FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Wengi wanahamu ya kupanda Dreamliner. ATCL tunaomba mtenge siti mbili tu kwa week watu waweze jishindia bahati nasibu ya kupanda bure go and return, itapendeza sana.
Waheshimiwa wabunge, wapelekeni jijini Dar japo wapiga kura wenu kumi tu. Mara mbili kwa mwaka wakaone bahari,nakumbuka nilikuwa naona aibu sana angali tukiwa wadogo kama hujafika Dar, na nilipofika nilishangaa sana hasa bahari na namna bichi wanavyovaa, ilipendeza sana.
Watu ambao hawajafika Dar na kuiona bahari na meli kubwa wanaumia sana kimbilio ni kwenu waheshimiwa wabunge.
Waheshimiwa wabunge, wapelekeni jijini Dar japo wapiga kura wenu kumi tu. Mara mbili kwa mwaka wakaone bahari,nakumbuka nilikuwa naona aibu sana angali tukiwa wadogo kama hujafika Dar, na nilipofika nilishangaa sana hasa bahari na namna bichi wanavyovaa, ilipendeza sana.
Watu ambao hawajafika Dar na kuiona bahari na meli kubwa wanaumia sana kimbilio ni kwenu waheshimiwa wabunge.