20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
Habari,
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu hawa viumbe kuwa je ni
kweli wana exists au ni just myth?
Mimi ni miongoni mwa watu ambao nimekuwa nikiziuliza kuhusu huwepo wa hawa viumbe, kabla sijaendelea mbele tujue kidgo kuwa hawa ni wakina nani.
ZOMBIE, kwa kifupi niseme kuwa huyu ni living dead, ambaye hana hisia kama za binadamu wa kawaida, mfano maumivu, kuchoka n.k
ni mzoga unaoishi lakini unahitaji la kufeed on flesh mara nying ni human kulingana na movie zao(hapa sijaonglea bado kuhusu utafit niliofanya)
VAMPIRE, huyu ni kama binadamu but ana vitu extra kama ability ya ku move wapo faster stronger na wanauwezo kuishi mda mrefu bila kuzeeka, time yao ipo tofauti kidgo na binadamu. Hawa wana feed on blood n mara nying hupenda human blood
WOLVES, hii ni jamii ingine pia ambayo ni binadamu huwa na.tabia za wolves wale porin , wakat wana transform hutoa kucha, huwa na hasira, fasta na strong. Wanatabia kama mbwa
Sasa turudi kwenye mada ukweli kuwahusu. Ukiangalia movie zote utakuta wote huonyesha tabia zinazofanan kuwahusu, swali je hizi tabia wamezicreat hao movie maker au wamezitoa sehemu after kuwa study. Kuna ushirikiano ambao hufanyika kati ya wasanii wa industry zote pamoja na super existance power, hupewa maagizo yaki mision ya kureveal taratibu huwepo wao na hao viumbe
Mfano Miungu kama Zeus etc
Kuna documentary moja nilitazam kuwa kuna watu walion wolf coven, walion wolves na kwenda kulipot bt serikali ikawa inataka kufunika hichi kitu, walipimwa akili wakaonenkan wapo sawa, wakaja Fbi na lie detectors wanawafunga na kuanza kuwahoji bt walionekana wakisema kweli. But ishu haikwenda public
Kuna kipind UFOS wameonekan mara kadhaa marekani bt ishu ikawa ni confidential. Adolf hilter ndo alikuwa mtu wa mwanzo mwanzo kushirikiana na hao aliens na hii ipo waz ukifatilia, hata baada ya kushndwa vita wale mataalamu wake walienda USA na wakawekwa wakuu wa vitengo flan flan after miaka mingi ikiwemo yule mkuu wa NSA aliwahi kukili kuwa wanachukua idea na.ujuiz kutoka katika aliens na viumbe wengine.
Juzi kati Pop mwenyew alikuw akisema kuwa Jesus huweza kama mwizi au hata kama Alien google hicho utaona(sipo kidini hapa)
Hii yote inaonyesha kuwa tunaandaliwa kupokea viumbe vipya.
Sasa hapa juzi na hata leo Clouds wameonyesha jamaa mmoja ambaye amakuwa akiwatengeneza mazombi na amesem hutumia mifupa na minofu ya samaki na katengeneza wengi tu (Fatilia hii pia ujionee)
sasa kwa hayo yote na mengi mengine ina show kuwa hawa viumbe wapo wana exist bt ni ishu ya muda kuwa ruhusu wajizihirishe kwa human wa kawaida.
Nimeshindwa weka source kwa sasa but ukiweza google utaona mengi
MWENYE MORE INFO AU WAWEZA ULIZA AU CHANGIA KARIBUNI
Cc Pasco Rakim MziziMkavu
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu hawa viumbe kuwa je ni
kweli wana exists au ni just myth?
Mimi ni miongoni mwa watu ambao nimekuwa nikiziuliza kuhusu huwepo wa hawa viumbe, kabla sijaendelea mbele tujue kidgo kuwa hawa ni wakina nani.
ZOMBIE, kwa kifupi niseme kuwa huyu ni living dead, ambaye hana hisia kama za binadamu wa kawaida, mfano maumivu, kuchoka n.k
ni mzoga unaoishi lakini unahitaji la kufeed on flesh mara nying ni human kulingana na movie zao(hapa sijaonglea bado kuhusu utafit niliofanya)
VAMPIRE, huyu ni kama binadamu but ana vitu extra kama ability ya ku move wapo faster stronger na wanauwezo kuishi mda mrefu bila kuzeeka, time yao ipo tofauti kidgo na binadamu. Hawa wana feed on blood n mara nying hupenda human blood
WOLVES, hii ni jamii ingine pia ambayo ni binadamu huwa na.tabia za wolves wale porin , wakat wana transform hutoa kucha, huwa na hasira, fasta na strong. Wanatabia kama mbwa
Sasa turudi kwenye mada ukweli kuwahusu. Ukiangalia movie zote utakuta wote huonyesha tabia zinazofanan kuwahusu, swali je hizi tabia wamezicreat hao movie maker au wamezitoa sehemu after kuwa study. Kuna ushirikiano ambao hufanyika kati ya wasanii wa industry zote pamoja na super existance power, hupewa maagizo yaki mision ya kureveal taratibu huwepo wao na hao viumbe
Mfano Miungu kama Zeus etc
Kuna documentary moja nilitazam kuwa kuna watu walion wolf coven, walion wolves na kwenda kulipot bt serikali ikawa inataka kufunika hichi kitu, walipimwa akili wakaonenkan wapo sawa, wakaja Fbi na lie detectors wanawafunga na kuanza kuwahoji bt walionekana wakisema kweli. But ishu haikwenda public
Kuna kipind UFOS wameonekan mara kadhaa marekani bt ishu ikawa ni confidential. Adolf hilter ndo alikuwa mtu wa mwanzo mwanzo kushirikiana na hao aliens na hii ipo waz ukifatilia, hata baada ya kushndwa vita wale mataalamu wake walienda USA na wakawekwa wakuu wa vitengo flan flan after miaka mingi ikiwemo yule mkuu wa NSA aliwahi kukili kuwa wanachukua idea na.ujuiz kutoka katika aliens na viumbe wengine.
Juzi kati Pop mwenyew alikuw akisema kuwa Jesus huweza kama mwizi au hata kama Alien google hicho utaona(sipo kidini hapa)
Hii yote inaonyesha kuwa tunaandaliwa kupokea viumbe vipya.
Sasa hapa juzi na hata leo Clouds wameonyesha jamaa mmoja ambaye amakuwa akiwatengeneza mazombi na amesem hutumia mifupa na minofu ya samaki na katengeneza wengi tu (Fatilia hii pia ujionee)
sasa kwa hayo yote na mengi mengine ina show kuwa hawa viumbe wapo wana exist bt ni ishu ya muda kuwa ruhusu wajizihirishe kwa human wa kawaida.
Nimeshindwa weka source kwa sasa but ukiweza google utaona mengi
MWENYE MORE INFO AU WAWEZA ULIZA AU CHANGIA KARIBUNI
Cc Pasco Rakim MziziMkavu
Last edited by a moderator: