Kati ya vitu ambavyo mpka leo vinanipa shida ni kushindwa kujua ni mechanism gani iko ndani ya risasi (bullet) kiasi cha kuua kwa kasi, kwa sababu kuna vitu mfano kisu ni kikubwa kinaweza kukita ndani ya mwili wa binadam still mtu akawa hai kwa muda fulani kuliko majeruhi wa risasi....tafadhali wenye Kujua
Sent from my HUAWEI TIT-U02 using JamiiForums mobile app
Sent from my HUAWEI TIT-U02 using JamiiForums mobile app