Ni nini chanzo cha GIZA kwenye universe.

Ni nini chanzo cha GIZA kwenye universe.

stardust JK

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2018
Posts
2,998
Reaction score
4,256
Wakuu sote tunafahamu kuwa giza hutokea pale mwanga unapotoweka..
Tumeona kuwa vyanzo vya mwanga ni kama vile nyota, umeme na kadhalika.

But CHANZO HALISI cha giza ni nini?(source of darkness).
na Linatokea/linazalishwa wapi kwenye hii Universe?

Im sorry for this sound like a strange question..
Wajuzi msaada tafadhali.
7f90a68297b89346bb9450441d32d2c5.jpg
 
Ktk biblia imeandikwa Mungu aliumba mwanga lakini si Giza ina maana Giza lilikuwepo au ? Niliwai kujiuliza hili swali lakini inaonekana ktk biblia kuwa pasipo mwanga kuna giza
 
Wakuu sote tunafahamu kuwa giza hutokea pale mwanga unapotoweka..
Tumeona kuwa vyanzo vya mwanga ni kama vile nyota, umeme na kadhalika.

But CHANZO HALISI cha giza ni nini?(source of darkness).
na Linatokea/linazalishwa wapi kwenye hii Universe?

Im sorry for this sound like a strange question..
Wajuzi msaada tafadhali.
7f90a68297b89346bb9450441d32d2c5.jpg


Hakuna mtu yoyote anayejua chochote Dunia hii!
 
Mkuu fafanua kidogo. Hakuna kitu kinacholitengeneza giza kama mwanga unavyotengenezwa?
Vipi kuhusu speed yake(giza)
nafikiri mwanga hauna kasi maana giza linaexist kila sehemu tayari lipo.. ila tunaweza kusema(japo si rasmi sana) giza lina kasi kama mwanga maana kadri mwanga unavyotoweka kwa point hiyohiyo basi na giza hutokea hapohapo!.. lkn still giza lipo kila sehemu.. ndio maana binafsi huwa nadifine giza kuwa is the natural space color!.
 
Kijiografia giza husababishwa na dunia kujizungusha kwenye muhimili wake(Earth's rotation in its axis) . Sasa kadri dunia inavyojizungusha ndivyo pande za dunia zinavyopata kimvuli cha pande nyingine . Kwa hiyo giza ni kimvuli cha pande moja ya dunia ..
 
Kijiografia giza husababishwa na dunia kujizungusha kwenye muhimili wake(Earth's rotation in its axis) . Sasa kadri dunia inavyojizungusha ndivyo pande za dunia zinavyopata kimvuli cha pande nyingine . Kwa hiyo giza ni kimvuli cha pande moja ya dunia ..
sawa,lkn giza linatokana na nini au linazalishwa na nn licha ya dunia kujizungusha ktk mhimili wake
 
Wakuu sote tunafahamu kuwa giza hutokea pale mwanga unapotoweka..
Tumeona kuwa vyanzo vya mwanga ni kama vile nyota, umeme na kadhalika.

But CHANZO HALISI cha giza ni nini?(source of darkness).
na Linatokea/linazalishwa wapi kwenye hii Universe?

Im sorry for this sound like a strange question..
Wajuzi msaada tafadhali.
7f90a68297b89346bb9450441d32d2c5.jpg
Kwa uelewa wangu wa mdogo ni kuwa.
Kuna nadharia (hypothesis): kuwa Giza ni nguvu (energy) kama ilivyomwanga, na inasafiri kwa kasi kuliko mwanga .
Na kwasababu ulimwengu (universe) unatanuka (expanding), hivyo basi giza huchukua nafasi ya ulimwengu uliotanuka.
Nadharia hii tunaitumia katika fizikia ya vitu vya angani, kueleza nadharia nyingine kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka.
Sasa tukija kwenye swali lako la msingi ya kuwa nini chanzo cha giza katika ulimwengu?
Kwanza ni lazima tujue kuwa nadharia moja haitoshi kuelezea nadharia nyingine kwa usahihihi mojakwamoja kukumbuka M-theory (Hawking na Mlodinow, 2010),
Hivyo basi tunaweza kutaja moja kama ile nadharia ya oscillating model (Eisten 1930) kuwa nguvu za ulimwengu hufuqtata mzunguko usio na mwisho, na unaojitunza wenyewe (infinite, self-sustaining cycle).
Kwa hiyo tukichukulia mwanga kama nguvu, basi pasi shaka chazo cha giza inaonekana ni kile kile, kwa kuwa nguvu huzinguka katika hali tofauti.
(Naomba kuwasilisha.)
 
Back
Top Bottom