Wakuu Habarini Za Majukumu! Naombeni Mnijuze Kuhusu Sare Za Majeshi Ya Ulinzi Wa Mipaka Ya Nchi (Defence Forces) Kwanini Sare Za Nchi Zote Zina fanana (Mabaka-baka) Au Ni Moja Ya Sheria Za Umoja...
Watu wengi huwa wanauliza swali hili mara nyingi sana kama kupinga au kujaribu kuonyesha kuwa hakuna Mungu lakini mimi leo nataka nikwambie Mungu yupo na ndiye aliyezifanya mbingu na nchi ktk...
Natumai wanna jukwaa mpo poa na mnazid kupambana na changamoto za" Hapa kazi Tu"
Bila kutumia maneno zaidi, Nakiri kuwa mfwatiliaji mzuri wa mada za members wa jf hasa za akina, mshana, Lara 1...
natambua kuwepo na magomvi mbalimbali kwa sababu ya dini tofauti na hata wafuasi wa dini moja kupambana. lakini kusingekuwapo na dini kabisa, haka ka amani na ka haki kadogo na ustawi na maendeleo...
Scopolamine ni madawa ya kulevya yanayotengenezwa kutokana na ungaunga wa mbegu za matunda ya mti unaoitwa kitaalamu "borachero tree". Miti hii inapatikana kwa wingi huko Bogota, Columbia. Baada...
WEISHAUPT!!! Alikuwa nanguvu sana ndani ya Illuminati.
Alizaliwa February 6.1748, nani mtoto kutoka kwenye familia ya kiyahudi. Na baba yake alifariki mwaka 1753. Kijana huyu aliingia katika...
Soma upate Ufahamu na Maarifa. Kama mmewahi kupitia makala moja jamiiforum iliandikwa vitu sita ambavyo havijaumba na mungu. Nakuonya usije ukakufuru bure. Vitu vinavyoonekana na visivyo onekana...
U hali gani mwana JF?
Ningependa kujua faida au thamani ya mnyama aitwae Kakakuona katka maisha na mizunguko ya binadamu!.
Nawakaribisha wataalam jamvini..
Habari wana jamvi,
Inafahamika kuwa hapa duniani kuna nchi ambazo zinatawaliwa kifalme, mtawala akiwa mfalme au malkia. Watawala hao hutoka katika ukoo mmoja tu na ulithishana ukuu huo.
Naomba...
leo siwasalimii naanza na mada moja kwa moja
inasemekana vitu vyote duniani vimeumbwa viwiliviwili ila kimoja ni kinyume na mwenzake,mfano
mwanaume-mwanamke
ugali-wali
mahindi-mpunga
mwanga-giza...
MAMBO 10 KUHUSU KOREA KASKAZINI
1.Bangi inaruhusiwa na haijawai kuorodheshwa kama dawa nchini Korea Kaskazini
2.Korea kaskazini ni taifa pekee duniani kuiteka meli ya kijeshi ya Marekani...
Kamanda mwandamizi na mtaalamu wa Milipuko wa kundi la Hezbollah Mustafa Badreddeen ameuawa juma lililopita kufuatia mlipuko mkubwa unaoonekana kuwa ni shambulizi la anga la Israel katika jiji la...
Ninafahamu akili aliyonayo binadamu inamfanya kupambana na mazingira yanayomzunguka na kutokana na mapambano hayo, ndiyo maana uvumbuzi wa vitu mbali mbali umetokea.
Binadamu tunapojikuta tupo...
Wakuu mm napenda sana kuangalia series za intelligence na kusoma vitabu vya intelligence. Humo hasa kwenye vitabu unaonyeshwa usaliti unaofanywa na wanausalama wa Nchi husika pamoja na mambo...
Huyo ni aina wa dinosaur(Urefu mita 12.6 na uzito unliokadiriwa tani 80) mabaki yake yaliyochukuliwaga kutoka kilima cha Tendaguru mkoani Lindi.Mabaki yaligunduliwa na Engineer Mjerumani mwaka...
Wasalaamu,
Kwa muda wa takribani miaka 12 nimekuwa nikiota ndoto baada ya muda mfupi hutokea tukio halisi likiashiria ndoto niliyoota.
Mfano, mwaka 2006 nilikuwa najisomea usiku, tena nilikua na...
I convey my regards to all distinguished ladies and gentlemen and the honorable in here!
As humans, our main lines of defense are the two, the eyes and the ears. both given in pairs they mark...
I have been reading the arguments of people who deny the Existence of God and I recognize their counter-arguments do not hold water, in fact, they are mostly confusing and illogical . Now, the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.