Habari zenu waungwana,
Naomba mchango wa mawazo yenu kwanza mnisaidie kujua
1.UKWELI ni nn?
2.Tunajuaje kwamba hili jambo ni kweli kbsa?
3.Je tuna uhakika gani kinachozungumzwa ni kweli na...
Kwa siku mbili zilizopita Mwezi umeonekana ukiwa umegubikwa na msalaba kwa ambao huenda mmeangalia.........tena msalaba ukiwa umekoza zaidi
nimegoogle nikaona tu mjadala wa suala kama hili ingawa...
Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.
Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili...
Intelligence agencies thrive on impressing politicians and the public with their mystique, exploits real or imagined, and possession of information that supposedly gives them a unique...
Wanandugu,
Je, duniani kuna utaratibu wowote unaoweza kukufanya ukapata Ph.D bila kulazimika kupitia kwanza Masters? Kama inawezekana, ni institutions zipi zinao utaratibu huo?
Shy women usually practice the gesture of leg twine. The gesture involves locking one foot on top of the other under the knee. Usually, women wearing short dresses implement this gesture as a sign...
Habarini ndugu wana jamii forum, mimi si mwenyeji sana na pengine ni mara yangu ya kwanza kupost kwenye jukwaa hili:
Kwa kuanza: kuna dhana ya watu wengi hivi sasa kuishi kwa kutegemea miujiza...
HAKUNA MUNGU??? ZIJUE NCHI ZENYE WAPAGANI WENGI DUNIANI...............
Nimekutwa na tukio la kupotezana na rafiki yangu Mholanzi baada ya kumuuliza DINI yake alikasirika sana.......na nimegundua...
Ghost/ Vanishing hitchhiker ni Urban Legend ambayo ni maarufu sana ulaya na marekani ni story ambayo inamhusisha mwanaume mmoja ambaye alikuwa anaendesha gari lake mida ya usiku mrefu
katika...
Wakuu poleni na shughuli na mihangaiko za hapa na pale,
Wakuu naombeni msaada wetu wa kitaalam kidogo mimi kidogo hapa nashwindwa.Ni hivi;
Nikichukua ile mota inayofua umeme kwenye zile wire za...
habari zenu wana jf..?
Hizi ni fikra zangu juu ya karne zijazo ktk dunia yetu.
SEHEMU MPYA YA MAKAZI YA WATU
kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani huenda baadae watu wataanzisha makazi ktk...
Kati ya vitu ambavyo wamarekani wanajivunia basi ni airborne rangers ..
Hawa jamaa hua wanatua uwanja wa vita kwa kutumia parachute ... Hii inasaidia hata kwa nyakati ambazo adui atakua amezuia...
Mazingira ni nini..?
Ni vitu vyote vinavyomzunguka mwanadamu kama miti,mawe,ardhi n.k.
Kwanini nimesema mazingira yanatujua zaidi ya tunavyoyajua..?
Coz kila tunachotaka ktk mazingira tunapata...
"Energy can neither be created nor destroyed, but it can be transformed from one form to another" ~ Newton’s Law of energy Conservation.
Kwamba nishati haiwezi kuundwa wala kuharibiwa, lakini...
Kwa Nini Watu Wazuri Hupatwa na Mambo Mabaya?
Kwa kuwa Yehova Mungu * ndiye Muumba wa vitu vyote na ni mweza-yote, huenda wengi wakadhani kwamba yeye ndiye anayesababisha mambo yote ulimwenguni...
Ulipokuwa mtoto mdogo, uliwauliza wazazi wako, “Watoto hutoka wapi?” Ikiwa uliwauliza, walikujibu namna gani? Ikitegemea umri wako na utu wao, huenda wazazi wako walilipuuza swali hilo au...
Habari jf
Natumai mpo vema kabisa,, kutokana na mambo machache nitayoyauliza hapa kuhusu suala la dini na imani kwa ujumla ikatokea nitajibiwa vizur pasi na shaka bila kwa wenye kutoa majibu...
Chombo cha anga za juu cha shirika la Marekani la NASA kilichopewa jina Juno kimetuma picha za kwanza za sayari ya Jupiter.
Moja ya hizo, iliyotolewa na NASA Jumanne inaonesha sayari hiyo ikiwa...
Magazeti ya Guardian la Uingereza na Washington Post la Marekani yamechapisha wiki iliyopita habari za siri kutoka taasisi ya usalama wa taifa CIA.Habari hizo zinaeleza jinsi taasisi hiyo ambayo...
Popular sense seem imagination as unreal, BUT it is real.
HOW IT IS REAL?
When a man imagines he/she actually creates a form on the astral plane, and this form is real and objective to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.