Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wakuu kwa muda mrefu sasa huyu Bwana anayejulikana kama Jullian Assange amekuwa akianika maovu ya serikali nyingi duniani, toka aanzishe mtandao wake wa Wikileaks karibu miaka 10 iliyopita...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Mambo vipi wadau, Niende kwenye swali moja kwa moja kwenye swali langu; Hivi kuna uhusiano gani kati ya mgonjwa wa kifafa? Au baadhi ya vichaa? Maana kuna wengine mwezi Mchanga ndio...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Niko naangalia Aljazeera kuna documentary wanaonesha kuhusu utafiti wao juu ya biashara haramu ya pembe za ndovu na faru. Wameanzia Afrika Kusini mpaka China na Vietnam ambako ndiko kuna masoko ya...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana, Najua hili swali limekaa kitoto lakini ukijiuliza hata wewe nadhani utafikiria kidogo haswa kama unaufahamu kidogo na mambo ya anga, kama wote tunavyofahamu jua huangaza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Karibuni sana wana jamvi! Leo nataka kuwashirikisha sababu za msingi kabisa ambazo ni rahisi kuzithibitisha kuwa binadamu na viumbe wengine wote tumeumbwa. Nitaongelea binadamu zaidi ila...
2 Reactions
101 Replies
11K Views
Wakuu, Ningependa Kujuzwa:Chanzo cha Hii Dini,Mwanzilishi Wake,Lengo la Lake na Vitabu Vinavyotumiwa na Waumini Wake! Kwa Wanaotaka Kujiunga Utaratibu Ukoje? Karibuni....
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Nimeamua kuandika hili baada ya Kuona kuwa kumekuwa na Upotoshaji Mkubwa kila siku zinavyoenda kwa hizi nadharia mbalimbali za kimatukio wakizihusisha na namba. Conspiracy theories...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Leo nataka tuifahamu kwa undani hii sayari ya Jupiter. Naanza wewe utaongezea au kurekebisha. 1. Ni sayari ya 5 kwa umbali kutoka jua letu (star). 2.Ni sayari kubwa kuliko...
21 Reactions
141 Replies
36K Views
Nawasalimia wana JF wote. Leo nipo hapa kuongelea swala hili la kufanya miujiza na uponyaji. Kwanza awali ya yote ningepeda kutoa utangulizi kama ifuatavyo. UTANGULIZI Sisi binadamu tuko na...
14 Reactions
252 Replies
52K Views
HERUFI ''M'' INA ASHIRIA WEWE MTU WA BAHATI KUBWA UNAWEZA KUWA NA PESA NYINGI AU KUWA KIONGOZI MKUU KATIKA MAMBO YA SIASA AU KUWA WEWE MTU MWENYE AFYA NZURI, AU KUWA NI MWANASHERIA AU HAKIMU AU...
2 Reactions
118 Replies
57K Views
Baada ya Adam na hawa kuumbwa sijasikia tena wala kusoma kama uumbaji uliendelea kufanyika.sote baada ya hapo tumekua tukizaliwa tu! Sijaona dunia ikijaa wala kusikia mbingu kujaa! Nahisi watu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
IS IT A SIN TO DRINK ALCOHOL? Various researches have shown that Breweries Companies are indeed performing better and better everyday WHY? The answer is that there are many more drinkers than non...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
UKARA KISIWA CHA TANZANIA KILICHOBADILI uchumi wa dunia kimfumo . JUNE 20, 1920 Gazeti maarufu la marekani lijulikanalo kama The New York Times( NYT) lilichapisha habari kuhusu kisiwa cha...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kikundi cha wanajiolojia watafiti Katika makala haya, tutaangalia jinsi wanasayansi wa kawaida, tena ambao walikuwa hawaamini kabisa kwamba kuna Mungu au shetani, katika utafiti wao ambao...
3 Reactions
34 Replies
20K Views
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna...
12 Reactions
209 Replies
25K Views
There is no original Swahili word to mean Money. This is revealing truth which came after the intensive research that I have done. The word that are in use in Swahili language to mean Money are...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wanadamu tunaamini katika maisha baada ya kifo, ingawa maisha haya yanapishana kutokana na dini mbalimbali, lakini kwa ujumla common ground ni kuwa tutaishi baada ya kufa. Msingi wa maisha baada...
2 Reactions
213 Replies
20K Views
Habari zenu wanajf,ni njia gani sahihi zaidi ya kukabiliana na uoga,watu huita phobia wengine huita anxiety,wataalamu karibuni mfafanue
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Napenda kuleta mjadala huu kwenu GTs, katika level zote nilizowahi kusoma, nilikutana na course ya psychology kwenye level ya Diploma na First degree, kwa bahati mbaya sikuona topic iliozungumzia...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Kama mungu aliumba binadamu na vitu vyote, basi mungu alihusika kumuumba shetanii. Kwahiyo asingekuwa shetani kusingekuwa na dhambii?
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom