,, "if you only knew the magnificence of the 3,6 and 9 then you would have a key to universe"
Mwenye kufahamu kwa undani atililike, kwa vip naweza tumia number hizi 3,6,9 ktk nyanja mbalimbali za...
Mauaji katika Fungate (je ni kweli Shrien Dewan alipanga mauaji ya mke wake?)
Tarehe 13, mwezi wa 11 mwaka 2010, wanandoa wawili wakiwa safari ya kula fungate Afrika ya Kusini baada ya ndoa...
I have tried to run a simulation with the little forensic science I know of bullet being shot in the air( thrust, speed, velocity and resistance to gravity) and upon its thrust upwards declining...
Jamani nimepita mbeya jana nikakuta kuna jengo limeandikwa SHREE HINDU MANDAL lakini kilichonistua ni alama ambayo imechorwa kabla na baada ya hilo andiko.
Kuna alama ambayo ni sawa na ile...
Salaam wakuu,
Kila rais duniani anakuwa na Walinzi wake maarufu kama bodigadi. Kama unakumbuka Gaddafi, yeye alikuwa na mabodigadi wa kike na inasemekana aliweza kutembea na walinzi wasiopungua...
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya...
Utafiti wa vinasaba unaonyesha hivi ndivyo Mwingereza wa zamani alivyokuwa. Alikuwa na ngozi nyeusi na nywele nyeusi zenye kujipindapinda. Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa katika mabaki ya...
Jerusalem ni muhimu kwa dini na imani zote za Ibrahimu kwa sababu ina sehemu zao takatifu kwa ajili ya Uyahudi ni jiji la hofu kabisa, kwa Waislamu ni ya tatu baada ya Makka na Medina, na kwa...
Wanabodi husika na kichwa cha habari hapo juu, kumekuwa na watu wengi (sio wote) ambao wangependa kupata tafsiri za ndoto mbalimbali, walizoota au wanazoota, na ni matumaini yangu kuwa humu...
Amani iwe kwenu wakuu,
Nimekuwa nafuatilia 'manabii wa kisasa' na kulinganisha na kile kinachofanywa na waganga wa kienyeji nikaona kama vile kuna mfanano wa namna fulani kiasi kama wangekuwa...
Hivi karibuni nchini Marekani shirika la FBI walitoa picha za raia watano wa China ambao wanatuhumiwa kwa kufanya shughuli za ujasusi wa kiuchumi yaani kwa lugha ya kiingereza "economic espionage"...
Habari vipi wadau
Jarida moja la Times nimelisoma wiki iliopita nimejionea mambo amabayo wazungu hasa USA NA CANADA mambo waliyoandaa kufanyika miaka 2000 ijayo nimependa nileta humu na nyie...
Kwa ambao mnafuatilia siasa za kimataifa, huko nchini Afrika ya kusini kulikuwa na kashfa kuhusu serikali ya Zuma kuwekwa mfukoni na familia maarufu ya wafanyabiashara wenye asili ya kiasia...
.
Tareha 22, mwezi wa 4 mwaka 2003, mwanamichezo wa mchezo wa kupiga makasia akiwa kwenye mtumbwi wake mdogo akifanya mazoezi katika bahari karibu na daraja lilioingia kwenye maji...
Tangu zama za mawe mwanadamu amekuwa nguzo kubwa ya maendeleo,(man power) ongezeko la watu kwa jamii mbali mbali zilifanya binadamu kuweza kuendelea na kufanikisha shughuli zao za kimaendeleo...
Habari wanajamvi
2018 February 6 ni siku ya kipekee kwa wadadisi wote wa masuala ya anga na ugunduzi wa ulimwengu kwani ndio siku kampuni binafsi ya bwana ELON MUSK iitwayo SPACE X wamefanya...
Mkuu wa JWTZ, Meja Jenerali Davis Mwamunyange
*Adaiwa kutoweka na nyaraka nyeti
OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika...
Heshima kwenu nyote Wana Jamii Inteligence.
Nimepitia uzi wa mwanajamii Mwenzetu (heshima kwake) unaohusu Tunda la mti wa Ujuzi wa mema na mabaya nikawa na mengi ya kuandika na nikasema tuongeze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.