Je, wajua nini kuhusiana na nadharia ya uwepo wa Jua la Kiroho?

Undava King

JF-Expert Member
Aug 11, 2017
3,205
5,333
Kwa mujibu wa mwongozo wa kiroho wa madhehebu ya kipagani daima huamini kuwa mfumo wa jua ni taswira ya mfano wa babu kizee mwenye ndevu nyeupe "The grand Man"

Na katika fikra zao walijiumbia analojia ya vitu vitatu vya maisha ya ndani ya mwili wa binadamu; Ubongo, Moyo na Mifumo ya Uzazi.

Kubadilika kwa sura ya yesu katika biblia uelezea dhana ya mahema au nguvu kuu tatu za kiimani (three tebernacles), kubwa zaidi ikiwa katikati yaani Moyo, na ndogo zaidi toka upande wowote yaani Ubongo au Mifumo ya Uzazi.

Inawezekana kuwa nadharia ya kifilosofia ya uwepo wa Majua Matatu inaegemea zaidi dhana ya asili ya kimazingira katika mtizamo huu ambao umekuwapo katika historia ya binadamu kwa maelfu ya miaka.

Katika kuliangalia hili ebu turejelee historia ya hivi karibuni katika nukuzi mbalimbali; katika mwaka 51 baada ya kristo Majua 3 yalionekana mara 1 katika anga na pia katika mwaka wa Sitini na sita (66) Katika mwaka Sitini na tisa (69) Majua 2 yalionekana pamoja, kulingana na andiko la William Lilly, kati ya mwaka 1156 na 1648 Matukio 20 kama haya yalirekodiwa.

Kulitambua jua kama mkuu wa fadhili ya dunia inayoonekana kwa macho ya kawaida, Hermetists waliamini kuwa kuna JUA LA KIROHO, ambalo ndilo kisababishi cha jotoridi ndani yetu, na kwa wote WALIOJAALIWA UWEZO WA KUONA, wataliona hilo jua; na WALE AMBAO NI VIPOFU na ambao hawawezi kuliona wanaweza tu kulihisi joto lake.

Kuna jua la umilele (eternal sun) ambalo ndilo hasa chanzo cha Hekima (Wisdom) na wale ambao katika maisha ya kiroho wamekwisha pevuka/kufunguliwa (their spiritual senses have awakened to life) wataliona hilo jua na kuwa na ufahamu juu ya uwepo wake lakini wale ambao hawajapata kufikia hatua hiyo ya ufahamu wa kiroho (spiritual consciousness) watahisi nguvu yake kupitia ufahamu fiche/wa ndani tunauita Uelewa/Uangavu/Maono (intuition)

Mwanazuoni mmoja wa mafunzo ya Rosicrucian aliwahi kukazia juu ya hili akielezea juu ya awamu 3 za jua;
1. Jua la Kiroho (the spiritual sun) inayofahamika kama Vulcan;

2. Nishati Jua (soular) na Jua la Akili (intellectual sun), Kristo na Lusifa katika mfuatano sambamba/mmoja.

3. Jua la Ulimwengu wa Kimwili (jua halisi), Miungu ya Wayahudi Jehovah (the Jewish Demiurgus Jehovah)

Lucifer hapa anawakilisha fikra ya akili (intellectual mind) pasipo na mwangaza (illumination) wa akili ya Kiroho (Kristo); hivyo basi Lusifa ni "mwangaza wa uongo" the false light.

Kwa hiyo Mwangaza huu wa uongo mwishowe Ushinda na Kukombolewa na Mwangaza wa Ukweli wa Nafsi (the true light of the soul) uitwao Second Lagos au Kristo.

Mifumo ya siri ambayo akili ya Lusifa (akili ya binadamu wa kawaida) inabadilishwa kuwa akili ya Kristo (akili ya kiroho) hujumuisha moja ya Siri kuu ya "Alchemy" ambayo uwakilishwa na mfumo wa kubadili chuma (base metals) kuwa gold (dhahabu)

Kila kiumbe hai ndani yake ujisheheneza/ujikamilisha kama kitovu cha uhai (contains itself a centre of life, which may grow to be a sun) ambayo baadaye ukuwa na kuwa jua, katika joto hili linalozalishwa (na jua la kiroho), nguvu za kimungu (the divine power) zikihamshwa na kuchochewa na mwanga wa "the Lagos" (Kristo) ukuwa na kubadilika kuwa Jua ambalo uangazia ufahamu/akili.

"Mwandishi huyu wa uzi anahitimisha andiko lake kwa kusema "Jua tulionalo kwa macho ya nyama" (the terrestrial sun) ni kama Picha/taswira (image) au akisi ya Jua la kimbingu (lisiloonekana) lisiloshindwa (the invincible celestial sun), Jua la Mwanzo (the former) lipo katika ulimwengu (realm) wa kiroho wakati lile la mwisho (the latter) lipo katika hali ya mada; lakini la mwisho linapokea nguvu kutoka katika mwanzo."

NB:

Alchemy- Ni sayansi ya zama za mwanzo kuhusisha uchunguzi wa kifilosofia ambao ulikusudia kubadilisha Chuma kuwa Dhahabu, ugunduzi wa tiba ya magonjwa kwa ulimwengu mzima, na ugunduzi wa namna ya kurefusha maisha. alchemist.

Lagos- hii ni sababu ya kimungu iliyokasimishwa ulimwenguni kote, isiyo ya kawaida katika asili, lakini ina nguvu kushinda ukinzani wa aina yeyote ile katika ulimwengu wa kibinadamu.

Hii ndiyo ile siri ya ukweli wa milele na usiobadilika uliopo tangu wakati huo wa uumbaji, inapatikana kwa kila mtu anayeitafuta.
 
Kwa mujibu wa mwongozo wa kiroho wa madhehebu ya kipagani daima huamini kuwa mfumo wa jua ni taswira ya mfano wa babu kizee mwenye ndevu nyeupe "The grand Man"

Na katika fikra zao walijiumbia analojia ya vitu vitatu vya maisha ya ndani ya mwili wa binadamu; Ubongo, Moyo na Mifumo ya Uzazi.

Kubadilika kwa sura ya yesu katika biblia uelezea dhana ya mahema au nguvu kuu tatu za kiimani (three tebernacles), kubwa zaidi ikiwa katikati yaani Moyo, na ndogo zaidi toka upande wowote yaani Ubongo au Mifumo ya Uzazi.

Inawezekana kuwa nadharia ya kifilosofia ya uwepo wa Majua Matatu inaegemea zaidi dhana ya asili ya kimazingira katika mtizamo huu ambao umekuwapo katika historia ya binadamu kwa maelfu ya miaka.

Katika kuliangalia hili ebu turejelee historia ya hivi karibuni katika nukuzi mbalimbali; katika mwaka 51 baada ya kristo Majua 3 yalionekana mara 1 katika anga na pia katika mwaka wa Sitini na sita (66) Katika mwaka Sitini na tisa (69) Majua 2 yalionekana pamoja, kulingana na andiko la William Lilly, kati ya mwaka 1156 na 1648 Matukio 20 kama haya yalirekodiwa.

Kulitambua jua kama mkuu wa fadhili ya dunia inayoonekana kwa macho ya kawaida, Hermetists waliamini kuwa kuna JUA LA KIROHO, ambalo ndilo kisababishi cha jotoridi ndani yetu, na kwa wote WALIOJAALIWA UWEZO WA KUONA, wataliona hilo jua; na WALE AMBAO NI VIPOFU na ambao hawawezi kuliona wanaweza tu kulihisi joto lake.

Kuna jua la umilele (eternal sun) ambalo ndilo hasa chanzo cha Hekima (Wisdom) na wale ambao katika maisha ya kiroho wamekwisha pevuka/kufunguliwa (their spiritual senses have awakened to life) wataliona hilo jua na kuwa na ufahamu juu ya uwepo wake lakini wale ambao hawajapata kufikia hatua hiyo ya ufahamu wa kiroho (spiritual consciousness) watahisi nguvu yake kupitia ufahamu fiche/wa ndani tunauita Uelewa/Uangavu/Maono (intuition)

Mwanazuoni mmoja wa mafunzo ya Rosicrucian aliwahi kukazia juu ya hili akielezea juu ya awamu 3 za jua;
1. Jua la Kiroho (the spiritual sun) inayofahamika kama Vulcan;

2. Nishati Jua (soular) na Jua la Akili (intellectual sun), Kristo na Lusifa katika mfuatano sambamba/mmoja.

3. Jua la Ulimwengu wa Kimwili (jua halisi), Miungu ya Wayahudi Jehovah (the Jewish Demiurgus Jehovah)

Lucifer hapa anawakilisha fikra ya akili (intellectual mind) pasipo na mwangaza (illumination) wa akili ya Kiroho (Kristo); hivyo basi Lusifa ni "mwangaza wa uongo" the false light.

Kwa hiyo Mwangaza huu wa uongo mwishowe Ushinda na Kukombolewa na Mwangaza wa Ukweli wa Nafsi (the true light of the soul) uitwao Second Lagos au Kristo.

Mifumo ya siri ambayo akili ya Lusifa (akili ya binadamu wa kawaida) inabadilishwa kuwa akili ya Kristo (akili ya kiroho) hujumuisha moja ya Siri kuu ya "Alchemy" ambayo uwakilishwa na mfumo wa kubadili chuma (base metals) kuwa gold (dhahabu)

Kila kiumbe hai ndani yake ujisheheneza/ujikamilisha kama kitovu cha uhai (contains itself a centre of life, which may grow to be a sun) ambayo baadaye ukuwa na kuwa jua, katika joto hili linalozalishwa (na jua la kiroho), nguvu za kimungu (the divine power) zikihamshwa na kuchochewa na mwanga wa "the Lagos" (Kristo) ukuwa na kubadilika kuwa Jua ambalo uangazia ufahamu/akili.

"Mwandishi huyu wa uzi anahitimisha andiko lake kwa kusema "Jua tulionalo kwa macho ya nyama" (the terrestrial sun) ni kama Picha/taswira (image) au akisi ya Jua la kimbingu (lisiloonekana) lisiloshindwa (the invincible celestial sun), Jua la Mwanzo (the former) lipo katika ulimwengu (realm) wa kiroho wakati lile la mwisho (the latter) lipo katika hali ya mada; lakini la mwisho linapokea nguvu kutoka katika mwanzo."

NB:

Alchemy- Ni sayansi ya zama za mwanzo kuhusisha uchunguzi wa kifilosofia ambao ulikusudia kubadilisha Chuma kuwa Dhahabu, ugunduzi wa tiba ya magonjwa kwa ulimwengu mzima, na ugunduzi wa namna ya kurefusha maisha. alchemist.

Lagos- hii ni sababu ya kimungu iliyokasimishwa ulimwenguni kote, isiyo ya kawaida katika asili, lakini ina nguvu kushinda ukinzani wa aina yeyote ile katika ulimwengu wa kibinadamu.

Hii ndiyo ile siri ya ukweli wa milele na usiobadilika uliopo tangu wakati huo wa uumbaji, inapatikana kwa kila mtu anayeitafuta.
Tupe vitu mzee tunachukua notes.
 
Lagos- hii ni sababu ya kimungu iliyokasimishwa ulimwenguni kote, isiyo ya kawaida katika asili, lakini ina nguvu kushinda ukinzani wa aina yeyote ile katika ulimwengu wa kibinadamu.
Mr Undava nnawaza labda ni Logos ama.? Hapo ulipotumia Lagos anyway matamshi tu eeh.....

Maana yale maandiko ya mwanzo yanayosemaga 'Naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu' ilitumika neno Logos...... kwamba 'Naye Logos.....,....Logos alikuwa Mungu'

Logos ni hekima kuu, kama wazo kuu linalotawala ulimwengu. Kanuni zinazoongoza kila kitu naaam nazo ni chanzo ambacho kila kitu kimeumbwa nacho ndiyo Logos.

Kibinadambinadamu mfanano wake ni mantiki (logic) lakini hiyo (Logos) inakuwa ndo mama wa mantiki zote.
 
Mr Undava nnawaza labda ni Logos ama.? Hapo ulipotumia Lagos anyway matamshi tu eeh.....

Maana yale maandiko ya mwanzo yanayosemaga 'Naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu' ilitumika neno Logos...... kwamba 'Naye Logos.....,....Logos alikuwa Mungu'

Logos ni hekima kuu, kama wazo kuu linalotawala ulimwengu. Kanuni zinazoongoza kila kitu naaam nazo ni chanzo ambacho kila kitu kimeumbwa nacho ndiyo Logos.

Kibinadambinadamu mfanano wake ni mantiki (logic) lakini hiyo (Logos) inakuwa ndo mama wa mantiki zote.

Uko sawa kabisa mkuu asante kwa kubaini na kusahihisha hiyo typing error kwa kufafanua vyema kiasi ambacho ni rahisi kueleweka, ni kweli nilimaanisha 'Logos' na siyo Lagos.

Na hiki ninachokizungumza hapa ndiyo maarifa ya juu zaidi katika kuelewa maandiko matakatifu katika uhalisia wake na siyo kusoma symbolism za masimulizi yaliyoandikwa kwa ajili ya walio wengi kutobaini kilichofichwa ndani yake hili wachache tu (wanao-ona) wayatumie kwa manufaa kwa ajili ya vipofu (wasio-ona) ambao wanapaswa kuamini tu.
 
SEHEMU YA 2- DIMENSIONS (Special for Awakening souls only)
Take it or Leave it (Food for thought)

1. Second World (ulimwengu wa pili)

-Ni ulimwengu wa kale mno (very ancient)
  • Siyo angavu kama mchana wa 'the real world' na hakuna mchana wala usiku japo mwangaza ni hafifu muda wote kama uangaziwao na mbalamwezi.
  • Human race wanaopatikana katika plane hii ni same gender yaani men.
-Binadamu hawatofautishwi kwa rangi ya mwili.
- "VITA" eneo hili ni kiwanja cha umwagaji damu linatawaliwa na mapigano yasiyo na kikomo.
-Adui mkuu ni "THE WATCHERS"
ambao wanawagawa binadamu katika makundi makuu mawili
I. Supporters wa utawala-hawa ndiyo wanaopambana na fellow humans katika vita ya mawe (katika plane hii chuma zinakuwa hazijafikiwa bado)
II. Oppressed-hawa kazi yao ni kutimua mbio kadri uwezavyo masaa yote kunusuru roho yako usiangukiwe na majabali yanayofurumushwa kila mahali juu ya anga na mbio mara zote hapa siyo kipimo cha kunusurika wakati mwingine ni bahati yako tu kuendelea kukawia mauti.

