Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Habarini za saa hizi wakuu.. Bila kupoteza muda usiku wa kuamkia leo nimeota natapika mapande ya nyama iliyopikwa na kuna mtu pembeni yangu(simkumbuki) ndiye aliyekuwa ananambia nifanye hivyo na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zito akichangia bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, amesema kwamba Waziri Karamagi alikwenda kusaini mkataba wa Mgodi wa Buzwagi, London kwa kutumia mfumo wa mikataba wa zamani wakati serikali...
6 Reactions
1K Replies
138K Views
wakuu nawasalimu wote na kheri ya mwaka mpya... Leo naomba kujua kama je inawezekana kwa rais kuitoroka nchi yake kama vile wafanyavo baadhi ya watumishi wa idara za ujasusi? Ninawasilisha....
2 Reactions
33 Replies
4K Views
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Jamani kuna jambo kidogo huwa linasumbua sana kichwa changu! Na sijapata majibu.Hivyo nimeona bora nililete humu labda nitapata msaada. Jambo lenyewe ni hili; ikiwa Adam na Hawa(Eva) ndo chanzo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ripoti ya shirika la wahisani la Save the Children inasema kuwa watoto milioni 700 duniani wamepoteza fursa ya utoto wao, kutokana na sababu mbali mbali kama magonjwa, ndoa za mapema na mizozo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Do Muslims or Arab nations( majority are Muslims) aware of Israel as the choosen Nation of God? Do they? If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God? If they...
3 Reactions
143 Replies
14K Views
Kumekuwa na nchi tofauti hasa zenye uchumi mkubwa kwenda anga za mbali na nyingine kuwa na vituo huko angani kama ilivyo Marekani(NASA). -Mara kwa Mara tumekuwa tukipewa taarifa za mafanikio...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Baada ya kusoma michango ya wanaintelligence mbalimbali na nikagundua umuhimu wa mtu kuishi kiintelligence na kilichonifanya nifikirie zaidi ni namna gani niweze badilisha maisha na kuishi maisha...
17 Reactions
160 Replies
21K Views
Hello JF Fans.! Leo ni siku ya Ibada hasa kwa Wakristo walio wengi, lakini bado kuna ambao hatuwezi kufika Kwenye sehemu za Kusanyiko kushiriki na wenzetu katika Ibada kutona na sababu kadha wa...
9 Reactions
37 Replies
12K Views
Hivi wale panya waliotangazwa kuwa wana uwezo wa kutegua mabomu ni kweli walikuwepo/wapo au au yalikuwa mambo ya wanasia tuuu? Kama wapo kwa nini wasipelekwe Mbagala wakafanye kazi yao? Saidia...
0 Reactions
164 Replies
32K Views
April 21, 2017 Medellin, Colombia Escobar's Hitman. Former drug-gang killer, now loved and loathed in Colombia It is not often that you get to meet a man who has personally taken more than 250...
6 Reactions
18 Replies
4K Views
TANZANIA YETU IMMORTAL TECHNIQUE (THE 3 rd WORLD) Ukitazama kwa undani utagundua Tanzania ni nchi ambayo haijapiga hatua kubwa za kimaendeleo katika siasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
BIBLE’S CONTRADICTIONS 1. Genesis chapter 1 God created adam and eve together Genesis chapter 2 God created adam and then eve later 2. Genesis 2:7 and 2:19 God created a man and then the...
3 Reactions
179 Replies
13K Views
Dk. Ballali kuumbua vigogo Wosia wake wataja walioshinikiza EPA Wanasiasa, wanasheria wauhifadhi Mwandishi Wetu Mei 21, 2008 KIFO cha aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT) Dk. Daudi...
1 Reactions
117 Replies
18K Views
Hamjambo humu ndani? Nawaomba mnielimishe juu ya hii app (TELBOX TANZANIA-inasemekana INA uwezo wa kufuatilia mawasiliano ya mtu yeyote unayetaka kumfuatilia) Nimei download nikataka kuitumia...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
  • Redirect
UFAFANUZI WA NAMBA 666 (Ufu. 13:11-18) Utangulizi Kuelewa maana ya namba hii ni lazima kuelewa mazingira na sababu za kuandikwa kitabu cha Ufunuo. Kitabu cha Ufunuo kiliandikwa karne ya kwanza...
13 Reactions
Replies
Views
Dunia inamchanganyiko wa kila aina ya Mlengo wa Maisha. Lakini Sayansi ni kitu ambacho kila kiumbe duniani kimenufaika nayo kwa kujua au kutokujua. Ukisoma Bibilia kuna mambo ambayo Yangebadili...
30 Reactions
362 Replies
43K Views
Mwanga una vyanzo vingi kama vile jua, mwezi, n.k je vipi kuhusu giza huletwa na vyanzo vipi? Giza ni nini hasa? Je kuna uvumbuzi wowote wa vifaa viletavyo giza? Karibuni.
4 Reactions
56 Replies
15K Views
Nini maana ya maisha haya. mtu amezaliwa leo, kesho anakufa Mtu anaishi katika jumba leo, kesho anaishi chini ya ardhi.(mfu) Mtu anaendesha gari leo, kesho anaendeshwa kwenye ambulance(ajali)...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Back
Top Bottom