Natumaiii m wazima wote humu
Leo tulichungize kidogo Bomu ya Hiroshima
Bomu lilolipua miji Japan hadi leo limeleta athari
Baada ya kulipuka cheche za bomu zilisambaa zaidi km 900 yaani kama...
Habari wana JF
Kuna story nyingi mtaani kwetu kuwa banking soda au chapa maandashi inaweza kupambana na ( UTI ) kifupi ni kwamba UTI ni ugonjwa wa njia ya mkojo unaosababishwa na bacteria anaeenda...
Natumai mko poa wakuu.
Leo tunaendelea tena na kufahamishana juu ya madude yaliyo ktk mfumo wetu wa jua, hebu tuiangalie sayari ya Mars kwa undani zaidi.
1. Sayari ya Mars ni ya nne (4)...
Vitabu vitakatifu, Quran na Biblia vyote vinasema Mungu wakati wa mwanzo wa uumbaji wake, aliumba mbingu na nchi (dunia).
Kuna jambo moja linalonisumbua kwa muda mrefu ambalo ningependa wajuzi wa...
Nimefatilia thread nyingi hapa mjengoni na hili linahusu ishu ya DNA kuna baadhi ya nyuzi zili zungumzia upelelezi kwa wahusika wa matukio mbali mbali na kukamatwa kwa njia ya kupima vinasaba...
Huwa wakuu wote wa nchi wanapoenda nchi zingine kwa ziara rasmi wanapewa ceremonial aide de camp na host country ,nimefuatilia ziara ya jana sioni aide de camp wa TPDF nyuma ya PK as practiced.je...
Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ambayo iliwawezesha...
ASUBUHI NA MAPEMA KWA MTAALAMU WA KUREMBA NA KUTENGENEZA SURA.
Ni tarehe 6 mwezi August mwaka 2009 jamaa wawili wanaingia saluni kwa mtaalamu wa make up. Ni wachangamfu hawana wasiwasi. Mmoja ni...
Nimesikia Kuwa Roho hazifi bila zinahama mwili mmoja kwenda mwingine. Yaani ukifa utazaliwa katika mwili mwingine lakini utakuwa ni wewe yuleyile na ili upate historia yako ya miili yako ya zamani...
KWA Mujibu wa Wikipedia, Robert Pershing Wadlow, aliyeishi kati ya Februari 22, 1918 na Julai 15, 1940, pia alijulikana kama Jitu la Alton na jitu kubwa la Illinois, alikuwa ndiye mtu mrefu...
......................nilipo kuwa form one mwaka 2011 nilifundishwa mambo meng kuhusu ulimwengu pamoja na asili ya mwanadamu kupitia somo la historia na jeografia..........evolution of man ni...
Sounds credible to me. This satanic plot by the Western Scientists is no longer a secret. Their arrogance has reached such proportions that they no longer hide anything for those who are ready to...
Habar zenu humu. Nimeona Leo niulizee hili swali tunaambiwa binadamu wote ni udongo kwa sababu tumeumbwa kwa udongo. Lakin katika hali ya kawaida sisi sote tunazaliwa na hakuna ambaye tumeona...
Wadau wa JF
Leo nimemkumbuka Max Weber
Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi fundisha.
Weber wrote that the modern bureaucracy in both the public and private sector relies on the following...
...........AFRICA umebeba mengi yenye kuvutia na kuhuzunisha japo kuwa nakupenda sana. Una rasimali kibao km vile misitu mikubwa inayo patikana congo, misitu yenye mvua za kutosha kalbia mwaka...
A political family or political dynasty is a family in which several members are involved in politics, particularly electoral politics. Members may be related by blood or marriage; often several...
Kiongozi wa Chama cha Kisoshalisti kilichojulikana kama ‘NAZI’, Adolf Hitler (1889-1945) alikuwa mmoja wa madikteta dhalimu na wenye nguvu kuwahi kutokea katika karne ya 20.
Baada ya Vita Kuu ya...
Nchi kadhaa za Magharibi zina utaratibu wa kila mwaka kutoa tathmini/ripoti ya hali ya usalama wa taifa, ambapo pamoja na unyeti unatawala shughuli za taasisi za kishushushu, wananchi hupatiwa...
Kwa wale ndugu zangu wafuatiliaji wa karibu wa vitabu vitakatifu hasa biblia.. Naomba ni share na nyinyi kitu hiki...
Ukisoma bible kitabu cha Mwanzo.. Imeandikwa Mungu aliumba mbingu na dunia...
Kwenye nchi yoyote ile duniani katika mambo ya utawala na uongozi, kuna kitu kinaitwa National Intelligence na kingine kinaitwa State Intelligence.
National Intelligence huwa ipo kisheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.