Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 453
- 376
Invisible Power of Women*
Utafiti unaonyesha 98% ya watoto wote huzaliwa ni ma genius; mama zetu wana nguvu za kuona kitu kilichopo ndani yetu kuliko mtu yeyote.
-wanawake wana uwezo waliopewa na Mungu wa kumuibuwa mtu wa ndani, that genius aliyelala ndani yetu.
-Katika bible mfano tumeona hata Mungu anapotaka kuleta mabadiliko makubwa anamtumia mwanamke;
-Hata shetani anajua nguvu ya mwanamke.
-Nguvu ya mwanamke sio ya kupuuza, Biblia ikasema tuishi nao kwa akili.
-Mwanamke ana nguvu ya kumfanya mwanaume afike mbali sana.
-Siku moja obama alilia akasema bila mkewe asingekua rais
-Thomas Edson mama yake almwambia una akili sana mwanangu baada ya kufukuzwa shule, lakin mama yake aliona kiti ndani yake.
-Yuko jamaa yangu mmoja alitumbuliwa katika wafanya kazi hewa, lakini mke wake alimtia moyo na kumuonyesha mapenzi sana, akatafuta pesa wakafungua biashara ndogo, leo hii wana biashara kubwa sana.
-Mwanamke akijua nguvu iliyo ndani yake akiitumia vizuri maendeleo .
-The women have power to heal men, na kuwafanya wafike mbali.
-Nchi za mashariki ya mbali, China, Korea Japan wanawake wana nguvu sana katika jamii na wamepewa nafasi.
-Mwanamke akipata maarifa sahihi, anaeza leta mabadiliko makubwa sana.
-They are catalyst.
-mwanamke anapotumia ile nguvu vibaya, ndipo sasa unakua mwenz wake ana sukari na presha.
-Historia ya Marcedez benzi ukiisoma itakufurahisha sana: mara ya mwisho baada ya kufilisika sana, mkewe alimwaambia try it for last time please. Na baada ya hapo akatoboa.
Japo pia haina haja ya kukata tamaa hadi chembe.
JK ROWLING alikua rejected 12 times kabla haja publish kitabu chake cha Harry Potter
-Beyonce aliandika nyimbo zaidi ya mia kabla ya kuja na Halo
-Mack Zuckerberg alitengenez app nyingi za kuchag, game na studying kabla ya kuja na facemash ambayo baadae ni facebook.
-Mafanikio makubwa huja pale unapokubali kuwa na uhuru kushindwa pasipo kukataa tamaa
-no one who dont mistake, lets keep trying. Then we become greater together.
Pata nakala ya kitabu changu ujifunze zaidi. henryest600@icloud.com
Utafiti unaonyesha 98% ya watoto wote huzaliwa ni ma genius; mama zetu wana nguvu za kuona kitu kilichopo ndani yetu kuliko mtu yeyote.
-wanawake wana uwezo waliopewa na Mungu wa kumuibuwa mtu wa ndani, that genius aliyelala ndani yetu.
-Katika bible mfano tumeona hata Mungu anapotaka kuleta mabadiliko makubwa anamtumia mwanamke;
-Hata shetani anajua nguvu ya mwanamke.
-Nguvu ya mwanamke sio ya kupuuza, Biblia ikasema tuishi nao kwa akili.
-Mwanamke ana nguvu ya kumfanya mwanaume afike mbali sana.
-Siku moja obama alilia akasema bila mkewe asingekua rais
-Thomas Edson mama yake almwambia una akili sana mwanangu baada ya kufukuzwa shule, lakin mama yake aliona kiti ndani yake.
-Yuko jamaa yangu mmoja alitumbuliwa katika wafanya kazi hewa, lakini mke wake alimtia moyo na kumuonyesha mapenzi sana, akatafuta pesa wakafungua biashara ndogo, leo hii wana biashara kubwa sana.
-Mwanamke akijua nguvu iliyo ndani yake akiitumia vizuri maendeleo .
-The women have power to heal men, na kuwafanya wafike mbali.
-Nchi za mashariki ya mbali, China, Korea Japan wanawake wana nguvu sana katika jamii na wamepewa nafasi.
-Mwanamke akipata maarifa sahihi, anaeza leta mabadiliko makubwa sana.
-They are catalyst.
-mwanamke anapotumia ile nguvu vibaya, ndipo sasa unakua mwenz wake ana sukari na presha.
-Historia ya Marcedez benzi ukiisoma itakufurahisha sana: mara ya mwisho baada ya kufilisika sana, mkewe alimwaambia try it for last time please. Na baada ya hapo akatoboa.
Japo pia haina haja ya kukata tamaa hadi chembe.
JK ROWLING alikua rejected 12 times kabla haja publish kitabu chake cha Harry Potter
-Beyonce aliandika nyimbo zaidi ya mia kabla ya kuja na Halo
-Mack Zuckerberg alitengenez app nyingi za kuchag, game na studying kabla ya kuja na facemash ambayo baadae ni facebook.
-Mafanikio makubwa huja pale unapokubali kuwa na uhuru kushindwa pasipo kukataa tamaa
-no one who dont mistake, lets keep trying. Then we become greater together.
Pata nakala ya kitabu changu ujifunze zaidi. henryest600@icloud.com