Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Wakuu Habarini Za Majukumu! Naombeni Mnijuze Kuhusu Sare Za Majeshi Ya Ulinzi Wa Mipaka Ya Nchi (Defence Forces) Kwanini Sare Za Nchi Zote Zina fanana (Mabaka-baka) Au Ni Moja Ya Sheria Za Umoja...
0 Reactions
2 Replies
908 Views
Watu wengi huwa wanauliza swali hili mara nyingi sana kama kupinga au kujaribu kuonyesha kuwa hakuna Mungu lakini mimi leo nataka nikwambie Mungu yupo na ndiye aliyezifanya mbingu na nchi ktk...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
  • Redirect
Natumai wanna jukwaa mpo poa na mnazid kupambana na changamoto za" Hapa kazi Tu" Bila kutumia maneno zaidi, Nakiri kuwa mfwatiliaji mzuri wa mada za members wa jf hasa za akina, mshana, Lara 1...
6 Reactions
Replies
Views
natambua kuwepo na magomvi mbalimbali kwa sababu ya dini tofauti na hata wafuasi wa dini moja kupambana. lakini kusingekuwapo na dini kabisa, haka ka amani na ka haki kadogo na ustawi na maendeleo...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Scopolamine ni madawa ya kulevya yanayotengenezwa kutokana na ungaunga wa mbegu za matunda ya mti unaoitwa kitaalamu "borachero tree". Miti hii inapatikana kwa wingi huko Bogota, Columbia. Baada...
10 Reactions
47 Replies
9K Views
WEISHAUPT!!! Alikuwa nanguvu sana ndani ya Illuminati. Alizaliwa February 6.1748, nani mtoto kutoka kwenye familia ya kiyahudi. Na baba yake alifariki mwaka 1753. Kijana huyu aliingia katika...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Soma upate Ufahamu na Maarifa. Kama mmewahi kupitia makala moja jamiiforum iliandikwa vitu sita ambavyo havijaumba na mungu. Nakuonya usije ukakufuru bure. Vitu vinavyoonekana na visivyo onekana...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
U hali gani mwana JF? Ningependa kujua faida au thamani ya mnyama aitwae Kakakuona katka maisha na mizunguko ya binadamu!. Nawakaribisha wataalam jamvini..
0 Reactions
17 Replies
13K Views
Habari wana jamvi, Inafahamika kuwa hapa duniani kuna nchi ambazo zinatawaliwa kifalme, mtawala akiwa mfalme au malkia. Watawala hao hutoka katika ukoo mmoja tu na ulithishana ukuu huo. Naomba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
leo siwasalimii naanza na mada moja kwa moja inasemekana vitu vyote duniani vimeumbwa viwiliviwili ila kimoja ni kinyume na mwenzake,mfano mwanaume-mwanamke ugali-wali mahindi-mpunga mwanga-giza...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
  • Redirect
MAMBO 10 KUHUSU KOREA KASKAZINI 1.Bangi inaruhusiwa na haijawai kuorodheshwa kama dawa nchini Korea Kaskazini 2.Korea kaskazini ni taifa pekee duniani kuiteka meli ya kijeshi ya Marekani...
6 Reactions
Replies
Views
Kamanda mwandamizi na mtaalamu wa Milipuko wa kundi la Hezbollah Mustafa Badreddeen ameuawa juma lililopita kufuatia mlipuko mkubwa unaoonekana kuwa ni shambulizi la anga la Israel katika jiji la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi" na tumefundishwa Mungu hana mwanzo. Sasa kabla ya kuumba ulimwengu mungu alikua anafanya kazi gani?
4 Reactions
91 Replies
16K Views
Ninafahamu akili aliyonayo binadamu inamfanya kupambana na mazingira yanayomzunguka na kutokana na mapambano hayo, ndiyo maana uvumbuzi wa vitu mbali mbali umetokea. Binadamu tunapojikuta tupo...
4 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu mm napenda sana kuangalia series za intelligence na kusoma vitabu vya intelligence. Humo hasa kwenye vitabu unaonyeshwa usaliti unaofanywa na wanausalama wa Nchi husika pamoja na mambo...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
  • Redirect
Huyo ni aina wa dinosaur(Urefu mita 12.6 na uzito unliokadiriwa tani 80) mabaki yake yaliyochukuliwaga kutoka kilima cha Tendaguru mkoani Lindi.Mabaki yaligunduliwa na Engineer Mjerumani mwaka...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wasalaamu, Kwa muda wa takribani miaka 12 nimekuwa nikiota ndoto baada ya muda mfupi hutokea tukio halisi likiashiria ndoto niliyoota. Mfano, mwaka 2006 nilikuwa najisomea usiku, tena nilikua na...
1 Reactions
Replies
Views
I convey my regards to all distinguished ladies and gentlemen and the honorable in here! As humans, our main lines of defense are the two, the eyes and the ears. both given in pairs they mark...
1 Reactions
1 Replies
834 Views
I have been reading the arguments of people who deny the Existence of God and I recognize their counter-arguments do not hold water, in fact, they are mostly confusing and illogical . Now, the...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom