Nakushauri ujiunge na hii cult. Ukijiunga utakuwa in very distinguished company;. Pope Francis, Queen Elizabeth. Their bussiness? Raping and killing children. Ule uvumi uliosikia kwamba Papa...
Nawasaliamia wana JF wote kwa pamoja,
Sayari yetu imeishi sasa mda mrefu. Kuna viumbe vingi sana vilivyo kwenye hii dunia. Kuna theory mbali mbali za uwepo wa hii dunia. Kuna moja inahusika na...
Swali kutoka kwa Wadau tofauti lenye Maudhui Sawa;
Habari wana jamvi,
Kuna kajambo kadogo ningependa pata ufafanuzi kwa yeyote mwenye uelewa. Nimejaribu kusearch humu sijaona bandiko...
Habari zenu wakuu!!
Mara nyingi nimekuwa nikiota ndoto moja mda mrefu sana na ndoto inayonitesa sana. Naweza kukaa week mbil au moja ikajurudia ila haipiti mwezi sijaota. Nimekuwa nikiota na kula...
Kuna watu wengi husema eti kuna baadhi ya waganga huwa wanaweza kukuonyesha tv asili na ukaona picha kama kuna mtu alikufanyia ubaya ukamuoa live mie nimejaribu kupita kwa hao waganga wanao...
Habari za wakti huu!
Kwenye maisha tunaishi na watu wa aina na makundi mbalimbali, ningependa kujua mengi juu ya kundi hili la hawa watu wenye matatizo ya akili (vichaa). Wengi wao tupo nao huku...
Wana JF katika pitapita zangu nimekutana na kiwanda cha chuma kinaitwa SITA STEEL, na katika kuchunguza nikaambiwa kuwa hiki kiwanda ni cha waziri aliyejipambanua kama mpambanaji na ufisadi...
Norfolk, Virginia| A 78-year old retired officer of the CIA, Normand Hodges, has made a series of astonishing confessions since he was admitted at the Sentara General Hospital on Monday. He claims...
Wasalam great thinkers,
Nisingepnda kuwachosha sana kwa maelezo mengi..
Ni hivi, kwa tuliosoma Bible na Quraan tumepata kusimuliwa juu ya uwepo wa mitume mbalimbali yapata kusadikika au tuseme...
Wakuu habari zenu,
Kuna swala limenishangaza kidogo! Kuna mdogo wangu amefariki juzi Ijumaa ya tar 24/7/2015 kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo mpana. Siku mbili nyuma kabla hajafa alikuwa anaongea...
We all know about intelligence quotient(IQ) and how is measured, and that people often rely on some tests to approve certain group of individuals as they have high IQ.
But recently in our country...
Leo nilikuwa katika kuperuzi mtandao wa Wikileaks lakini mengi ninayoyaona ni mavujisho ya nchi za wenzetu, je kuna ubuyu wowote wa kitanzania ulishawahi mwagwa Wikileaks? naomba unipe link.
Watu maarufu popote duniani wanaouwezo usio na shaka kabisa wa kumfutia mtu au familia yake dhambi na wakishindwa basi kwa namna moja au nyingne wataififisha kwa wao nao kibeba kisai ikiwa...
Amani iwe kwenu nyote.
Biblia ni kitabu ambacho kimeeleza maisha ya mwanadamu tangu kuumbwa kwa dunia hadi ukamilifu wa dahari. Japokuwa kina aya nyingi zinazokinzana lakini wasomi wengi wa...
Habari wanaJF,
Nimekuwa na utata ambao nimekosa majibu ya kuridhisha. Nimekuwa Nikishuhudia watu wengi kuhusisha baadhi ya matukio yanayowatokea na Mungu, kwa mfano mtu anaweza akapata ajali...
Ikiwa yapata zaidi ya miaka 40 toka auawe aliyekuwa raisi wa Marekani JF Kennedy, kifo chake kimegubikwa na utata mwingi na ukweli wa waliohusika na tukio hilo la kuawawa kwake si ajabu mpaka leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.