Sio kila mtu anafanikiwa kwa mganga. Hii inaweza kuwa sababu

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Hivi ushawahi kuwaza kuwa kama kupata mafanikio kwa mganga inawezekana kwa wote basi hakuna asingekuwa na tabu.

Mimi nafikiri wale wanaopata mafanikio kutokana na msaada wa mganga sio kwamba eti wameedana vizuri na masharti au wameweza kutoa kafara inayohitajika bali ni kutokana na "network ya nyota zao" zinaendana/zinasomana na hicho unachoenda kukitafutia ufumbuzi.

Tukumbuke kuwa sisi wanadamu ni very limited beings, tuli jaliwa zawadi husika ambazo tunatofautiana na wengine na huku bado tukiwa na mapungufu kibao sana ambayo hatufanani na wengine.

Ndio maana huyo mganga unaenda kwake akusaidie upande cheo kazini yeye mahali anapokaa hata unamuonea huruma. Hii yote ni kwa sababu ya network ya nyota yake haiconnect na mafanikio unayomdhania.

So, kama network yako inasomana na mafanikio ya kibiashara na unataka msaada huo basi utafanikiwa vizuri ila pale unapotaka mambo mengine unakuta network yako hasiomani thus haupati msaada.

Hii yote tu ni ili universe itimize law of limitations katika dunia. Yani kwamba "upate na usipate".

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja,kipindi hicho najitafuta jamaa yangu alinipeleka kwa mtaalamu ili niwe na mvuto kwenye biashara na nipate wateja wengi cha kushangaza sikufanikiwa yaan mambo yalikuwa vile vile na masharti yote nilienda kwa weledi kabsa!....nilikuja kufanikiwa baadae bila hata ndumba yaan mambo yalienda yenyewe tu huwa najiuliza sijui ilikuaje?...na si mara moja tu huko kwa watalaamu ni mara nyingi huwa sifanikiwi..ila kuna jamaa nilimuelekezaga kwa yule mtaalamu wa mwanzo aliponipelekaga jamaa cha ajabu anasema mambo yanaenda na asante ya soda kanitumia
 
Naunga mkono hoja,kipindi hicho najitafuta jamaa yangu alinipeleka kwa mtaalamu ili niwe na mvuto kwenye biashara na nipate wateja wengi cha kushangaza sikufanikiwa yaan mambo yalikuwa vile vile na masharti yote nilienda kwa weledi kabsa!....nilikuja kufanikiwa baadae bila hata ndumba yaan mambo yalienda yenyewe tu huwa najiuliza sijui ilikuaje?...na si mara moja tu huko kwa watalaamu ni mara nyingi huwa sifanikiwi..ila kuna jamaa nilimuelekezaga kwa yule mtaalamu wa mwanzo aliponipelekaga jamaa cha ajabu anasema mambo yanaenda na asante ya soda kanitumia
nyota haziendani na mtaalam
 
Naunga mkono hoja,kipindi hicho najitafuta jamaa yangu alinipeleka kwa mtaalamu ili niwe na mvuto kwenye biashara na nipate wateja wengi cha kushangaza sikufanikiwa yaan mambo yalikuwa vile vile na masharti yote nilienda kwa weledi kabsa!....nilikuja kufanikiwa baadae bila hata ndumba yaan mambo yalienda yenyewe tu huwa najiuliza sijui ilikuaje?...na si mara moja tu huko kwa watalaamu ni mara nyingi huwa sifanikiwi..ila kuna jamaa nilimuelekezaga kwa yule mtaalamu wa mwanzo aliponipelekaga jamaa cha ajabu anasema mambo yanaenda na asante ya soda kanitumia
Hahahahha hatarii umeona mkuu yani ndivyo inavyokuwa.

Inategemeana na connection zako kiroho na ntmetwork za energy kama zinaendana na ile ishu.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hivi ushawahi kuwaza kuwa kama kupata mafanikio kwa mganga inawezekana kwa wote basi hakuna asingekuwa na tabu.

Mimi nafikiri wale wanaopata mafanikio kutokana na msaada wa mganga sio kwamba eti wameedana vizuri na masharti au wameweza kutoa kafara inayohitajika bali ni kutokana na "network ya nyota zao" zinaendana/zinasomana na hicho unachoenda kukitafutia ufumbuzi.

Tukumbuke kuwa sisi wanadamu ni very limited beings, tuli jaliwa zawadi husika ambazo tunatofautiana na wengine na huku bado tukiwa na mapungufu kibao sana ambayo hatufanani na wengine.

Ndio maana huyo mganga unaenda kwake akusaidie upande cheo kazini yeye mahali anapokaa hata unamuonea huruma. Hii yote ni kwa sababu ya network ya nyota yake haiconnect na mafanikio unayomdhania.

So, kama network yako inasomana na mafanikio ya kibiashara na unataka msaada huo basi utafanikiwa vizuri ila pale unapotaka mambo mengine unakuta network yako hasiomani thus haupati msaada.

Hii yote tu ni ili universe itimize law of limitations katika dunia. Yani kwamba "upate na usipate".

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

IMANI ina ujinga mwingi sana,

Leo mtu analala na kuamka kisha anajiita NABII, MTUME, MGANGA na hakuna chombo chochote kitahoji
Hawa wajinga wajinga hata kama hawajui chochote ila wanajua kuongea vizuri watapata wafuasi....... Hawa ndio wadanganyika wengi huwakimbilia ili maisha yao yafunguke na kufanikiwa

Na kwa bahati mbaya sana IMANI ina contradictions....Kila kitu kina wezekana kwenye imani na hakiwezekani vile vile
Kwahiyo whatever the outcome imani ipo sahihi

Inawezekana kabisa mleta mada kaenda kwa waganga wengi sana na hajafanikiwa na ndio maana kahitimisha kwa kusema yeye na waganga wake nyota hazikuendana na network

Mkuu kazana kutafuta mganga mtaendana network utoboe maisha
Ila akangalia tu usije kutoa kafara mwanao
 
IMANI ina ujinga mwingi sana,

Leo mtu analala na kuamka kisha anajiita NABII, MTUME, MGANGA na hakuna chombo chochote kitahoji
Hawa wajinga wajinga hata kama hawajui chochote ila wanajua kuongea vizuri watapata wafuasi....... Hawa ndio wadanganyika wengi huwakimbilia ili maisha yao yafunguke na kufanikiwa

Na kwa bahati mbaya sana IMANI ina contradictions....Kila kitu kina wezekana kwenye imani na hakiwezekani vile vile
Kwahiyo whatever the outcome imani ipo sahihi

Inawezekana kabisa mleta mada kaenda kwa waganga wengi sana na hajafanikiwa na ndio maana kahitimisha kwa kusema yeye na waganga wake nyota hazikuendana na network

Mkuu kazana kutafuta mganga mtaendana network utoboe maisha
Ila akangalia tu usije kutoa kafara mwanao
Upumbavu sio kiipimo changu cha maisha.

Upumbavu wako ni kipimo chako cha usaa uliopo kichwani mwako.

Ahsaante, Uwe na siku ya kipumbavu.



Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu sio kiipimo changu cha maisha.

Upumbavu wako ni kipimo chako cha usaa uliopo kichwani mwako.

Ahsaante, Uwe na siku ya kipumbavu.



Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

Pole kama nimekukwaza Mkuu

Next time ukija na HOJA zako jifunze kukubali zikiwa challenged, usitake replies za kukuunga mkono tu

Huku matusi hayana nafasi mkuu
Huku tunashambuliana kwa hoja tu
 
Naunga mkono hoja,kipindi hicho najitafuta jamaa yangu alinipeleka kwa mtaalamu ili niwe na mvuto kwenye biashara na nipate wateja wengi cha kushangaza sikufanikiwa yaan mambo yalikuwa vile vile na masharti yote nilienda kwa weledi kabsa!....nilikuja kufanikiwa baadae bila hata ndumba yaan mambo yalienda yenyewe tu huwa najiuliza sijui ilikuaje?...na si mara moja tu huko kwa watalaamu ni mara nyingi huwa sifanikiwi..ila kuna jamaa nilimuelekezaga kwa yule mtaalamu wa mwanzo aliponipelekaga jamaa cha ajabu anasema mambo yanaenda na asante ya soda kanitumia
hahahhahaha duu
 
Pole kama nimekukwaza Mkuu

Next time ukija na HOJA zako jifunze kukubali zikiwa challenged, usitake replies za kukuunga mkono tu

Huku matusi hayana nafasi mkuu
Huku tunashambuliana kwa hoja tu
Pole mkuu

Nakushauri uache taarabu kusema sema watu na kuwatungia stori kama unawajua.

By the way, uwe na jioni ya kipumbavu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom