Habari zenu WANA JF?
Je ni kweli huyu jamaa ana asili ya Rwanda au ni jina tu la kibantu,kwani amekuwa akitajwa kuwa na mafanikio makubwa sana hasa kwenye utumishi wa umma wakati wa kipindi chake...
SIKU YA ASTEROIDI
Siku ya asteroidi inaadhimishwa kila mwaka tarehe 30 Juni. Siku hii ya kimataifa ilanzishwa mwaka 2014 na wataalamu na wanaharakati wa astronomia na kuidhinishwa na Umoja wa...
KUNA CHA KUJIFUNZA KWA PYTHAGORAS
Huenda hukusoma sana, lakini ulimaliza darasa la saba. Basi hiyo inatosha. Inatosha sana kwa wewe kukutana na kitu kinaitwa
" Pythagoras theorem"!! Hukumbuki? Je...
Kuna vitu nilivisikia tangu kipindi kirefu nyuma lakini bado hadi Leo sijapata kujua undani wake zaidi(vitu vyenyewe hususani ni maeneo kama)
1.Bermuda triangle
2.pyramid of Egypt
3.Area 51...
Salam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.
Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa...
Nashauri serikali itumie teknolojia ya drones kuweza kuwatambua wauaji wa Kibiti.
Teknolojia hii ya drones ni rahisi haina gharama kubwa, kikubwa ni kusimika kituo au base ambayo itapokea taarifa...
Mwaka 2016 ndio tunauacha Rasmi, mwaka 2016 una mengi ya kukumbukwa yaliyoifurahisha na kuihuzunisha dunia. Mambo ambayo yatabaki kichwani mwa watu ni Vita vya mahasimu wanaooneshana ubabe nchini...
Simo Häyhä December 17, 1905 – April 1, 2002
Nicknamed ‘The White Death'|705 confirmed kills (505 with rifle, 200 with submachine gun)
Was a Finnish soldier who, using an iron...
Jana nimesoma gazeti moja likimtaja Mkurugenzi wa Dawasco Bw Archard Mutalemwa nikashangaa; ni Mutalemwa yupi? Aliyekuwa anasambaza maji yasiyo na dawa (1993) wakati akiwa NUWA akaundiwa tume na...
Taarifa ya siri ya TUTSI EMPIRE 1999 ningependa kuwakumbusha mpango huu ingawa najua wakongwe wa humu ndani mnaujua vizuri ni moja ya mambo muhimu yaliyowahi kufatiliwa siku za hapo nyuma na wana...
Ndugu wanajamvi nimeamua kulileta kwenu hili baada ya kukaa Kwa muda nikifikiria kinachotokea katika ardhi ya Pwani.
Mpaka sasa mauaji yanaendelea, mbaya zaid haijulikani. Nn sababu, lengo la...
Habari zenu wana intelligensia......
Kumekuwa na story nyingi sana kuhusu existence ya Mungu na jinsi dunia inavyopata shida.....hii imesababisha watu wengine kuhisi kuwa hakuna Mungu,ama story...
Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ni miongoni mwa Taasisi nyeti kabisa nchini kutokana na umuhimu wa majukumu yake.
Umuhimu wake unakuja kutokana na sabababu kwamba; nchi yeyote ile ni lazma iwe...
Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema...
Kilimanjaro ilivyonusurika kuwa nchini Kenya, Mombasa kuangukia TanzaniaJUN 15, 2017by JOSEPH MIHANGWAin MAKALA
JE, umewahi kujiuliza swali hili: “Kwa nini mpaka [wote] kati ya Tanzania na...
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.
3; Ndio...
Nikola Tesla and Albert Einstein were two of the greatest scientists of all time, but they often worked in opposition to each other rather than together in cooperation.
Einstein’s theory of...
Habari wanabodi!!
Kuna tetesi ambazo zilishavuma sana kwa kipindi kirefu sana hapa nchini huku baadhi ya wenzetu wakijitokeza sehemu mbalimbali kuthibitisha tetesi hizo.
Inadaiwa kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.