Dag Hammarskjöld: evidence suggests UN chief's plane was shot down Eyewitnesses claim a second aircraft fired at the plane raising questions of British cover-up over the 1961 crash and...
Nazungumzia watanzania waliosoma Urusi kwakuwa ni hao ambao ninawafahamu vizuri pengine na wa nchi nyingine wapo hivyo pia lakini sifahamu.
Kikubwa ni kwamba wasomi wengi waliosoma nchini Urusi...
Leo hii tar 21 Desemba ni siku ndefu ya mwaka, ni siku ya solistasi. (Waingereza husema solstice) .
Leo Jua linafika nafasi ya kusini zaidi hivyo iko juu zaidi angani. Na njia yake kwenye anga ni...
Aman iwe nanyi wandugu!
kama topic inavyojieleza, ni nadra kukuta statue or sanamu ya viongozi mashuhuri ndani ya Bongo except ile ya mwalimu nyerere...sina uhakika kama zipo nyinginezo! hata...
"Sophie! Sophie usife ishi kwa ajili ya watoto wetu".yalikuwa ni maneno ya mwisho ya Archiduke Franz Ferdinand tarehe 28 June mwaka 1914 akiwa anakata roho baada ya kupigwa risasi.Akimtaka mkewe...
Moja ya mambo mengi yanayosababisha nchi za Kiafrika zisiendelee ni pamoja na asilimia kubwa ya viongozi wake kuingia katika uongozi kwa njia za kishirikina au kuamini ushirikina. hili limekuwa...
Einstein's response:
I am deeply moved by the offer from our State of Israel, and at once saddened and ashamed that I cannot accept it. All my life I have dealt with objective matters, hence I...
Kuvujika kwa U.S.S.R chini ya Mikhail Gorbachev.
Habarini wanabodi!!
Mwaka 1922 umoja wa nchi za kijamaa uliundwa (Union of Soviet Socialist Republics). Umoja huo uliundwa na nchi kama Romania...
Tamer El-Noury ni jina lake kamili akiwa ni FBI muislamu ambaye alipewa jukumu la kuingia ndani ya makundi ya kigaidi yenye msimamo mkali na kushirikiana nao katika kupanga mashambulizi dhidi ya...
Au niuelewa wangu mdogo au upo tofauti na ukweli husika?
Kuna huu utaratibu wa viongozi wa kiserikali hasa hapa dar kutembea kwa masafara wa magari kadhaa ukiongozwa na pikipiki.
baadhi ni kama...
Hili fumbo walitengenezewa na Jim Sanborn mwaka 1990 na lilikuwa na sehemu nne zenye herufi kama unavyoziona hapo chini.
Wenyewe CIA wanadai kuwa walishapata majibu ya sehemu tatu bado sehemu ya...
Kwa kweli naongea kwa masikitiko makubwa sana, hivi kweli Wacongo wanaweza kuwauwa Watanzania kama hivi?, jibu ni BIG NO, Watamzania tunaheshima kubwa sana Congo, sisi ndio ndugu wa damu pekee...
Kuna jambo la ajabu ambalo wengi hawajalitambua... Nimejaribu kuunganisha dots, nikaingia Google kupata support ya picha na mawili matatu!
-Je unajua chochote kuhusu anguko la mji wa Ninawi na...
BIOLOGICAL WARFARE BEFORE THE 20TH CENTURY
War and infectious diseases have always been closely linked. Even without a precise understanding of how diseases were spread, it was understood early on...
Operation redwing
Mnamo siku ya tareh 27.06.2005 usiku…(makomando) wan ne vijana kutoka jeshi la marekani walishushwa katika kilele kimojawapo cha milima ya Hindu kush kijulikanacho kama...
Naona gazeti la fisadi Rostam Azizi limeanza kuanika ufisadi wa mafisadi watoto. Ufisadi huanza kidogo kidogo na baadaye kufikia hatua ya kuiba mabilioni na kuanza kuua watu.
Masahihisho tu kwa...
Maisha ya Simba dume yamejaa misukosuko
Simba ni mnyama anayesifika kwa ukali mpaka kubatizwa jina la mfalme wa nyika.Cheo cha ufalme wa nyika hauendi kwa simba jike bali cheo hicho ni mahususi...
Wakuu kama tunavoona China inazalisha bidhaa nyingi ambazo huuzwa mpaka Ulaya na marekani.
Lakini mpaka sasa China sio mjumbe wa G7 (Most industrialized countries) yaani Nchi zilizoendelea...
Jesus's Story Is An Obvious Rehashing Of Numerous Previous Characters
Perhaps even more compelling is the story of Christ himself. As it turns out it's not even remotely original. It is instead...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.