Supporters wa "the watchers" hawa wanahusika kuswaga humans race kuingia katika cage isiyoonekana kwa macho (kimakundi-makundi) ndani ya mtafaruku huu mnajikuta mmenyakuliwa na unknown "the watchers" katika plane yao invisible to the eyes of human race.
(the feeling I got here it's like 'the watchers' are feeding on us)

Katika makundi ya hawa binadamu wanaokimbia kuna wale wachache mno (Awakening souls)ni kama wameanza kuamka kidogo katika mchezo huu kwani ujipenyeza na kuingia katika makundi yale yanayoswagwa na viongozi wasaliti (kwa kawaida makundi hayo huwa na usalama wa kutoangukiwa na mawe hili kuadaa pray wao) kuelekea kutoweshwa lakini kabla ya kufika eneo rasmi, wale werevu ujiengua chap na kujichanganya kwenye mbio na wengine lakini pia ikionekana kama werevu hawa wanajaribu mara kwa mara kuwasiliana na wenzao wenye ufahamu sawa kuunda umoja fulani kupambana na adui yao mkuu 'the watchers'

2. Third world (ulimwengu wa tatu)

  • Ni ulimwengu wa kale (lakini haufikii ule wa pili)
  • vita kuu katika ulimwengu huu ni "KODI"
  • Ni ulimwengu wenye tawala za kimamlaka za kibinadamu
-Kodi utozwa hapa pasipo na masihara, na huduma za kijamii na miundombinu ni very poor
-Katika plane hii kila raia uwajibika kutoa kodi pasipo kipingamizi (japo wanaumia na hawapendi kutoa) na hakuna rushwa (labda favor ya kupunguziwa kidogo ukiwa reasonable)
-Human races uanzia hapa (utaanza kumtambua mwafrika na mzungu ukiwa katika plane hii)
-Ni sehemu ya anasa na starehe ila ubaguzi hamna na kila mtu anajali muda wake i.e night club za huko watu ufanya ngono hadharani (mostly Caucasians) watu wakiwashuhudia tu na hamna aibu (ni kama sodom & Gomorrah)
-tabaka hili linakaliwa na matabaka ya wenye navyo na wasio nacho (kuna matajiri, celebrities, masikini n.k)
-tabaka hili linatoa idadi kubwa ya human race wanaoishi katika present ya real world
-Kuna kundi fulani la watu kutoka katika real world uzagaa zagaa katika plane hii, aidha ni watalii au watu waliojikuta mahali hapa pasipo matarajio, uonekana kama wageni wakishangaa mazingira na ustaarabu ulioko pande hizi,mostly ushangazwa na utozaji kodi wa huku kuwa very strictly kwa kila kitu, imagine hata bar ile unakaa tu ujaagizia chochote mwenye baa anakuja kuchukua kodi ya serikali na huku mziki wakusiliza mikito haupo ni live performance ya mdomo tu na yenyewe hainogi.
- Hata kama kuna watu umewabaini katika real world ni wazee ila ukikutana nao katika 3 world ni vijana (feature nyingine ya ajabu katika plane hii ni kuwa hakuna mzee)
-Ndiyo plane pekee unakoweza kuanza kutofautisha jinsia au kushuhudia uwepo wa mwanamme na mwanamke
-Mambo yote hapa ikiwepo teknolojia, fasheni, maendeleo na ustaarabu ni mambo yaliyopitwa na wakati 'local' ukilinganisha na real world.
-Ulimwengu huu bila "KAZI" mambo hayaendi (fitina, majungu,kuchomeshana n.k nikugusa tu) na hauna utofauti na real world katika miji, vyombo vya usafiri n.k isipokuwa wao bado wako analogia sana.
-Katika plane hii kuna usiku na mchana isipokuwa muda wa mchana si angavu exactly kama the real world.
-Katika plane hii "the real world" ni future na aliyepo "the real world" uchukulia 3world kama past (kiufupi plane ya 3 na 3D ni pacha ila moja ni past nyingine ni future yake)
-Mtawala mkuu hapa ni "The Watchers" na malipo yake ni Heavy Tax (japo walipaji hawana ufahamu juu ya anayelipwa jasho lao(anayenufaika na maumivu yao wanaposaka kodi), wao hujua ni serikali yao)

hivyo tunaposema nchi fulani bado zipo ulimwengu wa tatu hiki ndicho umaanishwa na wale wenye macho/ufahamu

3D (the real world)- Dunia ya Mizania/Usawa. (Dunia ya uwili inayojongelea utatu)

- Future world (ya ulimwengu wa pili na ulimwengu wa 3)
-Vita na Kodi havitengani.
-The watchers (wafalme) na Watawala (watumishi)
-"the watchers au controllers" wamejificha bado japo hapa wanaanza kujidhihirisha kidogo kwa humans kupitia symbolism, filosofia zao na nguvu yao katika ku-manifest materialism world.
- Demokrasia na udikteta katika mizania.
-Mambo mengi yapo wazi na mengi hayako wazi pia hivyo ni contradictory plane kwa atafutaye ukweli wa kila jambo iwe katika dini,elimu,michezo,sanaa au siasa.
-modernity na tekinolojia ni ya hali ya juu na maajabu yake hayana majawabu.
-Usawa uzingatiwa katika kila jambo na ubaguzi pia vivyo hivyo.
-Ufahamu katika plane hii ni mixed (kuna ufahamu wa juu, kati na chini) kuna wale wanaoendelea kuwabariki "the watchers" kuna walio njia panda(mguu nje mguu ndani) na kuna wale wachache wanaokataa kuwafuata, japo wote bado wanawajibika kwa "the watchers"
-Mema na maovu katika mizania moja.
-Katika plane hii The Watchers ufanya mashirikiano ya moja kwa moja na human race yaani wale wasaliti waliokuwa na mashirikiano nao awali tokea tawala ya kwanza na ya pili.

(watawala wakuu wa kibinadamu ufanywa immortal na kutwaliwa katika plane ya peke yao-tuseme ni 4th dimension (uvikwa utukufu wa mng'ao wa dhahabu na nguvu kali ya usumaku) wakifanya kazi ambazo awali zilikuwa zikifanywa na "the watchers" katika plane ya 2 kama wavunaji/wavuvi wa roho za wanadamu toka katika ulimwengu huu wa 3D)

Itaendelea...
 
SEHEMU YA 3:

TOFAUTI YA NAFSI NA ROHO (SOUL AND SPIRIT) .

MIZIMU SIO ROHO.

THE ONE/MMOJA, THE WATHERS(GODS) AND HUMANS

ULIMWENGU WA 5D, 4D NA ULIMWENGU WA 3D.

Nianze kwa kusema ya kwamba "Mizimu Sio Roho" imezoeleka watu wakiambiwa mizimu ni nini? Husema Mizimu ni Roho za Watu walio kufa, wengi hujidanganya hivyo. La sihitaji kuwakosoa au kuwatukana nahitaji niwape maarifa niwaongezee hekima ya kweli.

Sishindani sipambani nimeamua kuishi katika ulimwengu wa Baba (Spirit Realm) angali nipo katika Ulimwengu wa Matrix (Virtual Simulation Matrix Worlds) au ulimwengu wa Watchers. Naam, Kwahakika atakae pokea hekima hii ya Baba atafunuliwa ule ukweli mkuu.

Basi kwanini Mizimu sio Roho?

Kwanza huenda hatufahamu maana ya Roho na Nafsi pia hatujui Tofauti ya kweli kati ya Nafsi na Roho. Nitakufafanulieni kadri Baba atakavyo fafanua kwangu. Nitakufafanulieni Baba ni nani? na wala si vema kutumia viwakilishi vya mtu maana Siyo kiumbe you will understand at The End.

Neno ROHO yaani Spirit ilitafsiriwa kutoka kwenye neno la kihebrania "Rauch" likimaanisha "Upepo" au "Pumzi" pia kisayansi ni "Energy" yaani Nishati.

Na neno NAFSI yaani SOUL lilitafsiriwa lilipatikana kutoka kwenye neno la kihebrania "Repesh" likimaanisha "Breathing Creature" yaani "Kiumbe mwenye kupumua" hiyo ndiyo nafsi. Hapo sijazungumzia mwili nimezungua Nafsi na Roho.

Watu wengi wamekua wakifanya makosa kutafsiri maneno hayo na kuyaelewa katika uhalisia wake wa kweli.

Ngoja nikupe mfano fulani kabla sijaendelea na nitazungumza mambo mengi kwenye mada hii nitaingiza baadhi ya historia na kujaribu kutofautisha Ulimwengu wa 4D na ulimwengu wa 5D na 3D na namna inavyo kwenda.

Tutamuona Mungu na Shetani wa kileo na Ukweli mkuu ndani yake na huu ni uelekeo wa "THE WAY TO THE MOTHER OR THE MOTHER" yaani njia ya kwenda kwa Baba THE ONE...THE ONLY ONE ambapo ndani yake najaribu kukutofautishia Ulimwengu wa Miungu (Gods) ambao Henoko nabii wa Prince wa Ea amewaita THE WATCHERS.

Mfano wangu ni kama Ifuatavyo;- Mito mingi na Maziwa tofauti tofauti huzaliwa na kisha hufanya safari ndefu na mwisho hufa hugeuka kuwa Bahari. Mfano mto songwe unapeleka maji yake mpaka Bahari ya Hindi, ukisha ingia Bahari ya Hindi hauwi tena mto Songwe bali mto nao unaungana na maji mengi MMOJA [THE ONE] ambaye ni BAHARI,

baada ya hapo hatutosema tena mto Songwe au Mto Kimara bali tutasema Bahari ya Hindi, na ndani ya Bahari maji mengi aliyefanyika kuwa mmoja (The One) Hakuna uwezekano wa kutenganisha mto Songwe na Mto kimata au ziwa victoria na ziwa Turkana..kwasababu wote wamefanyika kuwa mmoja (The One) ambae katika mfano wetu ni Bahari moja Bahari ya Hindi, kwahiyo hakuna utengano na mashindano ni Bahari Moja ishindane na nani? Huo ndio ulimwengu wa Baba ulimwengu wa Roho (Spirit Realm).

Mizimu haipo ulimwengu wa Roho, wala tukifa hatuendi ulimwengu wa ROHO ulimwengu wa Baba (Spirit Realm) mmoja tu hana jina, vyoote vinavyo ingia kwake vinafanyika kuwa yeye mwenyewe mmoja yule yule na Ufahamu huu wa Mmoja THE ONE sio ufahamu wa Viumbe. Sasa ngoja tuone udadavuzi zaidi juu ya Mizimu, Roho na Nafsi.

Tumeona hapo mwanzo kwamba Nafsi inamaanisha kiumbe mwenye kupumua. Wengine wanasema Nafsi ni kiunganishi kati ya Roho na mwili(Mind) Siwapingi bali Hiyo ni kazi ya nafsi ila sio maana ya Nafsi. Nafsi (Souls) pekee ndizo zinazo weza kuishi katika ulimwengu wa 3D na Ulimwengu wa 4D..Lakini katika Ulimwengu wa 5D nafsi hazi exist ..nafsi haiwezi kuishi na haitowahi kutokea kuwepo kwenye 5D dimension. Nafsi kwa Tafsiri sahihi ni MWILI wako wa ndani usio na nyama na Damu.

Mwili upo mwingine ambao hauonekani kwenye dimensions za 3D isipokuwa mhusika afanye kitu kinaitwa (Kutenganisha Nafsi) ASTRAL PROJECTION ambayo huitwa OUT OF BODY EXPERIENCE yaani kutoka nje ya mwili wako na kuuona mwili wako mwingine ambao hauonekani kifizikia huo mwili ndio umebeba Roho.

Kwahiyo Nafsi ndiyo inatufanya tuitwe Viumbe . Mwili ni kifaa cha Nafsi ili kujidhihirisha katika ulimwengu wa Kifizikia (3D) katika maumbile yenye kuonekana. Unakuja kundua kwamba Mizimu tunaijua kama viumbe ndiyo tuna majina yao yaani watu walio kufa kwenye Ukoo mfano Mzimu wa Joseph, mzimu wa Mwakalunga, Mzimu wa ndugu yako aliye kufa.

Kwahiyo Wachawi wana teknolojia ya kuamsha mizimu au kuwaita Mizimu kwa majina yao na wakaja na ukawatumia wanaamshwa makaburini. Mfano pia kwenye Biblia, Mfalme Sauli wa Israeli alipozidiwa na Wafilisti alipo uliza kwa Bwana, Bwana alikaa kimya, Sauli aliwaza na vita imekua kali na lazima akapambane lakini hali yake ipo matatani..akaamua kwenda kwa Mganga mwanamke akaomba ainuliwe nabii SAMWELI (aliyekuwa amekwisha kufa) kwamba aliomba mzimu wa Nabii Samweli na Mwamuzi wa Israel uamshwe ili aongee nao ajue hatima yake. Mganga akauita Mzimu wa Samweli na ukaja .. hiyo inathibitisha Mizimu ni Viumbe kwahiyo Therefore Mizimu sio Roho ni NAFSI za watu walio kufa katika Mwili.

Ipo hivi sasa zile hadithi ya kwamba Allah ametuandalia Pepo, huko Peponi ametuandalia makaazi yenye raha wanawake mabikra, mara Yesu ameenda kwa Baba ake kutuandalia makao...ukisoma ufunuo 22 utashangaa.. et kwamba hayo makao (Jerusalemu mpya) imejengwa kwa vito vya thamani kama dhahabu safi, Lulu, samawaati n.k

Sasa nikuambie Hiyo inathibitisha zaidi kwamba makaazi hayo siyo kwa Ajili ya ROHO, ROHO (Pure energy) haina matako ya kukalia haina maumbile ya nafsi wala ya mwili, haihitaji kiti au nyumba ya kuishi ROHO (Pure Energy) haihitaji wanawake , Roho haifanyi ngono hizo zooote ni tabia za vitu vya kifizikia vya maumbile yote ya 3D na 4D.

Kwahiyo Peponi au Paradiso au Mbinguni makaazi hayo ni kwaajili ya wa mwilini na Mungu wa kweli hahitaji vitu vya mwilini kwakua sio kiumbe chochote wala sio Nafsi. Nafsi ni kiumbe ni mwili ambao hauonekani kwenye anga la 3D bali 4D na Astral plain. Astral Plain na 3D Dimension kuna tofauti kubwa mno. Mizimu nafsi za walio kufa sio Roho, inapatikana kwenye dimension hii hii ya 3D kwenye anga la Astral plain juu kidogo ya anga letu ambalo pia halionekani kifizikia katika hali ya Physical reality.

Utagundua Miungu (Allah, Jehovah, Yahweh na timu zao) sio Pure Energy yaani hawa miungu sio Miungu Ni nafsi zikaazo nje ya Limwengu zoote ni Nafsi ambazo hazikai ndani ya Galaksi yoyote, hazikai ndani ya nyota yoyote hazikai ndani ya sayari yoyote na wala hazimo ndani ya ulimwengu, wao wapo nje ya limwengu zote (nje ya ulimwengu) wakitazama na kudhibiti vilivyomo ndani ya Ulimwengu. Nafsi hizo ndiyo WATCHERS na nje ya ulimwengu ndipo tunapopaita 4Th Dimension.

Ngoja niweke sawa. Kuna kitu kinaitwa Ulimwengu... ulimwengu ndani yake kuna Galaksi (makundi nyota) mabilioni kwa mabilioni, na katika kundi nyota moja (Galaxy) moja kuna Nyota mabilion kwa mabilion , na katika nyota moja unaweza kukuta kuna sayari mpaka 28 zinazunguka nyota husika, nacsayari zinawakaaji wake huo ndio ULIMWENGU MMOJA ambao bado sayansi haijagundua mwisho wake tunaita UNIVERSE.

Kuna ulimwengu zaidi ya mmoja na kila Ulimwengu una Galaksi zake, Black holes, Sayari kwenye nyota n.k, na katika ulimwengu mkubwa ulio beba Limwengu nyingi tunaita COSMOS, na COSMOS ipo zaidi moja zikibebwa na Ulimwengu mkubwa mmoja zinaitwa GAIA.

Ikumbukwe ndani ya Ulimwengu mmoja kuna viumbe wanaishi ndani ya sayari, nyota, na galaxy mbalimbali... sasa point yangu kuna viumbe ambao hawapatikani ndani ya Ulimwengu wowote, wala sayari wala nyota wao wapo nje ya...! Limwengu zote wanazitazama wakiwa nje ya..!

Hao tunawaita THE WATCHERS. Sasa Ndani ya Ulimwengu kuna muwakilishi wa WATCHERS muwakilishi mkuu ndani Ya ulimwengu akimuwakilisha WATCHER MKUU Nje ya Ulimwengu... Muwakilishi huyo mkuu mdani ya Ulimwengu walio fanyika mwili tunawaita ALIENS anafahamika kama THE CARETAKER yaani muangalizi au Mlezi ambaye ndiye ANU na cheo hicho hubadilishana kutokana na wakati. Hapa nawaingizia historia kidogo ili niwatofautishie na yale mlio yazoea ili kufichua ukweli wenyewe.

Katika ulimwengu wa Baba hakuna vitu vya kifizikia, hakuna majengo ya dhahabu au smawaati, hakuna wanawake mabikira au wasio mabikira. Hakuna hisia za kimwili au kingono, hakuna uume hakuna uke hakuna upungufu wala hakuna kilicho zidi kuna ukamilifu tu (Mere Perfection).

Katika Ulimwengu wa Baba hakuna mito ya Pombe, hakuna matamanio ya kimwili au ya nafsi kwasababu kwasababu Miili na nafsi haipatikani katika Ulimwengu wa Baba. Katika ulimwengu wa Baba MMOJA (The One) hakuna utengano au utofauti. Hakuna mwanamke au mwanaume.. ni kitu kimoja kilicho kamilika ni mwanamke ni mwanaume..

..katika ulimwengu wa Baba hakuna majina ya kutenganisha kwasababu hakuna utofauti Therefore hakuna majina au jina maalimu au kutenganisha Roho moja na nyingine, neno ROHO (SPIRIT) au ENERGY halina uwingi Roho ni moja ile ile (THE ONE) kwahiyo hakuna jina la kuita hii Roho ya Jeska au hii Roho ya Peter hakuna jambo kama hilo SEPARATION DOES NOT EXIST THERE.

Kwahiyo Paradiso za Yahweh na Pepo za Allah zooote hizo ni udanganyifu ulimwengu wa Roho (Spirit Realm) hauna vitu vya namna hiyo. Hawa wote ni Watchers wale walio anguka wakapungukiwa na Utukufu tunaweza kuwaita THE FALLEN ANGELS.

Kabla sijaendelea kamata point hii ya msingi. Kwamba chochote kilichotengenezwa au kuumbwa kitu hicho ni ARTIFICIAL yaani kitu ambacho sio Asilia. Kwahiyo Ulimwengu huu au Limwengu hizi na sayari na nyota na Jua na vyoote vya ulimwengu huu ni VITU ARTIFICIAL yaani sio vitu ORIGINAL. Sheria tunazo ziita UNIVERSAL LAW au Sheria za Asili (Nature) nazo pia ni ILLUSION katika ulimwengu wa Baba HAKUNA MIPAKA tunaweza mambo yoote hakuna cha kutuzuia tunaitwa (LIMITLESS BEINGS) hakuna mipaka au kuzuiliwa na lolote.

Mtengeza mashine alipo tengeneza mashine ya kusaga unga, ili mashine ikufanyie kazi akakuwekea sheria kuwa baada ya muda fulani fanya Services, au weka oil na mafuta sehemu fulani..na usipo fanya hivyo mashine haifanyi kazi. Kwakua mashine ni kitu cha kutengenezwa kinahitaji uangalizi wake ili kikuletee matakwa yako. Huu ulimwengu tunaamini ULIUMBWA yaani Ulitengenezwa na aliye tengeneza aliweka na sheria ili uendane na Ulimwengu huu wa kutengenezwa...

Kwahiyo sheria hizo (Nature) sio kitu cha Asili ni kitu kilicho tokana au masharti ya mtengeneza mashine ili mashine ikufanyie kazi kwahiyo ULIMWENGU, SAYARI YA DUNIA na zinginezo kwasababu ni Vitu vya kutengenezwa na mwingine Therefore vitu hivyo sio vitu ASILIA ni MAN - MADE , Vitu hivyo ni ARTIFICIAL illusion uongo tu.

"Utanielewa baadae..zingatia,, zingatia tena,,, nachokwambia..."

"TUNAFIKIRI TUMEAMKA KUMBE BADO TUPO NDANI YA USINGIZI MSITO ZAIDI YA AWALI".

Kwahiyo miili hii sayari hii na vilivyomo ni vitu artifial Fake vitu bandia vya kutengenezwa. Na kitu kinapotengenezwa kinasababu yake au sababu zake. Nakuwekea msingi Kabla sijaendelea na HISTORIA ya WATCHERS waliko tokea na kuamua kutengeneza vitu na mchezo walioutengeneza wa Mungu na Shetani na Kiukweli Dini zimepindisha ukweli na historia nyingi zimepindisha ukweli mimi nitakuonyesha

Nitatumia Identity zile zile za Mungu na Shetani kufafanua jambo hili kiukweli lilivyo kuwa. Na nini sababu ya kuumba/Kutengeneza Ulimwengu/Limwengu.

Itaendelea
 
SEHEMU YA 3:

TOFAUTI YA NAFSI NA ROHO (SOUL AND SPIRIT) .

MIZIMU SIO ROHO.

THE ONE/MMOJA, THE WATHERS(GODS) AND HUMANS

ULIMWENGU WA 5D, 4D NA ULIMWENGU WA 3D.

Nianze kwa kusema ya kwamba "Mizimu Sio Roho" imezoeleka watu wakiambiwa mizimu ni nini? Husema Mizimu ni Roho za Watu walio kufa, wengi hujidanganya hivyo. La sihitaji kuwakosoa au kuwatukana nahitaji niwape maarifa niwaongezee hekima ya kweli.

Sishindani sipambani nimeamua kuishi katika ulimwengu wa Baba (Spirit Realm) angali nipo katika Ulimwengu wa Matrix (Virtual Simulation Matrix Worlds) au ulimwengu wa Watchers. Naam, Kwahakika atakae pokea hekima hii ya Baba atafunuliwa ule ukweli mkuu.

Basi kwanini Mizimu sio Roho?

Kwanza huenda hatufahamu maana ya Roho na Nafsi pia hatujui Tofauti ya kweli kati ya Nafsi na Roho. Nitakufafanulieni kadri Baba atakavyo fafanua kwangu. Nitakufafanulieni Baba ni nani? na wala si vema kutumia viwakilishi vya mtu maana Siyo kiumbe you will understand at The End.

Neno ROHO yaani Spirit ilitafsiriwa kutoka kwenye neno la kihebrania "Rauch" likimaanisha "Upepo" au "Pumzi" pia kisayansi ni "Energy" yaani Nishati.

Na neno NAFSI yaani SOUL lilitafsiriwa lilipatikana kutoka kwenye neno la kihebrania "Repesh" likimaanisha "Breathing Creature" yaani "Kiumbe mwenye kupumua" hiyo ndiyo nafsi. Hapo sijazungumzia mwili nimezungua Nafsi na Roho.

Watu wengi wamekua wakifanya makosa kutafsiri maneno hayo na kuyaelewa katika uhalisia wake wa kweli.

Ngoja nikupe mfano fulani kabla sijaendelea na nitazungumza mambo mengi kwenye mada hii nitaingiza baadhi ya historia na kujaribu kutofautisha Ulimwengu wa 4D na ulimwengu wa 5D na 3D na namna inavyo kwenda.

Tutamuona Mungu na Shetani wa kileo na Ukweli mkuu ndani yake na huu ni uelekeo wa "THE WAY TO THE MOTHER OR THE MOTHER" yaani njia ya kwenda kwa Baba THE ONE...THE ONLY ONE ambapo ndani yake najaribu kukutofautishia Ulimwengu wa Miungu (Gods) ambao Henoko nabii wa Prince wa Ea amewaita THE WATCHERS.

Mfano wangu ni kama Ifuatavyo;- Mito mingi na Maziwa tofauti tofauti huzaliwa na kisha hufanya safari ndefu na mwisho hufa hugeuka kuwa Bahari. Mfano mto songwe unapeleka maji yake mpaka Bahari ya Hindi, ukisha ingia Bahari ya Hindi hauwi tena mto Songwe bali mto nao unaungana na maji mengi MMOJA [THE ONE] ambaye ni BAHARI,

baada ya hapo hatutosema tena mto Songwe au Mto Kimara bali tutasema Bahari ya Hindi, na ndani ya Bahari maji mengi aliyefanyika kuwa mmoja (The One) Hakuna uwezekano wa kutenganisha mto Songwe na Mto kimata au ziwa victoria na ziwa Turkana..kwasababu wote wamefanyika kuwa mmoja (The One) ambae katika mfano wetu ni Bahari moja Bahari ya Hindi, kwahiyo hakuna utengano na mashindano ni Bahari Moja ishindane na nani? Huo ndio ulimwengu wa Baba ulimwengu wa Roho (Spirit Realm).

Mizimu haipo ulimwengu wa Roho, wala tukifa hatuendi ulimwengu wa ROHO ulimwengu wa Baba (Spirit Realm) mmoja tu hana jina, vyoote vinavyo ingia kwake vinafanyika kuwa yeye mwenyewe mmoja yule yule na Ufahamu huu wa Mmoja THE ONE sio ufahamu wa Viumbe. Sasa ngoja tuone udadavuzi zaidi juu ya Mizimu, Roho na Nafsi.

Tumeona hapo mwanzo kwamba Nafsi inamaanisha kiumbe mwenye kupumua. Wengine wanasema Nafsi ni kiunganishi kati ya Roho na mwili(Mind) Siwapingi bali Hiyo ni kazi ya nafsi ila sio maana ya Nafsi. Nafsi (Souls) pekee ndizo zinazo weza kuishi katika ulimwengu wa 3D na Ulimwengu wa 4D..Lakini katika Ulimwengu wa 5D nafsi hazi exist ..nafsi haiwezi kuishi na haitowahi kutokea kuwepo kwenye 5D dimension. Nafsi kwa Tafsiri sahihi ni MWILI wako wa ndani usio na nyama na Damu.

Mwili upo mwingine ambao hauonekani kwenye dimensions za 3D isipokuwa mhusika afanye kitu kinaitwa (Kutenganisha Nafsi) ASTRAL PROJECTION ambayo huitwa OUT OF BODY EXPERIENCE yaani kutoka nje ya mwili wako na kuuona mwili wako mwingine ambao hauonekani kifizikia huo mwili ndio umebeba Roho.

Kwahiyo Nafsi ndiyo inatufanya tuitwe Viumbe . Mwili ni kifaa cha Nafsi ili kujidhihirisha katika ulimwengu wa Kifizikia (3D) katika maumbile yenye kuonekana. Unakuja kundua kwamba Mizimu tunaijua kama viumbe ndiyo tuna majina yao yaani watu walio kufa kwenye Ukoo mfano Mzimu wa Joseph, mzimu wa Mwakalunga, Mzimu wa ndugu yako aliye kufa.

Kwahiyo Wachawi wana teknolojia ya kuamsha mizimu au kuwaita Mizimu kwa majina yao na wakaja na ukawatumia wanaamshwa makaburini. Mfano pia kwenye Biblia, Mfalme Sauli wa Israeli alipozidiwa na Wafilisti alipo uliza kwa Bwana, Bwana alikaa kimya, Sauli aliwaza na vita imekua kali na lazima akapambane lakini hali yake ipo matatani..akaamua kwenda kwa Mganga mwanamke akaomba ainuliwe nabii SAMWELI (aliyekuwa amekwisha kufa) kwamba aliomba mzimu wa Nabii Samweli na Mwamuzi wa Israel uamshwe ili aongee nao ajue hatima yake. Mganga akauita Mzimu wa Samweli na ukaja .. hiyo inathibitisha Mizimu ni Viumbe kwahiyo Therefore Mizimu sio Roho ni NAFSI za watu walio kufa katika Mwili.

Ipo hivi sasa zile hadithi ya kwamba Allah ametuandalia Pepo, huko Peponi ametuandalia makaazi yenye raha wanawake mabikra, mara Yesu ameenda kwa Baba ake kutuandalia makao...ukisoma ufunuo 22 utashangaa.. et kwamba hayo makao (Jerusalemu mpya) imejengwa kwa vito vya thamani kama dhahabu safi, Lulu, samawaati n.k

Sasa nikuambie Hiyo inathibitisha zaidi kwamba makaazi hayo siyo kwa Ajili ya ROHO, ROHO (Pure energy) haina matako ya kukalia haina maumbile ya nafsi wala ya mwili, haihitaji kiti au nyumba ya kuishi ROHO (Pure Energy) haihitaji wanawake , Roho haifanyi ngono hizo zooote ni tabia za vitu vya kifizikia vya maumbile yote ya 3D na 4D.

Kwahiyo Peponi au Paradiso au Mbinguni makaazi hayo ni kwaajili ya wa mwilini na Mungu wa kweli hahitaji vitu vya mwilini kwakua sio kiumbe chochote wala sio Nafsi. Nafsi ni kiumbe ni mwili ambao hauonekani kwenye anga la 3D bali 4D na Astral plain. Astral Plain na 3D Dimension kuna tofauti kubwa mno. Mizimu nafsi za walio kufa sio Roho, inapatikana kwenye dimension hii hii ya 3D kwenye anga la Astral plain juu kidogo ya anga letu ambalo pia halionekani kifizikia katika hali ya Physical reality.

Utagundua Miungu (Allah, Jehovah, Yahweh na timu zao) sio Pure Energy yaani hawa miungu sio Miungu Ni nafsi zikaazo nje ya Limwengu zoote ni Nafsi ambazo hazikai ndani ya Galaksi yoyote, hazikai ndani ya nyota yoyote hazikai ndani ya sayari yoyote na wala hazimo ndani ya ulimwengu, wao wapo nje ya limwengu zote (nje ya ulimwengu) wakitazama na kudhibiti vilivyomo ndani ya Ulimwengu. Nafsi hizo ndiyo WATCHERS na nje ya ulimwengu ndipo tunapopaita 4Th Dimension.

Ngoja niweke sawa. Kuna kitu kinaitwa Ulimwengu... ulimwengu ndani yake kuna Galaksi (makundi nyota) mabilioni kwa mabilioni, na katika kundi nyota moja (Galaxy) moja kuna Nyota mabilion kwa mabilion , na katika nyota moja unaweza kukuta kuna sayari mpaka 28 zinazunguka nyota husika, nacsayari zinawakaaji wake huo ndio ULIMWENGU MMOJA ambao bado sayansi haijagundua mwisho wake tunaita UNIVERSE.

Kuna ulimwengu zaidi ya mmoja na kila Ulimwengu una Galaksi zake, Black holes, Sayari kwenye nyota n.k, na katika ulimwengu mkubwa ulio beba Limwengu nyingi tunaita COSMOS, na COSMOS ipo zaidi moja zikibebwa na Ulimwengu mkubwa mmoja zinaitwa GAIA.

Ikumbukwe ndani ya Ulimwengu mmoja kuna viumbe wanaishi ndani ya sayari, nyota, na galaxy mbalimbali... sasa point yangu kuna viumbe ambao hawapatikani ndani ya Ulimwengu wowote, wala sayari wala nyota wao wapo nje ya...! Limwengu zote wanazitazama wakiwa nje ya..!

Hao tunawaita THE WATCHERS. Sasa Ndani ya Ulimwengu kuna muwakilishi wa WATCHERS muwakilishi mkuu ndani Ya ulimwengu akimuwakilisha WATCHER MKUU Nje ya Ulimwengu... Muwakilishi huyo mkuu mdani ya Ulimwengu walio fanyika mwili tunawaita ALIENS anafahamika kama THE CARETAKER yaani muangalizi au Mlezi ambaye ndiye ANU na cheo hicho hubadilishana kutokana na wakati. Hapa nawaingizia historia kidogo ili niwatofautishie na yale mlio yazoea ili kufichua ukweli wenyewe.

Katika ulimwengu wa Baba hakuna vitu vya kifizikia, hakuna majengo ya dhahabu au smawaati, hakuna wanawake mabikira au wasio mabikira. Hakuna hisia za kimwili au kingono, hakuna uume hakuna uke hakuna upungufu wala hakuna kilicho zidi kuna ukamilifu tu (Mere Perfection).

Katika Ulimwengu wa Baba hakuna mito ya Pombe, hakuna matamanio ya kimwili au ya nafsi kwasababu kwasababu Miili na nafsi haipatikani katika Ulimwengu wa Baba. Katika ulimwengu wa Baba MMOJA (The One) hakuna utengano au utofauti. Hakuna mwanamke au mwanaume.. ni kitu kimoja kilicho kamilika ni mwanamke ni mwanaume..

..katika ulimwengu wa Baba hakuna majina ya kutenganisha kwasababu hakuna utofauti Therefore hakuna majina au jina maalimu au kutenganisha Roho moja na nyingine, neno ROHO (SPIRIT) au ENERGY halina uwingi Roho ni moja ile ile (THE ONE) kwahiyo hakuna jina la kuita hii Roho ya Jeska au hii Roho ya Peter hakuna jambo kama hilo SEPARATION DOES NOT EXIST THERE.

Kwahiyo Paradiso za Yahweh na Pepo za Allah zooote hizo ni udanganyifu ulimwengu wa Roho (Spirit Realm) hauna vitu vya namna hiyo. Hawa wote ni Watchers wale walio anguka wakapungukiwa na Utukufu tunaweza kuwaita THE FALLEN ANGELS.

Kabla sijaendelea kamata point hii ya msingi. Kwamba chochote kilichotengenezwa au kuumbwa kitu hicho ni ARTIFICIAL yaani kitu ambacho sio Asilia. Kwahiyo Ulimwengu huu au Limwengu hizi na sayari na nyota na Jua na vyoote vya ulimwengu huu ni VITU ARTIFICIAL yaani sio vitu ORIGINAL. Sheria tunazo ziita UNIVERSAL LAW au Sheria za Asili (Nature) nazo pia ni ILLUSION katika ulimwengu wa Baba HAKUNA MIPAKA tunaweza mambo yoote hakuna cha kutuzuia tunaitwa (LIMITLESS BEINGS) hakuna mipaka au kuzuiliwa na lolote.

Mtengeza mashine alipo tengeneza mashine ya kusaga unga, ili mashine ikufanyie kazi akakuwekea sheria kuwa baada ya muda fulani fanya Services, au weka oil na mafuta sehemu fulani..na usipo fanya hivyo mashine haifanyi kazi. Kwakua mashine ni kitu cha kutengenezwa kinahitaji uangalizi wake ili kikuletee matakwa yako. Huu ulimwengu tunaamini ULIUMBWA yaani Ulitengenezwa na aliye tengeneza aliweka na sheria ili uendane na Ulimwengu huu wa kutengenezwa...

Kwahiyo sheria hizo (Nature) sio kitu cha Asili ni kitu kilicho tokana au masharti ya mtengeneza mashine ili mashine ikufanyie kazi kwahiyo ULIMWENGU, SAYARI YA DUNIA na zinginezo kwasababu ni Vitu vya kutengenezwa na mwingine Therefore vitu hivyo sio vitu ASILIA ni MAN - MADE , Vitu hivyo ni ARTIFICIAL illusion uongo tu.

"Utanielewa baadae..zingatia,, zingatia tena,,, nachokwambia..."

"TUNAFIKIRI TUMEAMKA KUMBE BADO TUPO NDANI YA USINGIZI MSITO ZAIDI YA AWALI".

Kwahiyo miili hii sayari hii na vilivyomo ni vitu artifial Fake vitu bandia vya kutengenezwa. Na kitu kinapotengenezwa kinasababu yake au sababu zake. Nakuwekea msingi Kabla sijaendelea na HISTORIA ya WATCHERS waliko tokea na kuamua kutengeneza vitu na mchezo walioutengeneza wa Mungu na Shetani na Kiukweli Dini zimepindisha ukweli na historia nyingi zimepindisha ukweli mimi nitakuonyesha

Nitatumia Identity zile zile za Mungu na Shetani kufafanua jambo hili kiukweli lilivyo kuwa. Na nini sababu ya kuumba/Kutengeneza Ulimwengu/Limwengu.

Itaendelea
huyo msimamizi wa (watchers) katokea wapi.

nini kilianzisha (The One)
 
SISI NI VIUMBE WA MWANGANI

Sisi ni viumbe nuru, sisi ni nuru yenyewe sisi ni source/chanzo chenyewe sisi ni mmoja/moja (we are one) sisi ni Mungu. Ni ATUM ATOM source, Energy/nishati.

Mfano Mwili, Mwili unatengenezwa na viungo vingi mpaka ukaitwa Mwili. Mfano kuna mkono, mguu, kichwa, macho, pua, masikio, ubongo n.k, unaitwa mwili (mmoja/moja) unaotokana na viungo vingi.

Kwahiyo viungo vyote vinapata sifa ya kuitwa MWILI kwasababu viungo hivyo vimesababisha uwepo wa MWILI na bila viungo hivyo huyo kiumbe mkubwa mmoja mwenye viungo vingi akikosa hivyo viungo hawezi kuwepo na hakutokuwepo na kitu kinachoitwa MWILI.

Mfano kichwa kijione chenyewe ni kikuu kuliko vyote kwenye mwili, ebu fikiria tumekiondoa tumekata kichwa tumeweka pembeni, je mtu atakiita kichwa Mwilli? hapana atasema hiki ni KICHWA CHA MWILI WA BINADAMU, kwamba tayari kimepoteza sifa ya kuwa MWILI. Ila kinaitwa kichwa cha mwili, Sijui kwa mfano huu naeleweka?

Sasa hata katika dhana ya MUNGU we are all Gods and Goddess. Kwamba sote Ni mungu wa kike kwa wakiume. Na kitendawili na fumbo la imani ni kwamba tunafikiri sisi ni tofauti kwa kutazama mwonekano wa nje sura zetu kumbe sisi sote ni mmoja yule yule, Kivipi?

Anaitwa THE ONE yaani MMOJA, sisi sote ni kiumbe mmoja mkubwa MUNGU hatembei haendi mbele wala nyuma ni Ufahamu (Consciousness) mmoja tu umetulia. Tunaona kama sisi ni viumbe tofauti tunao fanya mambo tofauti tofauti, mwingine anakula, mwingine analima, mwingine amelala, lakini kumbe ni kiumbe mmoja tu anaefanya hayo yote kwa pamoja.

Ukiingia kwenye THE SECRET GOSPEL OF JOHN (injili ya siri ya Yohana) ambayo kanisa iliificha. Utamuona huyo the ONE Huyo MMOJA ameelezewa kwa uzuri kabisa kwenye injili hiyo

REPTILIANS/DRACONIANS are here already, REPTILIANS wapo tayari ulimwenguni mabingwa wa kujibadili maumbo (Shape Shifter) Wachawi, na Wakongwe wa sayansi na ni Jamii kongwe ulimwenguni. Anunnaki walijifunza sayansi kwa REPTILIANS pia walijifunza ALKEMIA na GENETICS SIRIUS A nyumbani kwao XYLANTHIA, Sasa basi ISAAC NEWTON alitabiri ujio wa Ufalme wa Mungu Duniani utakua mwaka 1960.

Lakini kutokana na maandiko ya Sumerian hususani Profesa Zackaria Sitchin, anaeleza kwamba ujio wa ANUNNAKI duniani utakuwa au utasababishwa na ujio wa sayari ya NIBIRU, NIBIRU (THE PLANET X) Ni kitu cha kweli na kimethibitishwa kisayansi kwamba ni kitu kikubwa kuliko Sayari ya JUPITER kitaigonga Dunia yetu na kimekaribia kuifikia dunia kutokana na mzunguko wake.

Wengine wanasema ni kama kina milipuko ya Moto na huwenda kikalipiga Taifa la marekani tu. Kitu hicho ni Sayari THE PLANET X, wanasayansi wanaita hivyo, lakini kabla ya wanasayansi hawajagundua, kitu hicho miaka elfu nyingi kilifahamika vizuri na kufundishwa huko SUMERIAN na KHEMET MISRI YA KALE, Kilipewa jina la miungu Wawili NEB na HERU ikapatikana NIBIRU.

DINI ni Manuizi ya REPTILIANS (REPTILIANS SPELL) manuizi ya uchawi, kuendelea kutufanya watumwa ndani ya mwili wakitumia nguvu hasi za sayari ya Saturn kutushikilia kwenye Matrix kwenye ulimwengu huu wa fikra za chini kabisa za 3D dimension, wakati sisi tulikua ETHERIAN yaani Nafsi tu, hatukuwa na miili ya kifizikia tuliwekewa TRAP (MTEGO) ili kutuhamisha ulimwengu wa zamani (OLS UNIVERSE) kwasababu PARALLEL UNIVERSE EXIST, basi Draconians walianza kutengeneza kiumbe mharibifu anaitwa MIND EATER Huyu ni kiumbe kama parasite huyu akapandikizwa, akawa kama kirusi Kinachokula akili.

Yalitokea mengi tuka move kutoka Old tukaingizwa ulimwengu mpya kabisa uliokua unaendeshwa na ustaarabu ulio itwa EMPIRE CIVILIZATION, hayo yalikua mafanikio makubwa ya DRACONIANS hapo tukahitaji tuwe na Miili ya kifizikia, Lakini katika umoja wetu hatukulikubali hilo, uliwekwa mtego tukabadili maamuzi na ku-descend Lyra star system tukaivaa miili. Yaani tukiwa nafsi tu huko anga za mbali tulishuka kutoka juu mpaka kwenye mfumo nyota wa LYRA na kuivaa Miili na kuanza Maisha mengine na Kuja kugundua baadae tulitegwa na tumenasa.

Mwili ni Mtego wa panya, mwili ni Mtego au jela, kifungo ambapo sisi (Roho) tumefungiwa humo ili tuendelee kushikiliwa ndani ya ulimwengu huu wa Kifizikia, kwamba tuendelee kuzaliwa hapa hapa huku tukifanywa mashine za kuzalisha nishati na frequencies kwa ajili ya viumbe fulani waendelee kuishi.

Uwepo wetu hapa sio bure, hakuna cha maana tunachofanya mpaka tunakufa kisha tunazaliwa tena tunakufa tunazaliwa tena alafu hatujikumbuki, tunacho kifanya tunatafuta hela, tunakula, tunastarehe tunalala tunaamka tunafanya yaleyale lakini mwisho wa siku ukiyatathimini unaona hakuna manufaa ni kama tunacheza mchezo wa aina moja.

Mchezo huu umeelezewa kimafumbo na umetajwa kwenye Biblia, kwamba Wana Wa Israeli walipokua wakielekea kanaani walifika mahali wakagundua ya kwamba hawaendi mbele wala hawarudi nyuma, wapo pale pale wanauzunguka mlima tu kwa siku Arobaini mpaka pale Mungu/Anunnaki Bosa/Marduk alipo mwambia Mussa/Hut mosea kwamba mbona mnazunguka tu mlima?

Ni mchezo mmoja mkali sana yaani akili wala hazijielewi tupo hapa tunaishi ishi kuna mchezo unachezwa tumepumbazwa kwa Manuizi ya kichawi ya REPTILIAN wakisaidiwa na sayari ya SATURN (Zohari) kuendelea kutushikilia kwenye fumbo hili wakihakikisha hakuna anae toroka au anaye bahatika kujua ukweli nyuma ya kapeti au kuchungulia nje kuna nini kwani? Viumbe hawa hawatoi hiyo nafasi ya kujitambua au kujikumbuka wanaficha siri nakuhakikisha wanaobahatika kushtukia mchezo wanapotezwa mara moja.

JE, UKIFIKIRIA KWA UMAKINI, KWANINI TUKO HAPA UNAONA NINI HASWA CHA MAANA TUNACHOKITENDA?

ANUNNAKI WAMEANZA KUREJEA NA LAZIMA WAJE ILI KUREKEBISHA WALIPOHARIBU WENYEWE WAKATI WA ZAMA ZA UJINGA, MPAKA PALE SAYARI YAO YA NIBIRU ITAPO IKARIBIA DUNIA, UFAHAMU UTAFUNGUKA KWASABABU SAYARI HIYO INAPOKARIBIA UATHIRI FIKRA NA MAISHA YETU, KWASABABU YA ZILE NGUVU ILIZO NAZO (NISHATI YA UHAI WA KIUMBE) NGUVU HIYO HUPANUA UFAHAMU NA FIKRA NA DNA,

ANUNNAKI WALIPATA UFAHAMU NYAKATI HIZO WAKAIACHA DUNIA KWA NJIA YA KUPAA, NA KUTUACHA SISI KUANZA MAISHA MAPYA. NA MZUNGUKO WA SAYARI HIYO HATIMAYE UMEKARIBIA TENA KUIFIKIA SAYARI YA DUNIA NA UFAHAMU WA KIPINDI KILE UTAIRUDIA DUNIA HII NA UKWELI HUU UTAENEA SANA NA WATU WATAAMKA NAKUPATA UFAHAMU.

KAMA WATANGULIZI WETU WALIVYO PIA NASI MIILI YETU WAAFRIKA MELANIN YETU NI 666, YAANI 6 PROTONI, 6 ELEKTRONI NA 6 NYUTRONI, JOTO LITAKAPO ONGEZEKA KWASABABU JUA LITAKUA KARIBU NA DUNIA, MIILI YETU ITAPOTEZA NYUTRONI 5 ITABAKI 661.

BAADA YA KUPATA UFAHAMU NA KUJITAMBUA MIILI YETU ITAKUA MIEPESI TUTAIACHA DUNIA KWA KUPAA HUKU TUKIPITA MALANGO NYOTA (STAR GATES) KUELEKEA ULIMWENGU MWINGINE TULIKO TOKEA WA 5D, NA KUWAACHA WAJINGA KUANZA MAISHA MAPYA KAMA SISI TULIVYO ACHWA NA WATANGULIZI WETU.
 
IWENI WEREVU KAMA NYOKA.

THE SERPENT BROTHERHOOD - UDUGU WA NYOKA.

Na Bro James Lordy Kashirina

Katika uchambuzi wa sura hii tutaona mambo mengine mengi tu ya kinajimu ambayo kwa hakika yanavutia sana, hususani msemo maarufu wa kwenye Biblia, ambao Yesu (Fictional Entity) alipata kusema kwamba "Iwenu werevu kama nyoka na hekima kama hua" msemo huu una maana gani kwenye Zodiaki?.

Unaweza kujiuliza Mungu anamuita nyoka mwenye hekima. Kwahiyo kumbe sisi wanadamu hatuna haja ya kumchukia kama tufanyavyo? Au tunaweza kuwa na maana ya Kinajimu kwenye mstari huo?.

Mathayo 10:16 "Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya Mbwa-mwitu; basi Iweni na busara kama NYOKA, na kuwa watu wapole kama HUA".

Hapo tuna nyoka na Hua. Nyoka na Hua ni dhana ileile asilia, yaani Dume na Jike. Nyoka (Serpent) ni dume na Hua (dove) ni Jike. Ni mfano wa nguvu mbili asilia dume na jike.

Ni Ying/Yang: Yin ni Jike / mwanamke / Mwezi. Yin ni Yoni - Vagina = Hua na Yang ni Mwanaume / NYOKA.

Ibada za nyoka ni matukio ya dunia nzima. Baadhi ya nchi wanatumia nembo ya nyoka, Shirika la madawa linatumia nembo ya nyoka ..nyoka ni kiumbe maarufu katika tamaduni nyingi duniani ni maarufu kiroho na kimwili.

Hata mwanzoni mwa Biblia Nyoka kaonekana.

Mwanzo 3:1 "Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwituni alio wafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke Ati! hivi ndivyo alivyosema Mungu , msile matunda ya miti yote ya Bustani?".

Umegundua nyoka anahusishwa na Werevu?

Kwenye Biblia ya Kiingereza neno Hila ama Werevu limeelezwa kama CUNNING cunny. Werevu, Busara, Hekima vinahusiana na Tendo La Ndoa na viungo vya uzazi.

Kumbuka kwenye Zodiaki; Mwerevu ambaye ni Saturn/Shetani/Nyoka anatamalaki kwenye alama ya LIBRA ambapo nuru (msimu wa joto) unaisha na giza (vuli) linaanza katika siku sawa za Vuli (Autumn Equinox). Libra ni mwisho wa sehemu ya mwanga kwenye msimu wa Joto na kiangazi (Spring/Summer) na kuanza kwenye sehemu ya Giza msimu wa Vuli na baridi (Autumn / Winter).

kumbuka masomo ya Unajimu kujua nyota au sayari na utendaji wake na majira hilo pekee halitusaidii chochote bali tunatumia sheria ya HERMES TEISMEGISTUS isemayo "Kama ilivyo juu ndivyo ilivyo chini, kama ilivyo ndani ndivyo ilivyo nje" kwahiyo tunatumia unajimu kusoma anga ulimwengu wa nje ili kupata maana ndani yetu itakayo tusaidia na sio Sayari kama sayari. Tunapo endelea utajua zaidi na utagundua Unajimu ni Funguo ya kutuwezesha kugundua ujumbe ulio fichwa kwenye hadithi za kitoto za maandiko tuliyo nayo. Within a Lie there is a Truth coded within it .. so you have to unveil the Lie and Remain with the Truth.

Uwiano ama balance unapimwa na Mizani, na Mizani ni alama ya Libra.

Neno la Kihebrania la Balance yaani uwiano ni "Palas".

Na je, Palas ni Phallus ? yaani Uume?
Ni nini hiyo Palas?

Kwa mujibu wa James Ballantyne Hannay katika kitabu chake "Sex symbolism in Religion" yaani alama za Tendo la ndoa kwenye dini, inavutia zaidi kwamba Hannay anasema Mizani ya Libra (inayowakilisha uwiano "balance" ni alama ya Uume na makende mawili)

Mizani ya Libra inawakilisha viungo vya uzazi vya Uume, Libra inahusishwa na Maarifa na Werevu na inaunganishwa na neno Liber; inayo maanisha Books yaani Vitabu. Vipi kuhusu neno Library? kuhusiana na Libra? . Hayo yote ni maarifa yaani werevu. Werevu wa nyoka unao zungumziwa kwenye Biblia kwahakika ni Werevu wa Sayari ya Saturn. Saturn ni Satan ni Shetani . Nyoka ni Shetani. Unaunganisha nukta vizuri au unachangantikiwa?

Nilisema awali kwamba, Biblia ni kitabu cha unajimu na mwenendo wa jua kwenye gurudumu la Zodiaki. Pia nilisema kwamba, Lugha ya kiingereza ndiyo lugha sahihi kwa unajimu kwani maneno yake mengi yanaruhusu ama yanaweza kuchezewa na kuleta maana mbalimbali. Hiyo tunaita word play yaani mchezo wa kubadili maneno na kuleta maana.

Tukiendelea na mchezo wa maneno neno Uhuru nalo lina Liber ya Libra. Tunalo lipata kwenye lugha ya kiingereza LIBER....TY

Kwahiyo Vitabu, busara, haki na uwiano vinahusiana na sehemu nyeti za kiume.

Na kumbuka Mahakama na Sheria zinahusiana na mizani ya Libra. Fikiria ukiwa mahakamani unakula kiapo.

Turudi kwenye maana ya Kiapo kwa kiingereza, kumbuka kiingereza ndiyo Lugha nzuri ya Unajimu na thiolojia ya unajimu kutokana na kuwa na maana nyingi na maneno yake unaweza kuyaelezea na kuyabadilibadili yakaleta maana.

Sasa kiapo kwa kiingereza ni Testimony.

Kwenye mahakama unaapa (you Testify) unatoa kiapo (Testimony) . Neno "Testify" na "Testimony" linatokana na neno Testicles (Makende) yanayoonyeshwa kwenye mzani wa Libra.

Hiki ndicho pia kilichotokea kwenye kitabu cha Mwanzo 24:1-3

1.Basi Ibrahimu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, na Bwana alikuwa amembariki Ibrahim katika vitu vyote.

2.Ibrahim akamwambia mtumishi wake, mzee wa nyumba yake, aliyetawala vitu vyake vyote, Tafadhari uutie mkono wako chini ya paja langu.

3.Nami nitakuapisha kwa Bwana, Mungu wa Mbingu, na Mungu wa Nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za wakaanani ambao nakaa kati yao.

Baadhi ya Tafsiri hazisemi Paja/Mapaja (Thigh) bali Makende.

Angalia ingizo la kamusi la "Webster" . Saturn Shetani anawasili kama tu giza la mwaka linavyo wasili. Saturn/Shetani anatamalaki kama mfalme wa giza kwenye Libra. Anakuwa mfalme wa giza kwenye msimu wa baridi, kwenye Capricorn ambapo kwenye Biblia anaitwa Herode.

Herode alitawala wakati Yesu(Jua) anazaliwa katikati ya maadui zake yaani gizani.

Na kama ukianza kuelewa mifano ya Biblia yaani Biblical Allegories kwa wepesi inamaanisha kwamba Msimu mpya wa mwaka unaanzia kwenye msimu wa baridi (Winter Solstice). Kipindi cha giza cha msimu. Wakati huo Nuru inayowakilishwa na Yesu ama Jua lipo katika hali yake ya chini yaani nuru imekufa na inakaribia kufufuka tena na kulishinda giza ambalo pia linawakilishwa na Herode/Shetani/Saturn, kwani linaanza kupata nguvu yake.
 
Tunapozungumzia UAMSHO neno hilo lina maana ya kuruhusu jicho lako la tatu (Jicho moja kwenye Tezi Penueli) kufunguka na kuona mwanga na kuona vitu katika uhalisia wake sio kama ulivyo amini mwanzo na hii ni moja kati ya kielelezo cha mabadiliko (Paradigm shift)

Ni kama kupaa ama kufufuka kwasababu utaona mambo kwa mtazamo mpya zaidi ya awali na kuzaliwa upya.

Hata kwenye Filamu tunakutana na mfano huu wa uamsho wa juu ambao ambao tunauita HIGHER SELF. Ufahamu huo wa juu, ndiyo tunasema Kristo ndani yako ufahamu huo utakufanya kuachana na mambo ya chini (Lower self).

Freud aliita hali ya chini (lower self) "ID" ambayo inahusika na vitu vya hisia vya msingi ukijumuisha mshindo (Libido).

Wengine wanaita ufahamu wa msingi yaani "base consciousness" na unawakilishwa na Sakafu ya rangi nyeupe na nyeusi kwenye Mahekalu ya ibada ya Freemasons, fikra nyeupe na nyeusi ambapo hakuna anaye weza kuona eneo la kahawia.

Hata hivyo nyota ing'aayo "Blazing star" ya Hekalu la Mason (kwenye picha hapo chini) yaani masonic lodge ambayo ni SIRIUS (Nyota ya Alfajiri - Nyota ya asubuhi Light bearer) inatoa au inaleta tumaini la mwanga (Nuru -Yesu -jua -Jicho la tatu) unaong'aa gizani na wale watakao ufuata watapata mwangaza (enlightment - Illumination Real illuminati within you) na kumpata kristo kwa ndani kama wale wenye busara "wise men" - Mamajusi au "Magi" "magician - wachawi" au wanajimu walio mpata kristo kwa kufuata nyota ya SIRIUS (Lucifer) .

Kumbuka ngazi zinaonyesha ufahamu wa juu / Kupaa - kupanda juu kifikra / Ngazi ya Yakobo / Mwangaza - Illumination, kwenye Ufunuo inawakilishwa na Milima.

FB_IMG_16963689877035644.jpg
FB_IMG_16963689836709863.jpg
 
IWENI WEREVU KAMA NYOKA NA WAPOLE KAMA HUA.

SEHEMU YA TATU

THE SNAKE BROTHERHOOD.

Shule za mashariki zinafundisha kwamba inapaswa kuamsha nguvu ya Kundalini (Nyoka) chini ya uti wa mgongo (at the base of the spine).

Kundalini "Nguvu ya Nyoka iliyojikunja" (coiled serpent Energy) katika uti wa mgongo inapaswa iamshwe. Ni nguvu iliyo lala ambayo inabidi itembee kutoka chini mpaka juu kwenye Tezi penueli yetu (pineal gland) kupitia chakras au Magurudumu au milango ya Ufahamu ambazo zinawakilishwa na Sayari saba Nje yetu.

Hiyo ukifanikiwa tunapata Uamsho, mtazamo mpya , kuzaliwa upya yaani uamsho.

Na hii ndiyo inaitwa KUZALIWA MARA YA PILI dhana ya kwenye Biblia Ya Yesu na Nicodemu.

Ndio maana Mafarao walikuwa na Nyoka kwenye Vichwa vyao kama AmenHotep II.

Na neno "kundalini linahusiana na Nyoka (Serpent).

Hiyo ni aina ya uwakilishi wa mashariki, wakati Magharibi wanazungumzia Juu ya Yesu anaye wakilisha uamsho kuzaliwa upya.

Yesu ni mafuta ambayo yanapaswa kunyanyuliwa kama nyoka jangwani ili kuleta muamko ndani yako. Mafuta ya mzeituni yanayo jazaTaa (Pineal gland) kwenye kichwa chako na kuwasha moto kwenye Fikra za watu. Kama ishara ya Pentekoste ya ndimi za moto juu ya vichwa. Ndiyo hiyo "Christ" yaani Kristo ndani, atakaye kuokoa. Hakuna Kristo atakaye kuja kutoka nje na Farasi mweupe kumuokoa yeyote.

Keisto ni Jua la Alfajiri, ni NYOKA aliye jiinua jangwani, ambaye analeta werevu na namna mpya ya kufikiri ndani yetu.

Pia inaitwa kutaalamika, kupata nuru, yaani Ufahamu wa Juu.

Unawakilishwa kwenye picha ya Chakras hapo chini ambapo Chakra ya saba inaonyeshwa kama dunia ikiwa na mabawa mawili.

Na vipi kuhusu DNA?

DNA ni nyoka wawili kama utepe waliojiviringa kila mmoja kama nyoka kwenye fimbo ya Mercury/Hermes.

Alama ya YING na YANG.... Yang ambayo ni nyeupe ni dume/mwanaume ikiwa ni sehemu ya uzio wa kushoto wa ubongo (Left hemisphere of the brain).

Na YIN ambayo ni nyeusi ni Jike

/Mwanamke, uzio wa kulia wa kike wa ubongo (Female Right Hemisphere) na nyoka anawakilisha nguvu za uti wa mgongo kwenye uwanda wa chini (At the base of the spine). Nguvu za tendo la ndoa kwenye uwanda wa juu, ufahamu wa juu.

Ni njia ya jua kwenywe dunia (Ecliptic) ina wimbi mkunjo (sine wave) linalo onekana kama nyoka akimbiaye kwenye vizio viwili.

UMEONA? wimbi mkunjo (Sine wave) kama nyoka ni Ying and Yang tena . Ukinzani wa nguvu ya kiume na ya kike (male/female polarity), Ikweta ikiwa imeleta uwiano yaani balance.

unaweza kufananisha wimbi mkunjo na Ying na yang hapo chini

NA KWENYE KABBALLAH TUNA MTI WA UZIMA (TREE OF LIFE).

Mti huo wa uzima pia una nguzo tatu nguzo ya rehema (The pillar of mercy), Nguzo ya ukatili (The pillar of severity) na nguzo ya kati (Middle pillar). Kwa mara nyingine ni nyoka anaonekana.

Nguzo ya Rehema na nguzo ya Ukatili ni vizio viwili vya ubongo (Two hemisphere of the Brain) na nguzo ya kati ni Uti wa mngongo.Nyoka ni ile nguvu inayo pita kupitia nguzo ya kati (Spine). Hapa kuna maarifa ya kushangaza mno.

Uti wa mgongo unao wakilisha nyoka ambao ile nguvu inayopita kuelekea vizio viwili vya ubongo kichwani una vipengele 33 yaani 33 Vertebrae. Vilivile kuna shahada 33 za ngazi za Freemasonry inato itwa Scotish rite Freemasonry.

Nguvu kinzani mbili kwenye picha hapo chini zinaonyeshwa kwa Tai wawili badala ya Nyoka wawili.Fikiri juu ya hilo, Ng'e anawakilishwa na ishara tatu ambazo ni Nyoka/, ng'e na Tai kwa maana hiyo basi Tai wawili ni nyoka wawili bado hatupo nje ya maada yetu na hapo awali nilifafanua namna gani Tai anawakilisha Nyoka kwenye Unajimu pamoja na ng'e ukipitia nakala za nyuma za unajimu utaliona kwenye kichwa cha somo liloitwa "UFAHAMU ULIO FICHWA".

"Kama vile Mussa alivyo mwinua yule nyoka jangwani; vivyo hivyo mwana wa mtu imempasa kuinuliwa Juu"

Yohana 3:14

"Na kama vile Musa alivyo mwinua yule NYOKA wa shaba jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa".

THIS IS THE RIGHT KNOWLEDGE, RIGHT WISDOM, RIGHT UNDERSTANDING YE MEN OF KHEM

ITAENDELEA
 
NGUVU YA MATAMSHI POWER OF SPELL

Kuna msemo unasema kwamba "The Word is moghtier than the sword" kwamba Naneno ni makali kuliko upanga.

Waebrania 4:12

"Maana neno la Mungu li Hai, tena lina nguvu, tena lina makali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta, yaliyomo ndani yake, tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo".

Jordan Maxwell aliwahi kusema kwenye moja ya mafundisho yake kwamba tunapaswa kuanza kuelewa maneno Ibada na uchawi wa maneno (Rites and Spell

Unaposikia neno "rites" na "Spell" yaani ibada za matamshi unaweza anza kuhusisha na uchawi, mazingaombwe au uganga. Lakini watoto wanafanya hivyo kila siku mashuleni wanajifunza kuandika na kutamka.

yaani (w)rites.......and spell.

Vipi kuhusu kitabu cha maajabu "grimoires?"

"grimoire" ni kitabu cha maajabu ama mazingaombwe... neno "grimoire" limetokana na neno "grammar" yaani Sarufi.

Kwahiyo kuandika kutamka na Sarufi ni vifaa muhimu kwa mwanamazingaombwe ama mchawi.

Maneno ni vifaa vya uchawi na mazingaombwe.

Kwa mujibu wa mwandishi Alan Moore, alisema kwamba "magic" is .... "a scuence of language" yaani mazingaombwe/uchawi ni Sayansi ya Lugha.

Alan Moore ni mwandishi wa vitabu kama "V for Vandetta"....."Watchmen" na "From Hell" alisema

Uchawi (Magic) ni moja kati ya vitu vingine , ni uwezo wa kuchora maneno na alama ili kupata mabadiliko ya ufahamy.

Aleister Crowley (A black magician) katika kuelezea maana ya neno "Magick" alisema

"It is the science and art of causing change to occur in conformity with will".

Yaani ni sayansi na sanaa ya kufanya badiliko kulingana na nia.

Wale ambao wana nia dhabiti watafanikiwa, wale wenye nia dhaifu watashindwa..

Hapa juzi tu, nilikuwa nasoma kitabu kinaitwa "ESOTERIC FREEMASONRY" kilicho andikwa na Bwana JEAN LOUS DE BASI .. Bwana huyu anajaribu kuelezea uzoefu wa ibada za tambiko za siri ndani ya freemasonry na nguvu zake kutokana na uzoefu alio upata katika lodges(nyumba za ibada) mbalimbali alizo jiunga nazo kwenye ncho tofauti.

Bwana Jini anapinga Mainstream freemasonry na ku-ipa utukufu Freemasonry ya Misri (Egyptian Freemasonry). Kuna kitu kinafanana na somo letu la leo

anasema "Masons will say that it is not possible to find the real secrets online, such as the signs, Password, and Sacred words"

Kwamba "Wamasonia watasema kwamba hakuna uwezekano kupata siri za kweli mtandaoni kama vile Ishara (signs), Password(nywila), na maneno matukufu (sacred word)."

mwandish alikua anajaribu kuwajibu Mainstream Freemasonry wa Uingereza aliandika kitabu walimpuuza na kumwambia Siri za kweli haziwezi kupatikana mtandaoni au kwenye vitabu baada ya kutoa kitabu kinaitwa ESOTERIC FREEMASONRY yaani ESOTERIC inamaanisha Siri za ndani (deep secret) kwamba Mason wana dhibiti asili na kuish maisha fulani kwa ku-perform ibada za tambiko za siri (Secret Rituals) ambazo zinahusisha MANTRA (Sacred word) mantra inamaanisha maneno fulani maalumu ya miujiza na ukiyatamka tu Jambo lako linatokea kiuchawi maneno hayo ni siri .. Point yangu ni kwamba maneno hayo ya kutamka ndiyo SPELL yaani MATAMSHI YA KICHAWI.

Lengo si kuelezea Esoteric Freemasonry lengo nikukuongezea point kwenye somo langu leo la MATAMSHI au nguvu ya matamshi yaani THE POWER OF SPELL

TO BE CONTINUED
 
SILAHA KALI KULIKO ZOTE DUNIANI NI NISHATI "UKWELI"
Maana ukweli haubadiliki.."

UKWELI Pekee wa Ulimwengu Mzima ni UPENDO. Unapokuwa MBICHI katika UKWELI wako, NGUVU yako INASIKIKA." UPENDO ni NURU, Upendo ni KWELI, UPENDO ni wa WOTE.. Kuingia ndani yake Kila siku, na Kuwasiliana kwa UPENDO na NURU Inayokaa hapo nawe, hukusaidia kufahamu kuwa wewe ni ZAIDI ya vile unavyojiona na kujitambulisha kupitia huu MWILI wako wa KIBINADAMU.

Wewe ni wakipekee, lakini umefungwa ndani ya mwanadamu katika namna ambayo ni ngumu sana kwako kutambua, Kukubali, na Kujua, hata kama unahisi kuwa unaelewa kiakili. Usijiangalie Kwa Upande Wako Utajiri Wako wa Kweli humo MOYONI MWAKO, Kumbuka wewe ni NANI na Uwe wote ulivyokuja hapa KUWA..

Naomba uchukue muda kusherehekea miujiza ya utulivu ambayo haitafuti uangalifu Ufarijiwe katika ulinganifu wa siri wa Nafsi yako. Na upate uzoefu wa kila siku kama zawadi takatifu kuzunguka moyo wa mshangao, huwe na Furaha na Amani katika hekalu la hisia zako Fungua Nuru iliyo ndani yako.
Inajua kila kitu, Inaponya, Inakubariki wewe na ulimwengu wote..

Taarifa ni Nuru; Nuru ni habari. Kadiri tunavyofahamishwa, ndivyo tunavyozidi badilisha mzunguko wetu. Sisi ni MULTIDIMENSIONAL Viumbe wa Kiroho~ sisi ni viumbe vya SUMAKU UMEME na kila kitu tulichonacho, tunatangaza kwa kila mtu mwingine.
FB_IMG_16965424084636663.jpg
 
EIGHT TABLET OF LOST BOOK OF ENKI.

Mara ya mwisho tuliona Titi mke wa Adapa(ambaye kwenye dini anaitwa Adamu) amejifungua mapacha wawili wa kiume, yule wa kwanza aliitwa Kain na wapili aliitwa abel.
Baada ya Anu kupewa taarifa hizo, aliamua kwamba, Adapa aende Nibiru, Titi abakie Eridu kuwalea(breast feed) watoto wake.

Enlil hakupendezwa kabisa na maamuzi ya Anu, Alimwambia Enki watu dhaifu walioumbwa kwa mfano wao wanaweza kupata maarifa, na Adapa akisafiri kwenda Nibiru atapewa maji na chakula cha kumfanya aishi maisha marefu na mwishowe mtu wa dunia (earthlings) atakuwa sawa na sisi Anunnaki.
Hata Enki pia hakupendezwa na maamuzi ya Anu, uso wa Enki ulibadilika baada ya kusikia maneno ya King Anu.
Na alikubaliana kabisa na mawazo ya mdogo wake Enlil.

Ndugu hao walikaa chini kutafakari, Ninmah akiwa pamoja nao aliwaambia "Amri ya Anu haibadiliki" Tukubali Adapa aende Nibiru akiambatana na mdogo kuliko wote katikati yetu ili kumpunguzia hofu ya safari ya anga.
Basi Enki akapendekeza Ningishzidda na Dumuzi ndiyo iwe kampani ya Adapa katika safari ya Nibiru ili nao wakaijue Nibiru kwa mara ya kwanza.
Ninmah alipendezwa na wazo hilo sababu watoto hao walizaliwa Duniani wakiathiriwa na mzunguko wa maisha wa hapa duniani, na hawaijui Nibiru kabisa. Na kwa kuwa hawajaoa wanaweza kupata mke huko Nibiru.

Katika awamu nyingine chombo cha anga "celestial chamber" kutoka Nibiru kiliwathiri ndani ya mji wa Sippar,
Ilabrat, mtunza siri za Anu, alishuka katika chombo hicho.
Aliwaambia viongozi, kuwa amekuja kumchukua mtu wa duniani(earthling) aitwaye Adapa. Basi viongozi walimuonesha Adapa kwa Ilabrat, kisha Titi pamoja na watoto wake.

Ilabrat alisema, "hakika wamefanana na sisi" baadaye Ilabrat alioneshwa watoto wa Enki, Ningishzidda na Dumuzi na kuambiwa kuwa hawa ndo watamsindikiza Adapa.

Enki alimuita Adapa ili kumpa maelekezo, Enki alimwambia "Utaenda Nibiru sayari ambayo sisi tumetokea, utapelekwa mbele ya mfalme wetu, utasujudu mbele yake, uongee pale utakapo ulizwa swali tena utoe majibu mafupi. Ukifika utapewa mavazi mapya ili uvae.
Mikate ya huku duniani kule haipo, hivyo utapewa mkate wa Nibiru, kamwe usile kwa maana ni Sumu.
Utapewa juisi nayo pia usinywe kwa maana ni sumu. Utaongozana na watoto wangu kama kampani yako, na ukisikiliza maneno yangu utaishi."
Adapa alijibu , "hayo yote nitayakumbuka."

Enki aliwaita Ningishzidda na Dumuzi aliwapa baraka na ushauri.
"Mnaenda kwa mfalme Anu ambaye ni baba yangu, mkifika mtamwinamia na kumpa heshima. Msiwaogope wana wafalme na wenye heshima kwa kuwa nanyi pia mko sawa nao.
Mission yenu ni kumrudisha Adapa Duniani, kamwe msivutiwe na tamaa za Nibiru."
Ningishzidda na Damuzi walijibu yote tutayakumbuka.

Alimkumbatia Damuzi na kumbusu kwenye paja la uso, kisha akamkombatia Ningishzidda mwenye hekima na kumbusu kwenye paja la uso kisha akampa kibao kilichofungwa bila yeyote kuona. Kisha akamwambia kibao hiki utampa Baba yangu kwa siri.

Kisha walielekea kwenye kituo cha anga cha Sippar na akawakabidhi Ningishzidda, damuzi na Adapa kwa Ilabrat(mtunza siri wa Anu)

Ningishzidda na Dumuzi walivalishwa mavazi ya Igigi, nywele za Adapa zisizochwanwa zilinyolewa na akapewa kofia ya Tai (eagle helmet) kisha kupewa mavazi ya kuvaa.

Waliingia kwenye chombo cha usafiri(celestial chariot) Adapa akiwa ameketi kati ya Ningishzidda na Damuzi.
Adapa alianza kuogopa na kulia, "Tai asiye na mabawa anawezaje kupaaa ". Ningishzidda na Damuzi walimkombatia na kumpa maneno ya kumfariji.

Bada ya umbali wa ligi moja(ligi moja =...Km), walianza kuona aridhi na bahari, baada ya ligi ya pili aridhi na bahari vilianza kuwa vidogo sana.
Baada ya ligi ya tatu dunia ilikuwa ndogo kama mpira na ikamezwa kwenye giza zito mbele ya macho yao.
Adapa kuona hivyo akachanganyikiwa na kuanza tena kulia " nirudisheni nyumbani mimi".
Ningishzidda aliweka mkono wake juu ya shingo ya adapa mwishoe akanyamaza.

Walipotua Nibiru ,wanibiru walikua wanataka kujua mengi kuhusu watoto waliozaliwa duniani pia kutaka kumuona Mtu wa duniani(earthling)
Makutano walikua wakipiga kelele kusema,"kiumbe kutoka sayari ingine ametua Nibiru".

Wakiongozwa na Ilbrat, walienda kuosha na kupuliziwa manukato kisha kuvalishwa mavazi mapya ili kwenda Ikulu( palace)"
Adapa kwa kukumbuka maagizo ya Enki alivaa mavazi aliyopewa.

Ikulu ilijazwa na watu wenye heshima na mashujaa,kwenye chumba cha enzi walikusanyika wana wafalme na makansela.
Kuelekea kwenye chumba cha Enzi, Ilabrat aliwaogoza Adapa na watoto wawili wa Enki.

Ndani ya chumba cha Enzi, wote waliinama mbele ya mfalme, kisha Anu alisogea mbele na kuwakumbatia wajukuu zake Damuzi na Ningishzidda huku machozi yakitiririka katika macho yake alisema "wajukuu zangu wajukuu zangu"

Damuzi aliwekwa upande wa kulia wa kiti cha enzi huku Ningishzidda akikaa upande wa kushoto.
Baada ya hapa, llabrat alimtambulisha Adapa mbele ya Anu. Anu aliuliza kama Adapa anaelewa lugha yao.

ILABRAT: ndiyo anaielewa ,Enki alikua akimfundisha.

ANU: njoo hapa( alimwambia Adapa), jina lako ni nani na unafanya kazi gani??

ADAPA alisogea mbele na kusujudu kisha kusema: Adapa ni jina langu,mimi ni mtumishi wa Enki.
Kuongea kwa Adapa kuliwashangaza wengi.
ANU alisema "haya ni Maajabu ya maajabu katik dunia. Na tufanye sherehe kuwakaribisha wageni wetu". Anu aliwaongoza wote waliokusanyika katika chumba cha enzi mpaka Chumba cha kulia chakula. Juu ya meza iliyojaa vyakula Adapa alikaribishwa mkate wa Nibiru, na juice ya Nibiru lakini Adapa hakula chochote wala kunywa chochote.

Jambo hilo lilimshangaza na kumkasirisha Anu naye akasema "kwa nini Enki amemleta mtu huyu mwenye tabia ya hovyo huku Nibiru"
Anu alimuita Adapa na kumuuliza "kwa nini hujala chakula wala kunywa? Je, umekataa ukarimu wetu?"

ADAPA: Bwana wangu Enki aliniamuru kamwe nisile mkate wala kunywa juice."

ANU alijiuliza" jambo hili linamaana gani? Kwa nn Enki amemzuia mtu huyu kula na kunywa chakula cha Nibiru.?

Alimuuliza Ilabrat, alimuuliza Damuzi wote hawakujua sababu ya kueleza.
Alivyomuuliza Ningishzidda, yeye alijibu labda hili linaweza kuwa jibu, alimkabidhi Anu kile kibao cha siri, Anu alikichukua kibao kile na kwenda nacho katika chumba chake cha siri na kufungua utepe ili kufungua code zilizopo..
Alikiscani kibao kile na kupata ujumbe ukisema "Adapa alizaliwa kwa mbegu zangu kutoka kwa mwanamke wa duniani(earthling), vivyo hivyo Titi naye alizaliwa kwa mwanamke mwingine wa duniani.
Wamejaliwa hekima na matamshi lakini hawana uwezo wa kuishi maisha marefu kama yawakazi wa Nibiru. Haipaswi wale mkate wa maisha marefu wala juicy ya maisha marefu.Adapa inatakiwa arudi duniani kuishi na kufa inatakiwa iwe hatima yake.
Kwa kulima na kufuga. Dunia haitakuwa na uhaba wa chakula. "

Ujumbe wa siri kutoka kwa Enki ulimshangaza Anu yaan hakujua alie au acheke.
Alimuita Ilabrat katika chumba cha siri na kumuambia "Yaani mwanangu Enki tabia zake za wanawake bado hajaacha" kisha akamuonesha Ilabrat kile kibao chenye ujumbe wa siri.

ANU: sheria zinasemaje na mfalme inatakiwa afanye nini?

ILABRAT: kwa sheria zetu mahawala wanaruhusiwa, lakini hatuna sheria za unyumba (cohabitation) kwa jamii za sayari zingine.
Kama kuna ubaya juu ya hili na tuweke sheria za kuzuia na Adapa arudi duniani haraka sana, Ningishzidda na Damuzi waendelee kubakia.

Basi Anu alimuita Ningishzidda kwenye chumba chake cha siri na kumuuliza, unajua nini kuhusu ujumbe ulipo kwenye kibao cha baba ako?
Ningishzidda aliinamisha kichwa chake na kujibu kwa sauti ya chini" sijui kitu lakina naweza kukisia, nilifanyia majaribio vinasaba vya Adapa nilikuta vina mbegu ya Enki.
Anu alijibu "na hicho ndicho kilichopo. Sasa Adapa atarudi duniani maramoja ili hatima yake iwe mtu wa kwanza aliyestaarabika,na wewe Ningishzidda utaambatana na Adapa kurudi duniani ili ukawe upande wa baba yako na kuwafundisha watu waliostaarabika.

Baada ya anu kufanya maamuzi na kujua hatima ya Adapa na Ningishzidda, alienda mpaka kwa waheshimiwa wengine na kutangaza maamuzi yake, "tusije tukapitiliza sherehe za kumkalibisha mtu wa duniani kwa maana hawezi kula wala kunywa chakula chetu na wote tumeshangazwa na uwezo wake mkubwa sasa arejee duniani na kizazi chake kilime katika mashamba na kufuga kondoo.
Ili kuhakikisha usalama wake Ningishzidda atamsindikiza kurudi naye Duniani.wataondoka na mbegu za mazao ya nibiru ili zikazaliane katika uso wa dunia. Na damuzi atakaa pamoja nasi mpaka shar moja iishe halafu atarudi duniani na kondoo na vinasaba vya kondoo

Na wote walikubaliana na maamuzi ya mfalme kwa kuinamisha vichwa vyao.
Muda ulipowadia, Ningishzidda na Adapa walielekea kwenye chombo cha usafiri ili kuanza safari. Anu,Damuzi, ilabrati na makansela, mashujaa na viongozi wengine waliwaaga kwa pamoja.

Baada ya umbali fulani angani, Nibiru ilianza kuonekana ndogo na waliitazama mbingu(anga) yote vizuri mpaka ukomo wa macho yao ulipofika.

Katika safari hiyo, Ningishzidda alimpa Adapa maarifa mbalimbali kuhusu sayari mbalimbali walizoziona.
Alimpa maarifa juu ya jua, dunia na mwezi. Adapa Alifundishwa namna miaka,na miezi( months) inavyo hesabiwa

Waliporejea duniani, alimsimulia Enki baba yake juu ya yote yaliyotokea. Enki alicheka sana na kusema, "yote yameenda kama nilivyotarajia, isipokuwa Damuzi kizuiwa kurudi duniani. Enki alijisemea, "hakika hii ni chemshabongo"
Enlili alishangazwa na kurejea haraka kwa Ningishzidda na Adapa, akihisi hiyo ni chemshabongo kwake.
Aliwauliza Enki na Ningishzidda, "jaman vip huko Nibiru kuna ishu gani?
Yaan hapa inatakiwa na Ninmah aitwe ili tujuzwe kuna nini huko Nibiru, mbn wanewahi kurudi?"
Baada ya Ninmah kuwasili, Ningishzidda aliwaambia, "Adapa anahusishwa na matokeo ya Enki kulala (cohabite) na mwanamke wa duniani(earthling)."
Kabla yeyote hajaongea, Enki alijibu, "Hakuna sheria niliyovunja, na tatizo la uhaba wa chakula Nimelitatua"
Enlil alijibu kwa hasira" hakuna sheria uliyovunjaa? ila hatima ya Anunnaki na wanadamu umeitafuta kwa matemdo yako ya hovyo.
Sasa hatima ya kidunia(fate) inaibadili hatima ya kimungu(destiny)
Enlili alipandwa na hasira, akaondoka akiwaacha wamesimama.

Marduk alirejea Eridu sababu aliitwa na mama yake Damkina ili amjulishe yote yaliyotokea juu ya baba yake na mdogo wake.
Damkina alimwambia Marduk nusu ya ukweli kusema, "Anu alishangazwa na uwezo wa Adapa, mtu mstaarabu wa kwanza, na kuamuru kuanza kwa kilimo na ufugaji ili tule chakula kwa kuridhika.

Bada ya kuambiwa nusu ya ukweli huo, Marduk alipendezwa na mfanano wa watoto wa Adapa na Titi
Marduk aliwambia Enki na Enlil, wakati Ningishzidda atakua akimfundisha, naombeni mimi nami niwe mwalimu wa watoto hawa.
Enlil alijibu, Basi marduk awe mwalimu wa mtoto mmoja na Ninurta awe mwalimu wa mtoto mwingine.
Basi mapendekezo hayo yalipita, ndani ya Eridu Ningishzidda waliishi na Adapa na Titi, Adapa alifundishwa juu ya namba(hisabati) na kuandika(mwandiko).
Mzaliwa wa kwanza katika mapacha wa Adapa, Ninurta alimchukua hadi kwenye mji wake wa Bad-Tibira, na pacha huyo aliitwa Ka-in na huko alifundishwa kupanda mazao ya kondeni, alimfundisha kujenga mitaro ya umwagiliaji, na kilimo chote kiujumla na kumtengenezea jembe(plow) la miti kwa ajiri ya kutifua aridhi.

Mtoto mwingine wa Adapa aliyeitwa jina la Abel,(pacha wa kain) yeye alichukuliwa na Marduk hadi kwenye shamba la nyasi, Marduk alimfundisha namna ya kujenga mazizi, kisha kuanza uchungaji kondoo pale Damuzi atakaporejea baada ya shar moja kuisha.

Shar moja ilipoisha, Damuzi aliwasili duniani akiwa na viini vya mbegu ya kondoo na viini vya mbegu za kupanda.
Ilifanyika sherehe kubwa baada ya Damuzi kurejea na viini hivyo.

Basi viongozi wakubwa Enlil, Enki, Ningishzidda na Ninmah walikusanyika ndani ya chumba cha uumbaji, chumba cha matengenezo kilichokuwa karibu na miti ya matunda yatoayo juice tiba iliyoletwa na Ninmah huko kituo cha kutua Baalbek. Walikusanyika ili kujadili namna ya kuendeleza jamii mpya za mazao(mifugo na nafaka) sababu hakujawahi kuwa na kondoo,mbuzi katika uso wa dunia.

Baada ya Ninurta kumfundisha Kain kilimo cha nafaka na mazao, na Marduk kumdundisha Abel Ufugaji na uchungaji kondoo, nafaka na mifugo viliongezeka sana.
Baada ya mavuno na kondoo wa kwanza kukomaa, Enlil alitangaza sherehe ya malimbuko kufanyika ili kusherekea mifugo na mazao ya kwanza.

Mbele ya Anunnaki , Kaini alitoa sadaka zake za nafaka chini ya miguu ya Enlil na Enki kama alivyoelekwa na Bwana wake Ninurta.
Abel pia alitoa sadaka zake za kondoo chini ya miguu ya Enlil na Enki kama alivyoelekezwa na bwana wake Marduk.

Enlil alitamka maneno ya baraka kwa kaka yake Enki na kuwasifia wafanyakazi wao(kain na abel)
Enki alimkumbatia mwanae Marduk kisha alinyanyua juu mwanakondoo ili Anunnaki wote waone kisha akasema kondoo hawa ni kwa chakula,tumeleta kuvaa nguo za manyoya juu ya uso wa dunia.

Baada ya sherehe ya malimbuko kuisha mapacha wawili walirejea katika majukumu yao lakin uso wa kain ulikunjamana kwa sababu ya kukosa baraka na sifa za Enki.

Abel alianza kumtania na kujigamba kwa kaka yake kain, "mimi ndiye niliyetoa vingi na Anunnaki wote wameshiba(wametosheka) ,mimi ndiye ninaye wapa nguvu mashujaa, na nguo za manyoya wanavaa"

Ka-in alianza kukasilishwa na maneno ya mdg wake, ila naye akajigamba akisema" mimi ndiye ninayekuza nafaka, ndege wa angani wanashiba kupitia mazak yangu, katika mifereji yangu samaki wanazalianz na kuongezeka, nafaka zangu ndio zinatoa mikate,samaki hivyo nawalisha Anunnaki vyakula mchanganyiko"

Ndugu hawa wawili waliendelea kuzozana, kwenye majira ya baridi(winter) walibishana.
Sasa ilipofika kiangazi mvua hazikuwepo,majani yalipungua. Ndipo abel alipoelekeza kundi la kondoo kwenye mifereji ya maji ili mifugo yake ipate kunywa maji.

Kusema kweli jambo hilo lilimkasilisha sana Ka-in na kumuamuru abel atoe mifugo yake kwenye eneo lake.

Basi wakaanza kutoleana maneno ya kushitakiana, wakaanza kurushiana vipande vya ngumi na mwishowe hasira zilipomjaa kain, alichukua jiwe na kumponda Abel nduguye katika kichwa. Hakuacha aliendelea kumpiga na jiwe mpaka Abel alipoanguka, na damu nyingi zilitiririka.
Pale kain alipoziona damu za kaka yake, alianza kuita "Abel,abel mdogo wangu"
Lakin Abel hakutingishika hata kidogo roho yake iliacha mwili.
Kain hakuwa na lakufanya alibakia kwa muda mrefu kwenye mwili wa Abel huku akilia kwa uchungu.

Titi ndiye alikuwa wa kwanza kujua juu ya kifo cha mwanaye baada ya kupata hisia mbaya.
Alipokuwa amelala alipata maono katika ndoto, aliona Damu ya Abel kwenye mikono ya Kain.
Baada ya Adapa kumuamsha kutoka kwenye usingiz, alimwambia mume wake, "kuna jambo baya linatokea maan moyo wangu umejaa na uchungu"

Ilipofika asubuhi wawili hao waliondika Eridu kuelekea sehemu wanaposhinda Watoto zao, kain na Abel .
Katika shamba walimkuta kain amekaa karibu na maiti ya Abel.

Kuona hivyo Titi alilia kilio kikubwa cha uchungu.
Adapa alijipaka matope katika kichwa chake huku akimwambia kain kwa sauti kubwa"Umefanya nini? Umefanya nini?"
Kain alibakia kimya na kujiangusha aridhini na kujifuta machozi.

Adapa alirejea mjini Eridu na kumueleza Lord Enki kila kitu kikichotokea.
Enki alimtizama Kain kwa hasira na kumwambia juu ya hili utahukumiwa. Na itatakiwa uondoke mbali na Edin usiwe miingoni mwa Anunnaki na wanadamu.

Enki aliwaambia, mwili wa Abel hauwezi kuachwa huko shambani usije ukaliwa na ndege wa angani. Kama ilivyoutamaduni wetu Anunnaki, Mwili wa abel utazikwa katika kaburi.
Kisha Enki aliwafundisha Adapa na mkewe namna ya kufanya mazishi.
Kwa siku 30 mchan na usiku wazazi walikua wakihuzunika juu ya kifo cha mwanai Abel.

Kain alipelekwa Eridu kwa ajiri ya hukumu, Enki alipendekeza Kaini apelekwe uhamishoni.

MARDUK kwa Hasira, alisema "kwa matendo yake inatakiwa afe"

NINURTA: tusubirie mahakimu 7 wakusanyike.

MARDUK: yaan tuache mahakimu 7 wanaohukumu wakusanyike kwa mtu ambaye sio wa Nibiru?, kwani nani kati yao ameshawahi hata kusikia mkusanyiko wa mahakimu 7 wanao hukumu?
Kwa yule ambaye hatokei Nibiru,viongozi wa hapahap wataitwa kutoa hukumu.

MARDUK(aliongea kwa hasira akiwaambia Enki,Enlili na Ninurta): Kama ilivyokuwa hatima ya Anzu, naye Kaini inapasa kuwa vivyo hivyo, punzi yake ya maisha itolewe.
Ninurta alisikitishwa na maneno ya Marduk, alibakia kimya hakutamka neno lolote kujibu.

Enki aliomba aongee na mtoto wake marduk pembeni .
Enki alipofika kwenye chumba cha siri alimwambia mwanaye kwa sauti ya upole, "mwanangu mwanangu
Najua maumivu yako ni makubwa.
Siri kutoka moyoni mwangu imekua mzigo sana kwangu, sasa naomba nikuambie, siku moja nilipokuwa nikitembea mtoni niliwaona mabinti wawili wa hapa duniani, upwiru wangu ukanikaba, kutoka kwao mbegu zangu ndizo zilizofanya Adapa na Titi kuzaliwa.
Ndipo tukapata jamii mpya wa watu, watu waliostaarabika wakatokea katika uso wa dunia.

Na anu mfalme alikua na mashaka juu ya uwezo wao wa kuzaliana, baada ya Kain na Abel kuzaliwa ndipo Anu na baraza zima la Nibiru wakashawishika.

Hivyo anunaki wengine waliletwa duniani, sasa hivi Abel amefariki, na Kaini akifariki tutashindwa kuwa na uwepo wa chakula cha kutosha mpaka kushiba na mapinduzi yataanza kujirudia tena na mafanikio yetu yote yataanguka".
Sasa tuache uzao wa Adamu uishi.
Enki alimwambia siri hiyo kwa huzuni sana.

Baada ya Marduk kupata ufunuo huo alishangaa, baada ya hapo akaangua kicheko.

Marduk aliendelea kucheka huku akisema "Niliskia uvumi ukisambaa kuwa wewe ni fundi kwenye mapenzi lakin sasa nimeamini kweli wew ni fundi.
Kama ni hivyo tuache Kaini aishi na tumfukuzie huko mwisho wa dunia ".

Sasa hukumu ya Kaini ikatangazwa, Kain alihukumiwa kwenda upande wa mashariki huko kwenye aridhi ya kutangatanga na waliamua kuweka tofauti kizazi chake na vizazi vingine. Na hivyo ndivyo Kain alivyoepukan na kifo.
Na Ningishzidda mtaalamu wa genetic ndiye aliyefanikisha kufanya uzao wa kain kuwa na utofauti na vizazi vingine kwa kubadilisha kiini cha maisha, alibadilisha vinasaba/genes/DNA na kumfanya kain pamoja na uzao wake wote kamwe nyuso zao zisiote ndevu (wamasai shikamooni)
Kain aliondoka na dada yake aitwaye Awan kama mke wake na kwenda mbali na Edin kuelekea kwenye aridhi ya kutangatanga.
Baada ya hukumu hiyo Viongozi walikaa na kujadili ni nani atatunza mazao na kufuga mfugo baada ya Kain na Abel?
Anunaki viongozi walikubali kwamba Adapa na Titi wazae na kuongezeka.
Enki alimbarikia Adapa naye akamjua Titi akapata mtoto msichana, wakafanya tena wakapata msichana wakafanya mara nyingi lakin walipata watoto wa kike hadi ilipofika shar ya 95 ndipo Adapa na Titi walipata mtoto wa kiume. Titi alimpa jina la Sati, lenye maana "He Who Life Binds Again" kupitia huyo vizazi vya Adapa vilihesabiwa.
Baada ya muda,Kwa ujumla walipata watoto 30 wa kiume na 30 wa kike.
kilimo na ufugaji vilifanyika kupitia hao.

Ilipofika shar ya 97, Sati alipata mtoto kwa mke wake aitwaye Azura, mtoto huyo aliitwa jila la "Enshi" lenye maana ya "Master of Humanity" na alirekodikwa katika kumbukumbu.
Adapa alimfundisha Enshi kuandika na hesabu,alimfundisha kuhusu Anunnaki, kuhusu Nibiru n.k.
Watoto wa Enlil walimchukua Enshi mpaka Nibru-ki na kumfundisha siri zote za Anunnaki, Nannar alimfundisha kutengeneza Manukato, Ishkur (-kitinda mimba ya Enlil-) alimfundisha Enshi namna ya kutengeneza juisi tiba kutoka kwenye matunda ya 'Inbu'.

Na hicho ndicho kipindi watu walianza kuwaita Anunnaki 'BWANA', Ibada za kuwaabudu (rites of worship) Anunnaki ndipo zilipoanza.
(watu wa Dini mmeelewa hiyo point?)

Enshi akamjua Naomi dada yake naye akamzaa Kunin lenye maana ya 'He of the Kilns'

Huko Bad-tibira, Niburta alimfundisha kuhusu matanuru ya moto, alimfundisha kutengeneza moto wa bitumens kuyeyusha nankusafisha madini na Dhahabu kwa ajiri ya Nibiru.
Nakuanzia hapo kunin na kizazi chake walifanya kazi za kusafisha Dhahabu.
Na hapo ilikuwa na shar ya 98.

Ndani ya shar ya 99, mtoto wa Kunin alizaliwa kutoka kwa 'Mualit'(-dada wa kambo wa Kunin) naye aliitwa Malalu 'He Who Plays'
Malalu alikuwa bora sana kwenye mziki . Ninurta alimtengenezea filimbi na zeze(stringed harp).
Malalu pamoja na mabinti zake walikua wakiimba nyimbo(Hymns) mbele ya Bwana wao Ninurta.
Ndani ya shar ya 100, kutoka kwa mke wake aliyeitwa Dunna, Malalu alipata mtoto aliyeitwa IRID jina lenye maan ya 'He of the Sweet Waters'

Damuzi alimfundisha Irid kuchimba visima kwa ajili kondoo waliopo malisho ya mbali kupata maji, pia wafanyakazi kupata maji ya kutumia.

Wachungaji mifugo na wafanyakazi walikuanwakikutanikia katika visima mbalimbali vilivyopo katika sehemu ya malisho. Visimani ndio ilikua sehemu watu wanafahamiana na kuanzisha uhusiano wa mapenzi, hivyo ilichangia watu kuoana na kuzaliana kwa wingi.

Katika siku hizo, Igigs walikua wakishuka duniani mara kwa mara. Idadi ya Igigi kuondoka Mars/Lahmu iliongezeka.kila mmoja alitamani kuja duniani kutazama yanayoendelea .
Enki alikuwa akimuomba Marduk arudi akawasimamie Igigi kule Lahmu, lakini hata Marduk alipendezwa zaid kujua kila linaloendelea duniani.

Irid piabalifanikiwa kukutana na msichana aliyempenda kisimani, msichan huyo alikua akiitwa Baraka (alikua ni mtoto wa mjomba wake)
Katika mwishoni mwa shar ya 102, Irid alipata mtoto aliyeitwa Enki-Me kutoka kwa mke wake baraka.

Enki-me alikuwa na hekima na akili sana, alikua anaelewa hisabati haraka zaidi., alipenda kujifunza kuhusu mbingu na vitu vyote vya angani. Hivyo Lord Enki alitokea kumpenda sana Enkime, alimfunulia siri alizowahi kumfunulia Adapa zamani,
Alimfundisha kuhusua jua na sayari zake 12,namna ya kuhesabu miezi(month) kwa kutumia mbalamwezi na kuhesabu miaka kwa kutumian jua, na namna shar za nibiru zilivyokuwa zikihesabiwa. Alimfundisha juu ya makundi nyota. Kusema kweli Enkime alipenda sana maswala ya anga, hivyo alipelekwa kwa Marduk kwwnye kituo cha anga.
Marduk alimchukua na kwenda naye mwezini, naye Marduk alimfundisha kile alichowahi kifundishwa na baba yake kipindi wapo wote mwezini.
Na walivyorejea Duniani, Enkime alipelekwa huko mjini Sippar ambako alipokelewa na Utu Aliyekuwa sehemu ya kupaki vyombo vya anga.

