Abushiri ibn Salim al-Harthi alikuwa kiongozi wa upinzani dhidi ya ukoloni wa Wajerumani katika maeneo ya Pangani na pwani ya Tanzania ya leo mnamo 1889 .
HALI YA MAENEO YA PWANI MWAKA 1888...
Wadau mambo yanakuwa vipi watu wa nguvu baada Mwaka kila mtu naona anapambana na hali yake
Bila kupoteza wakati
Tunasikia juu ya sayari isiyojulikana inayotoka anga za mbali sana kuja kuigonga...
Misri kuwa na milolongo ya tawala za kijeshi ni kitu kisichokaa vyema kwa nchi hiyo. Nchi iliyo kaskazini mwa Bara la Afrika ina historia kubwa na inasadikiwa kuwa ni kitovu cha ustaarabu duniani...
Einstein's 'Biggest Blunder' Turns Out to Be Right
his Hubble image displays a pair of spiral galaxies with swirling arms. The binary galactic system is located in the constellation of...
Mara kadhaa umesikia watu wakijiita watabiri na kutabiri mambo mbalimbali ambayo hayakutokea kama walivyobashiri. Now naomba nikupe stori ya mwanamama kipofu ambaye alifariki miaka zaidi ya 20...
Tangu kuingia kwa wageni nchini Tanzania hasa kuanzia kipindi cha wakoloni miaka ya 1880s hadi leo, kumekuwepo mabadiliko makubwa ya uingilianaji wa watu kutoka jamii/koo tofauti tofauti kutokana...
Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB".
Does anybody know who he is and what has he been doing in...
Turkey has signed an agreement with Sudan that will allow it to have a military presence on the Red Sea.
Turkey has signed a $650m deal to develop an island on the Red Sea.
It is the latest...
Haya ndio makubaliano waliyowekeana mataifa wanachama wa Umoja Wa Mataifa juu ya matumizi ya anga za mbali.
Article I
Uchunguzi na matumizi ya anga la nje,ikihusisha Mwezi na mbingu na bodi...
Wataalam wa Meli nisaidieni kujua meli ikitembea huwa inamwaga maji na yanapitia wapi?
Kwa juujuu unawezasema nii kweli maji ya bahari hutumika kupoza engine ya meli. Lakini kiundani ni hapana...
Habari za wakati huu wakuu wa Jamii Forums?
Wengi wetu tunafahamu ni kwa kiasi gani tunahitaji kupaa kwenda juu, lakini kutokana na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu tunajikuta tupo pale pale...
Kugundua jambo ni swala linalochukua muda mrefu, na ugunduzi wa mambo au vitu vingi unavyovijua sasa ulifanyika miaka mingi sana iliyopita tofauti na ambavyo wengi wanavyoweza kufikiria. Hii ni...
Ni ukweli kuwa pamoja na kufahamu yaliyotokea Japan Rais Obama anajua kuwa mataifa mengi ya Afrika yameumizwa na matendo ya Marekani ambayo pengine taifa hili linastahili kuomba msamaha.
Maumivu...
Dag Hammarskjöld: evidence suggests UN chief's plane was shot down Eyewitnesses claim a second aircraft fired at the plane raising questions of British cover-up over the 1961 crash and...
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.
Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi...
Leo hii tar 21 Desemba ni siku ndefu ya mwaka, ni siku ya solistasi. (Waingereza husema solstice) .
Leo Jua linafika nafasi ya kusini zaidi hivyo iko juu zaidi angani. Na njia yake kwenye anga ni...
Aman iwe nanyi wandugu!
kama topic inavyojieleza, ni nadra kukuta statue or sanamu ya viongozi mashuhuri ndani ya Bongo except ile ya mwalimu nyerere...sina uhakika kama zipo nyinginezo! hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.