Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi...
132 Reactions
2K Replies
87K Views
Ni chombo cha kisayansi kilichorushwa na shirika la maswala ya anga NASA mwaka 1977,kusudi la kurushwa chombo hiki ni kwaajili ya kupeleleza anga ndani na nje ya mfumo wetu wa jua. Voyager 1...
36 Reactions
340 Replies
43K Views
Nawasalimia wana JF wote. Leo nitaongelea uthibitisho wa kisayansi uwepo wa Mungu. Na ninapenda tujadili hapa kisayansi zaidi. Pamoja na kuunganisha imani mbalimbali zilizopo. Sipendi niseme...
25 Reactions
410 Replies
18K Views
Bila shaka mko vizuri wanajukwaa... Leo wacha niwape maneno ya yule mzee ili mnisaidie kuyatafakari. Huyu mzee alianza kwa kuniambia kwamba kimsingi ndani ya kila mtu kuna mbawa za kuruka juu ya...
19 Reactions
29 Replies
2K Views
Salaam, shalom!! ( Isaya 6:1-10), Mwanzo 1:26-28). (Matendo 9:4) Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere. Hapo hapo maandiko...
15 Reactions
514 Replies
19K Views
Machi Mosi 1896, Kibanga alimshushia mkoloni kipigo cha mbwa koko katika ardhi ya Ethiopia. Majeshi ya Dola ya Italia yaliyojaa uroho wa kujimilikisha rasilimali za Ethiopia yalipata tabu sana...
36 Reactions
58 Replies
15K Views
“Kwa nini maisha ni ubatili” ni la kina sana—ni swali ambalo watu wengi mashuhuri wa falsafa, dini, na roho wamejiuliza kwa maelfu ya miaka. Hapa kuna majibu kwa mitazamo mbalimbali: 1. Mtazamo...
10 Reactions
120 Replies
5K Views
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi.... Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya...
55 Reactions
789 Replies
180K Views
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo. Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa...
47 Reactions
194 Replies
23K Views
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni...
21 Reactions
939 Replies
287K Views
Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless...
92 Reactions
535 Replies
84K Views
Jamii intellegence naomba kujua ni nini asilia ya taifa la Israel?
1 Reactions
4 Replies
396 Views
https://www.instagram.com/reel/DMhiReEvsPa/?igsh=MWlmenBqbHVrbHd0cw== Tazama na sikiliza makala hii iliyotengenezwa miaka 15 iliyopita
1 Reactions
0 Replies
192 Views
Kuna stori kuwa Columbus alipokuwa anaondoka kisiwa fulani huko Amerika aliwaambia wenyeji wampe chakula cha safari. Wakagoma. Akasema mkigoma kesho nitafanya miujiza. Nitautia mwezi giza. Kweli...
7 Reactions
85 Replies
3K Views
Swali sio kwamba Kwanini watu wanaishi nauliza kwanini wewe Unaishi ? Dhumuni la swali ni kujaribu kueleweshana huenda watu tumesahau kwamba Binadamu tupo tofauti chema kwako ni kibaya kwa...
21 Reactions
30 Replies
4K Views
Katika historia ya mwanadamu, mifumo ya kiutawala imekuwa kama wimbi linalofika ukingoni na kurudi baharini, haikai mahali pamoja. Tulishuhudia ujima, tukazama kwenye ukabaila, tukakumbatia...
5 Reactions
12 Replies
904 Views
Binadamu kila kukicha tunazidi kupata mbinu za kuyakabili maisha.. Inafikia hatua ya kujigeuza miungu watu sasa.. Kwa kujipa uwezo wa kuwafufua binadamu waliokufa siku za nyuma, Ndugu zangu haswa...
9 Reactions
263 Replies
43K Views
AGE IS NOT IN OUR DNA 🧬 Aging is a mind control program. It is a lie that people die of old age because the "age" of our DNA in cells does not exist. Cells in the body are constantly renewed...
9 Reactions
64 Replies
3K Views
Here’s a truth most can’t stomach: The difference between intelligence and indoctrination isn't found in books, degrees, or how well someone can repeat what they’ve been taught. It's found in...
1 Reactions
3 Replies
502 Views
Mtaalam vs Mjuaji (Machino) (Chawa) Mtaalamu ni mtu mwenye ujuzi wa kitaalam katika eneo fulani, amepitia mafunzo rasmi, uzoefu wa kazi, au elimu ya kina. Mfano: mtaalamu wa afya, mtaalamu wa...
9 Reactions
32 Replies
1K Views
Back
Top Bottom