Utu alimchukua Enkime the Earthling, mpak kwenye makazi yake ambapo alipewa kibamba(tablet) kwa ajili ya kuandikia anayojifunza.
Alimfundisha namna ya kufanya ibada ili aanze kuendesha shughuli za uchungaji(Rites) (priesthood) yaan muwakilishi wa Mungu/miungu/Anunnaki kwa wanadamu.
Katika shar ya 104, akiwa ndani ya Sippar Enkime alipata mtoto wa kiume aliyeitwa
'Matushal' kutoka kwa mke wake Edinni,dada yake wa kambo. Jina Matushal lilimaanisha "Bright Waters Raised"

Baada ya hilo Enkime alipata safari nyingine ya anga, katika safari hiyo Marduk alikua kampani yake na mkufunzi wake tena. Walielekea kwenye jua,The sun walilizunguka jua, kisha wakaelekea Lahmu kuwatembelea Igigi

Hata huko Mars/lahma Igigi walitokea kumpenda kijana Enkime na kutoka kwake walijifunza vitu vingi.
Kabla Enkime hajaondoka, aliandika yote aliyojifunza kwa ajili ya mtoto wake anayemuamini apate kuyajua pamoja na kaka zake Ragim na Gaidad kuyasoma pamoja nao. Na alishuhudia yale Marduk aliyoyafanya kwenye matatizo ya igigi

Matushal alipata mtoto aliyeitwa Lu-Mach 'Mighty Man' kutoka kwa mke wake Ednat.
Katika nyakati zake, hali yabhewa ya duniani ilikuwa mbaya
Wafanyakazi wa kazi ngumu huko malishoni walitoa malalamiko mbalimbali.
Anunnaki walimteua Lu-mach kama msimamizi mkuu wa wafanyakazi hao ili awe akiwapatia kazi na kuwapunguzia ujira.

Na katika nyakati hizo, Adapa alikua amekaribia kufariki, naye Adapa alivyotambua kuwa siku zake za kuishi sio nyingi alihitaji watoto wake wote wakusanyike ili awabarikie kabla hajafariki.
Sati pamoja na watoto wengine walikusanyika, ndipo Adapa akawauliza, "Yupo wapi Kain mzaliwa wangu wa kwanza? Na atafutwe aje hapa"

Ndipo Sati alienda kwa Lord Enki na kuwasilisha pendekezo la baba yake, Adapa.
Ndipo Enki alimuita Ninurta na kumwambia aende akamtafute mwanafunzi wake, yule aliyetupiliwa mbali maana anahitajika na baba yake.

Ninurta alichukua ndege yake na kupaa kuitafuta aridhi ya kutangatanga(Land of wandering"
Na alipompata alimpeleka kwa Adapa.
Adapa alipotaarifiwa kuwa kifungua mimba wake amefika, aliamuru Kain na Sati waingie ndani.
Mbele ya baba yao waliketi, Kain, kifungua mimba, upande wa kulia na sati upande wa kushoto mwa Adapa.
Adapa alishindwa kuwaona vizuri, hivyo aliwapapasa nyuso zao ili kuwatambua
Na sura ya kulia kwake haikuwa na ndevu na sura ya kushoto ilikuwa na ndevu
Ndipo Adapa akanyanyua mkono wake wa kulia na kuuweka kwa Sati aliye keti upande wake wa kushoto akiwa na ndevu na kumbarikia akisema " na uzao wako ukaijaze dunia, na uzao wako kama mti wa matawi matatu ukaweze kuishi(kupona) hata katika Janga kuu.

Kisha akaweka mkono wake wa kushoto juu ya kichwa cha kaini aliyeketi upande wa kulia akasema, kwa dhambi yako, haki yako ya uzaliwa wa kwanza imepokonywa, lakin katika uzao wako mataifa 7 yatainuka na wataishi katika ardhi ya mbali.

Na kwakuwa ulimpiga ndugu yako na jiwe, nawe nawe mwisho wako utakufikia kwa jiwe.
Na Adapa alivyomaliza kusema maneno hayo, mikono yake ilianguka naye akahema kwa nguvu akasema, sasa muiteni mke wangu Titi watoto wangu waume kwa wake.
Na akawaambia," baada ya roho yangu kuuacha mwili, mtanirudisha sehemu niliyozaliwa, na mto ndio utakaonibeba na nitazikwa sura yangu ikitazama upando jua lichomozapo.

Adapa aliangukia kwenye magoti ya Titi naye Titi alilia kama mbwa mwitu aliyejeruhiwa,
Ndipo Kain na Sati waliuviringisha mwili wa baba yao katika nguo, Titi aliwaonesha sehemu ya kumzika ambayo ilikua ni kwenye pango lililopo pembezoni wa kuta za mto.
ADAPA ALIZALIWA KATIKATI YA SHAR YA 93 NA ALIFARIKI MWISHONI MWA SHAR YA 108
(Kwaiyo Adapa aliishi shar 15 = miaka 54,000)
.
Baada ya mazishi ya Adapa, kaini aliwaaga kaka zake pamoja na mama yake kisha Ninurta alimrudisha kwenye aridhi ya kutanga tanga. Kwenye aridhi ya mbali Kain alikuwa na watoto waume kwa wake.
Na alikuwa akiwajengea mji, siku moja alipokuwa katika ujenzi jiwe lilianguka kutoka juu, lilimpiga mpaka kufa.

Huki Edin, Lu-Mach alikia msimamizi mkuu wa wafanyakazi (workmaster) akiwatumikia Anunnaki.
Katika siku za Lu-Mach, Marduk na the Igigi walioana na watu wa duniani(earthlings)

ITAENDELEA...
Na huu ni mwisho wa kipande cha nane kati ya vipande 14 vya mawe vilivyopo huko sumeria vinavyoelezea historia yote ya Anunnaki kutokea huko kwao NIBIRU pamoja na Maisha yao hapa DUNIANI.

¤See you on Ninth Tablet of Enki
FB_IMG_16966965951511688.jpg
 
SUMMARIZATION YA HISTORIA NZIMA YA ANUNNAKI:

KWANZA JUA MIONGONI MWA SIRI KUBWA INAYO FICHWA NI KUHUSU UUMBAJI WA ANNUNNAKI NA HATA KATIKA TASNIA YA MOVIES HAIRUHUSIWI KUCHEZA MOVIES KUWAHUSU AU KUHUSU HISTORIA YA ANNUNNAKI.

PIA JUA KUWA WALIKUWA NI WATU (MELANINATED BEINGS).

PILI JUA HIVI;

ANU NI THE MOST HIGH (AU MUNGU MKUU NA THE MOST HIGH NI CHEO AU UFALME AMBACHO MUDA WAKE UKIISHA AU AKIPIGWA ANAWEZA KUINGIA MWINGINE CHUKULIA TU KWAMBA NI CHEO NOTHING ELSE).

ENKI - MZALIWA WA KWANZA WA ANU THE MOST HIGH NDIYE "LUCIFER/LUSIFA" WA MAKANISANI. PIA NDIYE ANAEITWA "ADONAI".

ENLIL - NDIYE YAHWEH MZALIWA WA PILI WA ANU THE MOST HIGH [ALYUWN ALYUWN EL].

MARDUK - MTOTO WA ENKI NDIYE "AMEN-RA WA MISRI" NDIYE SATAN /SHETANI. PIA MARDUK NDIYE "JEHOVA".

ISH-TAR - BINTI WA ANU NDIYE ALIZALISHA JINA "EASTER" YAANI PASAKA EASTER NI ISHTAR NI IS RA EL.

NIMNAH NDIYE NIN HURSAG WA SUMERIA NDIYE "MAAT" WA MISRI.

PIA MARDUK NDIYE "MIKAEL - WHO DARES TO BE LIKE EL ELOH ANU THE MOST HIGH"

PIA ENLIL NDIYE "JIB-RIL WA QUR'AN" NDIYE "GABRI-EL" WA BIBLIA.

NAN-AAR MWANA WA NINUTRA MTOTO WA ENLIL -YAHWEH NDIYE "ALLAH WA QUR'AN"

NANAAR NDIYE "ALLAH".

NINGSHZIDAH NDIYE THOTH WA MISRI NDIYE HERMES WA UGIRIKI PIA ANAITWA LUSIFA KAMA BABA YAKE.

UFAFANUZI UNAKUWA MREFU. LAKINI UKWELI NI KUWA HAWA WOTE TUNAOWAITA MIUNGU LABDA NI ALLAH, JEHOVAH, YAHWEH, SHETANI, LUSIFA, ADONAI, IBILISI N.K WALIKUWA WATU WEUSI WENYE MIILI YA NYAMA NA DAMU.

WALIZALIWA WALIKUWA NA BABA NA MAMA; WANAMATAMANIO KAMA SISI (WAKIZINI, WAKIFANYA UASHERATI), WALIUA NA KWENYE VITABU VYAO NA DINI ZAO WANAFUNDISHA KUUA NA KUMWAGA DAMU,

WANAPENDA KUSIFIWA KUONEKANA BORA KULIKO WENGINE, NI KAMA VILE BINADAMU LABDA MWANAMKE ANAPENDA AONEKANE MZURI KULIKO WENGINE WANAUME WANAPO MPIGIA MIRUZI NA KUMSUMBUA WAKIMSIFIA YEYE NI MZURI SANA MTAANI, MWANAMKE HUYO ANAJISIKIA VIZURI. VIVYOHIVYO ANUNNAKI HAWA MIUNGU (ALLAH, JEHOVAH, YAHWEH) NAO WANAJISIKIA VIZURI MNAPO WAPIGIA MIRUZI KANISANI.

BINADAMU TUNAPENDA KUONEKANA BORA, KILA MTU ANAPENDA AWE MTU FULANI LABDA KAMA DIAMOND PLATINUM, KILA MTU ANATAMANI AWE SPECIAL MTU MAARUFU ANAE ONGELEWA KILA KONA NA AKITOKEA MWINGINE MAARUFU KAMA WEWE, HUWEZI KUJISIKIA VIZURI LAZIMA UTAENDA HATA KWA MGANGA ILI UMPITE MWENZIO KIMAFANIKIO AU UMAARUFU. KWAHIYO HALI HIYO INAPELEKEA MASHINDANO NA MWISHOWE VITA KAMA KUROGANA.

VIVYO HIVYO HIVYO ANUNNAKI NAO WANAMATAMINIO KILA MTU ALITAKA AONEKANE BORA MWENYE NGUVU, KILA MTU UTASIKIA MARA OOOH

"HAKUN MUNGU MWINGINE ILA MIMI TU".
YOOOTE NI KUPENDA KUWA JUU MWISHO KIBURI MWISHOWE WALIANZA KUDUNDANA WAO KWA WAO.

HATA KATIKA MAANDIKO YOTE UTAWAONA ALLAH, YAHWEH WANAPENDA KUPIGA MIKWARA NA KUPIGANA KWA VITA.

"HAO SIO MIUNGU WA KWELI NI MALAIKA WAASI - FALLEN ANGELS"

WAUAJI , WANA WIVU ...TENA YAHWEH ANAJITAPA ANASEMA "MIMI NI MUNGU MWENYE WIVU NAWAPATILIZA VIZAZI, KIZAZI CHA TATU NA CHA NNE" MARA MIMI NI MUNGU PEKE ANGU HAKUNA MWINGINE.

SASA KAMA UPO PEKE YAKO HAKUNA MWINGINE; WIVU WA NINI SASA?

HAWA JAMAA WALIKANYAGA HII DUNIA WALIFANYA VITIMBI VYA KUSHANGAZA, WALIDUNDANA WALISHINDANA WALIUANA WENGINE WALISALITIANA... TUNAYO YAFANYA SISI TUMERITHI KUTOKA KWAO NA HAKUNA CHA ZIADA ZAIDI YA MASHINDANO YAO UADUI WAO WAMETURITHISHA NA SISI WANATAKA TUCHUKIANE TUTENGANE.

UGOMVI WA ENKI-LUCIFER NA ENLIL-YAHWEH SISI VIUMBE WA DUNIANI UNATUHUSU NINI? WAMETUSHIRIKISHA UGOMVI WAO WAMETUTENGANISHA KUPITIA UGOMVI WAO.

MIMI NATAKA WATUBU KWANZA KWA MAKOSA YAO WATUBU MBELE YETU; "HALAFU NEXT NDIO TUTATUBU SISI"

WAKINA ALLAH,JEHOVA,YAHWEH SIO MIUNGU NI MALAIKA WAASI FALLEN ANGELS.

MTU MMOJA ATASEMA MBONA MAANDIKO KUNA SEHEMU YANAZUNGUMZA MAMBO MEMA?

SIKIA "TAPELI ANAPOTAKA KUTAPELI ANAPOKUJA KWAKO ANAKUJA KWA WEMA HAITAKIWI UJUE KUWA NI TAPELI ANAWEKA MAMBO MEMA (MAZURI YA KUPENDEZA) KAMA MTEGO AU TRAP"

KWAHIYO ANACHOFANYA ALLAH NA YAHWEH NI KUTUDANGANYA KUTUINGIZA KATIKA ULIMWENGU WA "MEMA NA MABAYA" YAANI DUALITY MCHANGANYIKO WA UONGO NA UKWELI. NA UKWELI HUMO KWENYE QUR'AN NA BIBLIA KWA SEHEMU KAMA MTEGO TU, ILI UNASE. KIUKWELI HAWA NI MATAPELI.

UNAPOTAKA KUMKAMATA PANYA KWENYE MTEGO UNAMUWEKEA NA MAHINDI (KITU CHEMA CHA KWELI KIZURI) KWA MBELE UNAWEKA MTEGO (UONGO, UDANGANYIFU) HAPO UTAWAPATA PANYA WA KUTOSHA.

KWAHIYO; PANYA TUMEKAMATIKA NA MAHINDI (KWASABABU ALISEMA "USIZINI" BASI UKAHISI NI MAHINDI MPAKA MWISHO" ... HATIMAYE TUMEKAMATIKA KWENYE "KNOWLEDGE OF GOOD AND EVIL")
FB_IMG_16967465579841098.jpg
 
Niko na maswali kadhaa.
Kwanza hongera kwa yote uliyaandika.
Kama ulivyotahadharisha mwanzo kwamba andiko lako haliwezi kueleweka kwa kila mmoja hasa kama sio mfuatiliaji wa hayo mambo.

Kwanza nataman kufaham uwepo wa mimba na binadamu kupata mwili ndani ya tumbo la mama.

Pili nakubaliana na ww kuwa mwanadamu ni energy,
Naomba kufaham malengo ya hii energy ambayo ni mwanadamu

Tatu umezungumza kuhusu watchers, waangalizi, naomba kufaham hao watchers wanafanya kazi kwa niaba ya nai??

Nne nini sababu ya kuwa mwanamke au mwanaume ikiwa sisi ni nguvu moja,
Rejea mfano wa bahari.

Tano, umezungumza kuhusu masuala ya akina lord enk na enlil,
Mmowapo umesema akiwa anatembea tembea aliwaona wanawake wazuri akaishi nao ndipo adamu akatokea,
Swali ni je walipofika akina lord enk na enlil dunia ilikuwa na binadamu??
Ni walikuwepo mbona maandiko yako yatakuwa yananichanganya??

Kama hawakuwepo huyo enki alipata wap mwanamke wa kumpiga mikasi na kuzaa watoto ambao aliwapeleka nibiru na kuwafanyia hila ya kutokula chakula chenye manufaa kwa mtoto wake wa dunian
 
KWA kuongezea pia umesema tumenaswa kwenye mtego,
Yaani kuwepo kwetu apa duniani ni mtego.
Tufanye nakubaliana na ww, kwahyo baada ya kunaswa mtegaji anamalengo gani na aliowapata ambao ndio sisi tuliopo apa duniani??

Lkn pia naomba kufaham ni kwa namna gani tunaweza kujinasua kutoka kwenye huu mtego??

Lkn pia naomba kufahamu sisi ni wa nan,?! Au tupo tuh huru. Yaan kabla ya kutegwa na kukamatika hapa duniani tulikuwa tunatanga tanga tuh au ,,

Je hiki kifungo cha apa duniani kitaisha au hakitoisha??

Je kifo ni ukombozi wa hiko kifungo au mwanzo wa kifungo kingne??
 
Back
Top Bottom