sasa najiulizaga "Ikiwa kama sisi Tunaoamini Mungu yupo" tunazinguana..!! Tutawezaje kumuaminisha huyu ambae haamini Mungu yupo Akaamini?

The Paradox
Nina rafiki zangu wawili John (Mlokole - namwitaga baba Mchungaji) na Khadija (Sunni - huyu namwitaga ustadhati mzuri..!!!)

Hawa watu wawili kama wewe ukitaka kupata ""Confusion kichwani mwako"" we waulize swali kama ""ikiwa Imani ndio msingi mkuu wa kufata mafundisho ya Mungu ili twende peponi basi Motoni anaenda wa Imani gani?""

Atakachokujibu baba Mchungaji ni tofauti kabisaa na ustadhati wangu mzuri..!!!

What is Behind?
Sasa huwa najiuliza
1. Mungu hajui huu mkanganyiko alionao Khadija na John juu yake?

2. Huyu Mungu atawachoma wakina Khadija au wakina John kwasababu kati yao mmoja anatumia njia isiyofaa kumfata yeye (Haya ndio mawazo ya John na Khadija, huyu shika Biblia huyu shika Quran)...??

3. Huwa najiulizaga ""Kwanini Mungu asitoe tu one statement ili kutoa one truth true..!!""
Maana ukitaka kujua juu ya Habari za Mungu na Pepo, na Jehanamu basi John atakufundisha hivi na Khadija vile...!!!! Yaani tofauti Tena kwa kupingana kabisaaa.

Kwanini Mungu asiseme yeye mwenyewe "Kundi hili ndio lipo sahihi na nyie wotee nifateni kwa staili ya kundi hili"

Conclusion
Kama sisi " Waamini Mungu yupo" tumeshindwa kuelewana na wenyewe kuwa Mungu ni wa upande gani, Je kuwaaminisha ""Wasioamini Mungu yupo"" ya kwamba ""Mungu anataka Mafundisho ya kina John au Khadija"" Tutaweza kweli??

Mi nafikiria sisi Tunaoamini Mungu tukae kikao..!!! tuelewane kwanza then ndio tuwafate wasio amini Mungu ndio ""TUWAPE HABARI ZA MUNGU""


#YNWA
 
Scenario
Naomba ni declare interest "Mimi ni mkristo Tena Mlutheri".
Hivi lipokuja swala la kuwaaminisha hawa wasio amini Mungu yupo "Kwanini sisi Tunaoamini Mungu yupo TUSIWE NA SAUTI MOJA?"

Flash back
Nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi tu juu ya wasio amini Mungu yupo wakitoa madini yao.
Lakini pia nimekuwa nikisoma juu ya wanaoamini Mungu yupo wakitoa madini yao pia.

The Problem
Ila mi binafsi nahisi Kuna tatizo kwa "Sisi Waamini Mungu"
We fungua Uzi wowote kwa wasioamini Mungu, utaona kila mwamini Mungu yupo anatoa ushahidi wake ambao ni tofauti na ushahidi wa mwengine.

Hebu soma ushahidi wa wakristo juu ya Mungu yupo?
Then soma ushahidi wa Waislamu juu ya Mungu yupo?

Utaona japo wote wanaoamini Mungu yupo ila kila side ina views zake na comments zake ambazo sometimes zinatofautiana kabisa yaani ZINAPINGANA.

We Waambie watoe view juu ya Mungu yupo kupitia Maandiko yaliyomtaja Yesu na Mtume Mohammed S.A.W utaona wako tofauti na kama hata wao ""Wanakinzana na kugombana kimawazo""

Sasa najiulizaga "Ikiwa kama sisi Tunaoamini Mungu yupo" tunazinguana..!! Tutawezaje kumuaminisha huyu ambae haamini Mungu yupo Akaamini?

The Paradox
Nina rafiki zangu wawili John (Mlokole - namwitaga baba Mchungaji) na Khadija (Sunni - huyu namwitaga ustadhati mzuri..!!!)

Hawa watu wawili kama wewe ukitaka kupata ""Confusion kichwani mwako"" we waulize swali kama ""ikiwa Imani ndio msingi mkuu wa kufata mafundisho ya Mungu ili twende peponi basi Motoni anaenda wa Imani gani?""

Atakachokujibu baba Mchungaji ni tofauti kabisaa na ustadhati wangu mzuri..!!!

What is Behind?
Sasa huwa najiuliza
1. Mungu hajui huu mkanganyiko alionao Khadija na John juu yake?

2. Huyu Mungu atawachoma wakina Khadija au wakina John kwasababu kati yao mmoja anatumia njia isiyofaa kumfata yeye (Haya ndio mawazo ya John na Khadija, huyu shika Biblia huyu shika Quran)...??

3. Huwa najiulizaga ""Kwanini Mungu asitoe tu one statement ili kutoa one truth true..!!""
Maana ukitaka kujua juu ya Habari za Mungu na Pepo, na Jehanamu basi John atakufundisha hivi na Khadija vile...!!!! Yaani tofauti Tena kwa kupingana kabisaaa.

Kwanini Mungu asiseme yeye mwenyewe "Kundi hili ndio lipo sahihi na nyie wotee nifateni kwa staili ya kundi hili"

Conclusion
Kama sisi " Waamini Mungu yupo" tumeshindwa kuelewana na wenyewe kuwa Mungu ni wa upande gani, Je kuwaaminisha ""Wasioamini Mungu yupo"" ya kwamba ""Mungu anataka Mafundisho ya kina John au Khadija"" Tutaweza kweli??

Mi nafikiria sisi Tunaoamini Mungu tukae kikao..!!! tuelewane kwanza then ndio tuwafate wasio amini Mungu ndio ""TUWAPE HABARI ZA MUNGU""


#YNWA
Ni kutafuta nguvu ya imani tu hakuna kingine, viongozi wote wa dini ni lazima wasome theology na theology ni moja, na ni mojawapo ya nguzo ya imani katika dini zote.
 
Kuanza kuhoji tu undani wa hizo dini zenu inaonesha tayr akil yako imeanza kufanya kazi kutoka kwenye vifungo vya iman za kishenz ambazo zlikuja kuiharibu akili ya mtu mweusi.

Kwa wengine wa imani zenu ni kufuru kuuliza ama kuhoji maswal kama yako maana utaonekana mpagani na mtu asiyemuogopa huyo Mungu wa peponi sjui mbinguni.

Kimsingi imani na dini zote si sahihi maana ukifuatilia zote kiundan zinamakosa na zote zipo chini ya lengo moja na muanzilishi mmoja aliekuwa na targets zake kwa jamii fulani.

Kiuhalisia dini zote asili yake ni imani za kishirikina ambazo ziliabudiwa na mababu wa kiafrika ya kale yaani misri na sehem zingine baran Africa, na baada ya ujio wa races za watu weupe na kuanza kustaharabika wakazicopy hizo imani na kuzistaharabisha kwa kubadili histories, majina na wahusika wa hizo imani na ndipo ujio wa dini na misahafu ukaanzia hapo.

Uwez sema asiemuamini Allah atachomwa moto wakat hiyo dini imaenza juzi tu miaka ya 1400 iliyopita, na kabla yake kuna maelfu ya imani zilikuwepo kabla yake.

Na huwez sema asiyemuamn yesu atachomwa moto wakat kbla ya miaka 2000 kuna wakina Osiris, azazel, Krishna waliwai kuwepo kabla yake na walikuwa na miujiza kama ya huyo yesu na hawa ndio origin copies za stories za jesus ambao nao asili yao ni miungu ya waafrika wa kale.

Hakuna ukwel ktk dini ndiomaana mnapingana ninyi kwa ninyi.

Ni bora usiamin dini na miungu yake, kulko kuwa mpumbavu usiyejua nini unachokiabudu na kuipa sifa jamii fulani iliyokuletea uo upuuzi.

Mungu yupo lkn si huyo mnaemuabdu ktk magenge yenu ya dini.

Muumba wa kweli hana haja na dini ili umjue, bali kufuata sheria za uumbaji, upendo kwa viumbe wake na kutii sheria za , jamii yako unayokuzunguka.

Mbingu na motoni hazipo na hazitowai kuwepo maana ziliundwa na hao wana dini ili kuwatisha watu na kuwafanya waoga na watumwa wa imani.

Mtakesha kusubiri ujio wa hivyo viumbe vyenu na havitorudiii maana havijawai kuwepo.

Kupinga mafundisho ya dini isiwe kigezo cha kumuita mtu mpagani, maana hata wew unakuwa mpagani kwa kuikana imani ya uafrica na kukumbatia imani za mtu mweupe ambazo ni uongo na copy ya ile origin ya imani za babu zako.
FB_IMG_16089153778336533.jpg
 
Kuna sehemu naamini hatuko sawa.
Tukiijua hiyo sehemu basi TUTAELEWANA TUU..!!!

#YNWA
Hatukujengwa Kuyajibu maswali magumu, tumekua tegemezi kwa wa huni wa chache
Kuna sehemu naamini hatuko sawa.
Tukiijua hiyo sehemu basi TUTAELEWANA TUU..!!!

#YNWA
Kuna wakati najiuliza hivi, hawa viongoz wetu, wa kiiman, ni mwaka wa nani? mbona kama wanatufanya kua tegemezi kwa manufaa yao Binafsi!! Mafundisho yao ni chenga tu, hayaendani na ulimwengu waleo, mtu ajiita mtumishi anakufundisha ktu ukijaribu kukiingi za kichwani kinatoka berenge.
 
Ni kutafuta nguvu ya imani tu hakuna kingine, viongozi wote wa dini ni lazima wasome theology na theology ni moja, na ni mojawapo ya nguzo ya imani katika dini zote.
Hata hizo theology zinachanganya...
1. Kanisani
Kila kanisa Lina mafundisho yake.
Nimebahatika kusoma chuo kilichokuwa kinafundisha Theology then nilikuwa nafatilia sanaa baadhi ya lecture.
Ila ukicheki kiundani kila kanisa na mafundisho yake.
2. Msikitini
Nina ndugu ambao ni waislamu.
Na nimekulia mazingira ya mafundisho ya kiislamu.
Mafundisho yao ni sawa ila linapokuja swali la Shiah, Sunni, Bohora na wengine UTASHANGAAA?

Hizi Dini Hawa waasisi WALIKOSEA WAPI?

#YNWA
 
Mungu yuko na anaye mwamini Mungu anatakiwa ajinyenyekeze na kumtegemea huyo Mungu na kumuomba amuelekeze ipi ni njia sahihi ya kumjua na kumfikia Mungu. Si kwa uweza/nguvu wala akili zake bali kwa kuwezeshwa na Mungu mwenyewe. Yaani kwa Neema tu.

Dini za Uyahudi, Ukristo na Uislamu zote zinajinasibisha na Ibrahim wa kizazi baada ya gharika. Je kabla ya gharika Mungu wa Mbinguni hakuabudiwa? Aliabudiwa je? Kwa nini alighairi akaamua gharika iangamize dunia. Baada ya gharika Mungu hakuabudiwa? Aliabudiwa je? Hakuna walio kuwa ndani ya safina ya Nuhu walioendeleza yale yaliyo sababisha Mungu alete gharika duniani? Nini kilichomfanya Mungu amuondoe na kumtenga Ibrahim na ndugu na jamaa zake? Biblia inasema wazi hao ndugu na jamaa zake wakifanya ibada na mambo ya kumuudhi Mungu ya ushetani ndio maana akamtenga Ibrahim nao baada ya kuona roho ya Ibrahim ina mlingana yeye Mungu wa Mbinguni tofauti na ndugu na jamaa zake.

Ibrahim aliondoka akiwa na Baba yake mzazi, mkewe Sara na Loti kijana wa ndugu yake. Huko makazi mapya aliyoelekezwa na Mungu Ibrahim akajipatia mke mwengine kwa ushauri wa mke wake tofauti na mpango wa Mungu. Ukienda kwa mlolongo huo huku ukitegemea Mungu akuelekeze akili zako hadi kuzaliwa kwa Bwana Yesu hapa duniani bila shaka utajua ni ipi njia sahihi ya kumuona na kumuabudu Mungu wa Mbinguni.
 
Mungu yuko na anaye mwamini Mungu anatakiwa ajinyenyekeze na kumtegemea huyo Mungu na kumuomba amuelekeze ipi ni njia sahihi ya kumjua na kumfikia Mungu. Si kwa uweza/nguvu wala akili zake bali kwa kuwezeshwa na Mungu mwenyewe. Yaani kwa Neema tu.

Dini za Uyahudi, Ukristo na Uislamu zote zinajinasibisha na Ibrahim wa kizazi baada ya gharika. Je kabla ya gharika Mungu wa Mbinguni hakuabudiwa? Aliabudiwa je? Kwa nini alighairi akaamua gharika iangamize dunia. Baada ya gharika Mungu hakuabudiwa? Aliabudiwa je? Hakuna walio kuwa ndani ya safina ya Nuhu walioendeleza yale yaliyo sababisha Mungu alete gharika duniani? Nini kilichomfanya Mungu amuondoe na kumtenga Ibrahim na ndugu na jamaa zake? Biblia inasema wazi hao ndugu na jamaa zake wakifanya ibada na mambo ya kumuudhi Mungu ya ushetani ndio maana akamtenga Ibrahim nao baada ya kuona roho ya Ibrahim ina mlingana yeye Mungu wa Mbinguni tofauti na ndugu na jamaa zake.

Ibrahim aliondoka akiwa na Baba yake mzazi, mkewe Sara na Loti kijana wa ndugu yake. Huko makazi mapya aliyoelekezwa na Mungu Ibrahim akajipatia mke mwengine kwa ushauri wa mke wake tofauti na mpango wa Mungu. Ukienda kwa mlolongo huo huku ukitegemea Mungu akuelekeze akili zako hadi kuzaliwa kwa Bwana Yesu hapa duniani bila shaka utajua ni ipi njia sahihi ya kumuona na kumuabudu Mungu wa Mbinguni.
Acha usanii wewe
 
Scenario
Naomba ni declare interest "Mimi ni mkristo Tena Mlutheri".
Hivi lipokuja swala la kuwaaminisha hawa wasio amini Mungu yupo "Kwanini sisi Tunaoamini Mungu yupo TUSIWE NA SAUTI MOJA?"

Flash back
Nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi tu juu ya wasio amini Mungu yupo wakitoa madini yao.
Lakini pia nimekuwa nikisoma juu ya wanaoamini Mungu yupo wakitoa madini yao pia.

The Problem
Ila mi binafsi nahisi Kuna tatizo kwa "Sisi Waamini Mungu"
We fungua Uzi wowote kwa wasioamini Mungu, utaona kila mwamini Mungu yupo anatoa ushahidi wake ambao ni tofauti na ushahidi wa mwengine.

Hebu soma ushahidi wa wakristo juu ya Mungu yupo?
Then soma ushahidi wa Waislamu juu ya Mungu yupo?

Utaona japo wote wanaoamini Mungu yupo ila kila side ina views zake na comments zake ambazo sometimes zinatofautiana kabisa yaani ZINAPINGANA.

We Waambie watoe view juu ya Mungu yupo kupitia Maandiko yaliyomtaja Yesu na Mtume Mohammed S.A.W utaona wako tofauti na kama hata wao ""Wanakinzana na kugombana kimawazo""

Sasa najiulizaga "Ikiwa kama sisi Tunaoamini Mungu yupo" tunazinguana..!! Tutawezaje kumuaminisha huyu ambae haamini Mungu yupo Akaamini?

The Paradox
Nina rafiki zangu wawili John (Mlokole - namwitaga baba Mchungaji) na Khadija (Sunni - huyu namwitaga ustadhati mzuri..!!!)

Hawa watu wawili kama wewe ukitaka kupata ""Confusion kichwani mwako"" we waulize swali kama ""ikiwa Imani ndio msingi mkuu wa kufata mafundisho ya Mungu ili twende peponi basi Motoni anaenda wa Imani gani?""

Atakachokujibu baba Mchungaji ni tofauti kabisaa na ustadhati wangu mzuri..!!!

What is Behind?
Sasa huwa najiuliza
1. Mungu hajui huu mkanganyiko alionao Khadija na John juu yake?

2. Huyu Mungu atawachoma wakina Khadija au wakina John kwasababu kati yao mmoja anatumia njia isiyofaa kumfata yeye (Haya ndio mawazo ya John na Khadija, huyu shika Biblia huyu shika Quran)...??

3. Huwa najiulizaga ""Kwanini Mungu asitoe tu one statement ili kutoa one truth true..!!""
Maana ukitaka kujua juu ya Habari za Mungu na Pepo, na Jehanamu basi John atakufundisha hivi na Khadija vile...!!!! Yaani tofauti Tena kwa kupingana kabisaaa.

Kwanini Mungu asiseme yeye mwenyewe "Kundi hili ndio lipo sahihi na nyie wotee nifateni kwa staili ya kundi hili"

Conclusion
Kama sisi " Waamini Mungu yupo" tumeshindwa kuelewana na wenyewe kuwa Mungu ni wa upande gani, Je kuwaaminisha ""Wasioamini Mungu yupo"" ya kwamba ""Mungu anataka Mafundisho ya kina John au Khadija"" Tutaweza kweli??

Mi nafikiria sisi Tunaoamini Mungu tukae kikao..!!! tuelewane kwanza then ndio tuwafate wasio amini Mungu ndio ""TUWAPE HABARI ZA MUNGU""


#YNWA
Mkuu Mungu ni cheo Hata Shetani Anatambulika Kama mungu wa dunia, sifa za mungu wa waislam ni tofauti na Mungu wa wakristo na hapo ndipo mkanganyiko unapoanzia,
 
Mkuu Mungu ni cheo Hata Shetani Anatambulika Kama mungu wa dunia, sifa za mungu wa waislam ni tofauti na Mungu wa wakristo na hapo ndipo mkanganyiko unapoanzia,
Hao wakristo wenyewe wametofautiana kwenye vitu vingi, ndio maana hata idadi ya vitabu ni tofauti wengine wana 66 na wengine wana 73, malizeni tofauti zenu ndio mje kwetu wapagani
 
Mkishaelewana wote mnaosoma Yohana ndio mje kwetu watu wa kimila

Ongezea na hiyo hapo Ezekieli 24:14 uiosome pamoja na hiyo Yohana 14:6. Uwe ni wa kimila
au vyovyote vile utakavyo, maadamu umeumbwa hujajiumba na huna uwezo wa kujiumba.... Ukishajua kuna Mungu, na Mungu huyo kayaweka/kayapanda maadili mema moyoni mwako tangu kuzaliwa kwako basi na ijulikane kwamba tayari dhambi ina kuhusu.

So kinachofuata hapo ni kutakiwa kujinyenyekeza kwa huyo Mungu wa Mbinguni ili Neema yake isikupitie pembeni.
 
Scenario
Naomba ni declare interest "Mimi ni mkristo Tena Mlutheri".
Hivi lipokuja swala la kuwaaminisha hawa wasio amini Mungu yupo "Kwanini sisi Tunaoamini Mungu yupo TUSIWE NA SAUTI MOJA?"

Flash back
Nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi tu juu ya wasio amini Mungu yupo wakitoa madini yao.
Lakini pia nimekuwa nikisoma juu ya wanaoamini Mungu yupo wakitoa madini yao pia.

The Problem
Ila mi binafsi nahisi Kuna tatizo kwa "Sisi Waamini Mungu"
We fungua Uzi wowote kwa wasioamini Mungu, utaona kila mwamini Mungu yupo anatoa ushahidi wake ambao ni tofauti na ushahidi wa mwengine.

Hebu soma ushahidi wa wakristo juu ya Mungu yupo?
Then soma ushahidi wa Waislamu juu ya Mungu yupo?

Utaona japo wote wanaoamini Mungu yupo ila kila side ina views zake na comments zake ambazo sometimes zinatofautiana kabisa yaani ZINAPINGANA.

We Waambie watoe view juu ya Mungu yupo kupitia Maandiko yaliyomtaja Yesu na Mtume Mohammed S.A.W utaona wako tofauti na kama hata wao ""Wanakinzana na kugombana kimawazo""

Sasa najiulizaga "Ikiwa kama sisi Tunaoamini Mungu yupo" tunazinguana..!! Tutawezaje kumuaminisha huyu ambae haamini Mungu yupo Akaamini?

The Paradox
Nina rafiki zangu wawili John (Mlokole - namwitaga baba Mchungaji) na Khadija (Sunni - huyu namwitaga ustadhati mzuri..!!!)

Hawa watu wawili kama wewe ukitaka kupata ""Confusion kichwani mwako"" we waulize swali kama ""ikiwa Imani ndio msingi mkuu wa kufata mafundisho ya Mungu ili twende peponi basi Motoni anaenda wa Imani gani?""

Atakachokujibu baba Mchungaji ni tofauti kabisaa na ustadhati wangu mzuri..!!!

What is Behind?
Sasa huwa najiuliza
1. Mungu hajui huu mkanganyiko alionao Khadija na John juu yake?

2. Huyu Mungu atawachoma wakina Khadija au wakina John kwasababu kati yao mmoja anatumia njia isiyofaa kumfata yeye (Haya ndio mawazo ya John na Khadija, huyu shika Biblia huyu shika Quran)...??

3. Huwa najiulizaga ""Kwanini Mungu asitoe tu one statement ili kutoa one truth true..!!""
Maana ukitaka kujua juu ya Habari za Mungu na Pepo, na Jehanamu basi John atakufundisha hivi na Khadija vile...!!!! Yaani tofauti Tena kwa kupingana kabisaaa.

Kwanini Mungu asiseme yeye mwenyewe "Kundi hili ndio lipo sahihi na nyie wotee nifateni kwa staili ya kundi hili"

Conclusion
Kama sisi " Waamini Mungu yupo" tumeshindwa kuelewana na wenyewe kuwa Mungu ni wa upande gani, Je kuwaaminisha ""Wasioamini Mungu yupo"" ya kwamba ""Mungu anataka Mafundisho ya kina John au Khadija"" Tutaweza kweli??

Mi nafikiria sisi Tunaoamini Mungu tukae kikao..!!! tuelewane kwanza then ndio tuwafate wasio amini Mungu ndio ""TUWAPE HABARI ZA MUNGU""


#YNWA
Mwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?

Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.

Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
 
Back
Top Bottom