Namba za simu zinaanza na 1 hadi 3 pale juu mwanzoni, lkn calculator zinaanza na 7 hadi 9, nimechunguza mara nyingi nimekuta hii kitu, iko ikoje hii wana jf?
Kwanini watu wengine huwa na machale juu ya jambo baya liwezalo kumtokea au tayari linamtokea wakati huo huo. Hata wengine utasikia akisema "Moyo wangu unauma" wakati huo huo anadai kumkumbuka mtu...
Naamini mko poa.
Leo hebu tuendelee kuzifahamu sayari zilizoko kwenye mfumo wa jua letu, na tutaiangalia kiundani zaidi sayari ya Saturn hebu tuanze.
1. Ni sayari ya 6 kutoka...
Wiki kama mbili zilizopita nilikuwa naangalia kipindi cha Simbeye pale TBC1, mmojawapo wa wazungumzaji alikuwa ni huyu Profesa. Kwa kweli nirifarijika sana jinsi huyu bwana alivokuwa akitetea...
US honours Kilango
DAILY NEWS Reporter, 26th March 2009 @ 10:39
The United States embassy today awarded Member of Parliament for Same East constituency in Kilimanjaro Region, Mrs Anne Kilango...
Kwa muda mrefu nimeendelea kushangaa intelijensia ya wanyama. Kwa muono huu wa picha hapa, kwamba kuna viumbe hutanguliza watoto na wengine hukaaa sambamba na wengine hukaa nyuma ya watoto wao...
Habarini wanajamvi, kwanza kabisa niwapongeze wale ambao hawalali usiku na mchana kwa kazi kubwa na nzito ya kizalendo kuhakikisha Taifa letu lipo Salama kabisa.
Siku za karibuni kumetokea...
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imebainisha kuwa hadi kufikia Juni mwaka huu, shule za msingi zilikuwa na walimu wapatao 58 wenye Shahada ya Udakatari wa Falsafa (PhD) wakati walio na Shahada...
Ardhi inasemeshwa na inaelewa na inafanya kile ambacho imeambiwa najua huwezi amini hili ninalo kuambia ila ni rahisi sana kuamini kuwa kuna jamii fulani wao hawazai kabisa, kunajamii wao...
Your body is not you. It is a mechanism and organism of nature that you live in, to learn and master. Much like you sit in a car and operate it, your consciousness sits in and out of your body...
Heshima kwenu wadau, nijuavyo mi ni kwamba binadamu ana mihimili mikuu mitatu. Kwanza ni roho, pili ni mwili na tatu ni nafsi.
ROHO nafahamu ni ile pumzi ya uzima kutoka kwa mungu mwenyezi...
Habari za jioni wana jamvi,
Mimi sio mwandishi mzuri, ila ninachokiona, kusikia na kutizama duniani ni dhahiri kwamba Unabii wa Daniel sura ya 2 unatimia.
Wakristo wengi wanakifahamu kitabu cha...
Wakuu habari
Kuna maswali huwa sipati majibu nikayaona ni sahihi naomba tushilikiane kupata majibu tafadhali
1. Kama usingekuepo wewe nafasi yako ingechukuliwa na nani? Kama isingechukuliwa mambo...
Habari za humu ndani wakuu, Naomba kujuzwa kwa ukweli wa Kidono au Vidono.... "hapo zamani nimekuwa nikisikia huyu kachanjiwa vidono hawezi kufa kirahisi" hasa kwa wezi au majambazi.
Kidono...
Habarini wakuu..
Leo ninataka sote kwa pamoja na kwa hoja za maana tuzijadili sababu za kiinteligensia juu ya maisha ya binadamu wa karne hii na karne zijazo.
Kama mada tajwa hapo juu...
Mmabibi na mabwana natanguliza salam, kwa wale waliofunga swaumu makbul walio wagonjwa Mmungu awajazie afya tele.
Leo naomba tupeane habari kuhusu hirizi ya simba hili jambo toka nikiwa mdogo...
Naanzisha Thread Hii kujadili makundi makuu manne ya watu mahala popote pale unapokua
Tabia hizo ni kutawala (Choleric – Dominance), mhamasishaji (Sanguine - infuluencing), asiyeyumbishwa...
Ukitoa lugha za afrosemitic languages kama vile Amharic - Wikipedia, the free encyclopedia na Egyptian language - Wikipedia, the free encyclopedia ambazo kiujumla hizi zipo kwenye kundi moja na...
Niliwahi kuwaza na kujiuliza hivi wakati mababu zetu wanapokea ustaarabu mpya/dini walikuwa na taratibu zao za kuishi na kila taratibu zilikuwa na mazingira ambayo watu wanaishi chini ya kivuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.