Salaam wakuu
Leo kijana wenu nimewaza sana kuna jambo silielewi..lakini naamini hapa wapo wahusika wakunisaidia au hata wale wenye ujuzi
Hivi pesa inapotengenezwa(kiwandani sijui) taifa husika linaenda kuinunua au wanabadilishana vipi?yaani ukiweka oda ya kutengenezewa hela wewe unapeleka nini unapoenda kuchukua pesa zako?
Na kama kuna biashara hufanywa hua wanabadilishana na kitu gani?
Je kweli wanainunua kwa pesa?yaani umuuzie ng'ombe maziwa au nyama.duuuuh!yeye anaitengeneza sasa wewe unampa nini?
Na je?inapotengenezwa ni kua ya zamani inateketezwa au au zinazidi kujazana?
Karibuni mnisaidie wakuu
Shukran.
Leo kijana wenu nimewaza sana kuna jambo silielewi..lakini naamini hapa wapo wahusika wakunisaidia au hata wale wenye ujuzi
Hivi pesa inapotengenezwa(kiwandani sijui) taifa husika linaenda kuinunua au wanabadilishana vipi?yaani ukiweka oda ya kutengenezewa hela wewe unapeleka nini unapoenda kuchukua pesa zako?
Na kama kuna biashara hufanywa hua wanabadilishana na kitu gani?
Je kweli wanainunua kwa pesa?yaani umuuzie ng'ombe maziwa au nyama.duuuuh!yeye anaitengeneza sasa wewe unampa nini?
Na je?inapotengenezwa ni kua ya zamani inateketezwa au au zinazidi kujazana?
Karibuni mnisaidie wakuu
Shukran.