Habarini humu!
Moja kati ya maswali ambayo najiuliza ni kama Mungu hayupo sasa mbona ni jina maarufu sana, nafikiri ni jina pekee lenye kuabudiwa kwa namna tofauti tofauti.. sasa kama hayupo...
SOMO: FAHAMU NGUVU ZAKO ZA KUZALIWA KWA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU
Kumb 33:1-9, Mwanzo 49:3-7, 1Kor 2:10
Kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu Aliye Hai, ameumbwa na nguvu maalumu kutoka mbinguni...
Nauliza tuu..km hawa jamaa wetu wanaotoka kanda ya ziwa na magharibi wakiw ana identity za mashaka na zinazobadilikabadilika ,na wenye asili ya ukabila uliotukuka hakuleti hatari ya kuja shughudia...
Kama kuna elimu ambayo inatakiwa ifundishwe kwa sasa ni hii "nguvu ya akili ktk maamuzi".
hii ni kwasababu kuwepo kwa waathirika wengi ambao hufanya maamuzi ya hisia pasipo kushirikisha akili...
Average IQ of Countries
The average IQ in the United States is usually set at 100. Groups within the US score different average IQ's, such as 115 for college grads or 85 for African-Americans...
Hii ni mada nzuri kuijadili kwa pamoja japo mimi nitatoa tafsiri yangu.Nimevutwa na hili kutokana na mazingira magumu ya sasa,wapo wengi wanamwomba Mungu lakini mahitaji yao hayatimii,wapo...
Fuatana nami.....
Mpelelezi ni mtu anayekusanya taarifa za adui , mshindani wa biashara au serikali adui ila saa nyingine mpelelezi huyo anaweza kufanya kazi ya kumpeleleza adui ila akamgeuka...
Moja ya maswali magumu niliyoulizwa na my frend wangu ni kuwa binaadamu jicho lake lina megapixel ngapi?? Hii nikutokana nilimwambia jicho la binadamu ni mfano mzuri wa kamera ya simu yake (iphone...
Operation ya kwanza kwenye mwili wa binadamu ilifanywa na mungu mwenyewe.Kwa kutumia nadharia ya kidini ( devine theory). Ukisoma maandiko matakatifu (bible) Genesis 2:21."Bwana mungu akamletea...
Habari za Jumapili!
Nimekaa hapa nikawa nawaza hivi ukiachilia mbali Vitabu vya dini vinavyotuasa kua watu wema na kuwatendea wenzetu vile ambavyo sisi tungependa kutendewa yote hii kwa ahadi ya...
Habarini ndugu wana Jf,
Huu ni uzi wangu wa pili kuandika. Leo katika pitapita zangu katika kitabu kitakatifu (Biblia),nimekutana na mambo ya kustaajabisha ambayo na mimi nashangaa kwamba je haya...
Habarini wanajamvi!
Kumekuwa na Mada nyingi ambazo zimekuwa zikionyesha na wakati mwingine kuthibitisha ya kuwa Mungu alitenda makosa. Aidha wengine wameenda mbali kwa kuyaorodhesha kwa kadri...
Natanguliza pole kwa wahanga waliofikwa na maafa ya tetemeko la ardhi lilitokea tarehe 10/9/2016 katika mikoa ya Kagera na Mwanza.
Kuna mambo napenda kuuliza kwa wanajamvi wenye uelewa kuhusu...
Biography of Dr. Salim Ahmed Salim
Dr. Salim Ahmed Salim, who concluded his term of office as Secretary General of the Organization of African Unity on 17 September 2001 after serving an...
"Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo."
Yohana 8:40
Katika andiko hilo YESU kwa kinywa chake yeye mwenyewe...
Hivi iki kiapo cha uaminifu kwa viongozi wetu wakiwa wameshikilia vitabu vya dini zao mikononi au kutamka maneno yanayofaa kuchukuliwa kama "kiapo cha uamninifu" kina maana yeyote kwetu au ni...
Wakuu natumaini hamjambo.
Mimi jana nimekwaruzana na mke wangu maana tulitofautiana katika mambo flani.
Sasa baada ya kulala, nimeota nimekufa sijui namna gani halafu siku wananizika nikafufuka...
Kama ilivyo CIA, KGB (imekuwa FSB kuanzia 1995)shirika la kijasusi la USSR sasa URUSI limewahi kuhusika katika operation hatari sana maeneo mbalimbali Duniani. Kilele cha operation hizo ilikuwa...
habari
Wadau nataka tujuzane hapa kwanini wanadamu wanashindwa kuumba wakati uwezo wa kiungu uko juu yao na wakitamka kitu kinatendeka
mfano: mtu anaweza kumtamkia laana mwenzake na ikampata na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.