Luteni Kanali Vladimir Putin: Afisa muandamizi wa KGB Ujerumani Mashariki na mfadhili wa makundi ya kigaidi Middle East (PFLP, Hezbollah, Hamas)
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa...
Ukichukua mzunguko wa duara lolote ukagawa kwa Kipenyo chake; unapata ratio Pi ambayo ni 3.14.... nakuendelea
Sasa interesting facts ni kwamba....
baada ya desimali namba zinaendelea to...
Ni nani hasa anayeitwa Black Pope? Na kwa nini jina hili halijulikani sana kama la White Pope (Papa wa kawaida wa Vatican)?
Wengi hawajui kuwa ndani ya Kanisa Katoliki kuna mtu mwenye mamlaka...
Mara nyingi, mtu akikumbana na jambo ambalo hajaelewa au hajapata ujuzi wake, huwa na mwelekeo wa kulisema kuwa halipo au haliwezekani. Hii ni hitimishio lisilo na msingi wa kifikra, kwani ukosefu...
Dini maarufu zaidi duniani yaani Uislamu, Ushahidi na Ukristo, inaonekana shina la Imani zake, limejengwa kumzunguka Ibrahim.
Dini zote hizo tatu zinamtambua Ibrahimu kama ni binadamu aliyekuwa...
Leo nitakuja na somo lenye kichwa kikisema kuwa
HAUKUUMBWA NA MUNGU
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Ndugu yangu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma bandiko hili maana litaingia ndani...
Ndugu wanajukwaa karibu katika Kalooism na mtazamo wa Afrika ijayo.
Utangulizi,
Waraka wa Amani Kwa Taifa ni kuyafungua yaliyokuwa yamefichwa toka tumboni mwa mzazi na alichokizaa Bahati...
Hello...
Previous I wrote a topic centered on Greece and we discussed a bit about Egypt, So this Topic will be serving as a spin-off of that Topic. Will focus on Rise and fall of Egypt , Pharaoh's...
Labda Mtu unaweza kujiuliza kama kuna sayari nyingine,na pia basi ujiulize kama ulitambua uwepo wa sayari hii kabla kuzaliwa?. Kuna wakati unaweza kudhani labda maisha ni mlolongo usioisha au...
Habari wana jamii forums!! Hope mko poa, mimi swali langu kwamba.
Kuna hili shirika la anga la Marekani (NASA), kuna ule uzushi ulioenea kwamba mmarekani hajawai kufika mwezini, kama wameweza...
JESHI la Polisi nchini limedai kumhoji mtu anayedaiwa kuwa Afisa Usalama wa Ikulu, Ramadhan Ighondu, anayetuhumiwa kuwa mhusika mkuu katika tukio la kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya...
Bila Shaka mko poa wakuu yesss twenzetuni uandishi tuvumiliane
John gweru alikua Jasusi kutoka nchini Zimbabwe katika shirika la kijasusi la central intelligence organization (CIO).
Alikua ni...
Katika maisha haya tunayoyaishi hapa Duniani Kila bin Adam ni Safi kabisa iwapo tungekuwa hatukutani na binadamu wengine.
Ila kwa sababu tunakutana Sina budi kusema 'The atmosphere is no longer...
Yoshua 10:13
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.Hayo je hayakuandikwa katika kitabu cha Yashari?
2Samweli 1:17-18
Basi Daudi...
Idara ya Usalama wa Taifa (Tanzania Intelligence and Security Service) ndiyo idara maarufu na inayoogopwa sana na wananchi walio wengi. Kutokana na kutoifahamu vizuri idara hii, wananchi wengi...
Naamini sote tuwazima kwa uwezo wa Muumba wa mbingu na ardhi
Ndugu zangu,
Najitahidi kuacha kuwafikiria wanasiasa wa tz lakini nashindwa. Sijui ni vipi wanajisikia pale wanapoona wananchi...
Leo ikiwa ni miaka zaidi ya kumi tangu litokee tukio lililoiacha dunia kwenye kitendawili kikubwa mpaka sasa cha kutokujua nini jibu lake baada ya majengo mawili World Trade Centers comlex...
Huwa nashangazwa nikiangalia tathmini tupewazo kwa niaba ya vyombo vya habari na makala zake za kiuchumi na fedha ambayo imethibitika ya kwamba Tanzania ni nchi ya tatu Afrika kwa uzalishaji wa...
Kutoka Taarifa Ya CAG ya 2009/2010
"....Potential Non Recoverability of Members Funds at NSSF
Our review of the NSSF investments in loans revealed non compliance withcontractual terms, hence...
wengi tumeshuhudia utiwaji saini kati ya viongo wa NDC chini ya mwenyekiti wake Christant Mzindakaya na Mwenyekiti wa Sichuan Hongda Co., Ltd Liu Canglong. Na hafla yenyewe ilifanyika pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.