Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
Habari wana jf natumai ni wazima.Sijawahi kuanzisha katika jukwaa hili(home of great thinker) Leo ndo my first time.Hili huwa najiuliza lakini nakosa majibu.Soma kisa hiki hapa chini
Mwanasayansi wa elimu ya viumbe Athanasius Kircher(1601-1680)alikuwa na tufe leñye sura ya dunia lililofanywa kwa ustadi sana.Siku moja rafiki yake aliyekuwa haamini kuwa kuna Mungu,alipoona tufe hilo na kuvutiwa na uzuri wake,aliuliza Nani aliyeufanya mfano huu wa dunia hivi?Kircher akajibu"Hakuna mtu,umejifanya wenyewe".Rafiki yake akasema"Unanichekesha aliyeufanya mfano huu lazima awe mstadi mkubwa,Jinsi gani Kircher akahoji.Hautaki kukubali ya kuwa mfano huu dhaifu wa tufe la dunia la dunia umejifanya wenyewe,lakini unakaza mafundisho yako ya kuwa dunia kubwa jinsi hii imejifanya yenyewe.
Swali linebaki pale pale.Who made space,unirves and the world?
Mwanasayansi wa elimu ya viumbe Athanasius Kircher(1601-1680)alikuwa na tufe leñye sura ya dunia lililofanywa kwa ustadi sana.Siku moja rafiki yake aliyekuwa haamini kuwa kuna Mungu,alipoona tufe hilo na kuvutiwa na uzuri wake,aliuliza Nani aliyeufanya mfano huu wa dunia hivi?Kircher akajibu"Hakuna mtu,umejifanya wenyewe".Rafiki yake akasema"Unanichekesha aliyeufanya mfano huu lazima awe mstadi mkubwa,Jinsi gani Kircher akahoji.Hautaki kukubali ya kuwa mfano huu dhaifu wa tufe la dunia la dunia umejifanya wenyewe,lakini unakaza mafundisho yako ya kuwa dunia kubwa jinsi hii imejifanya yenyewe.
Swali linebaki pale pale.Who made space,unirves and the world?