Usije sema labda inaweza kua pyramid mimi sizani
Mimi hata siamini kua hii inaweza kua ghali sana!
Wengi mnaweza sema pyramid ilikua ghali sini kweli?
Labda kwa kuangalia nikwa kiasi gani...
Is Tanzania's intelligence apparatus sophisticated enough to have been using modern wiretapping (apart from bugging telephone lines at the Exchanges)?
If they use some form of wiretapping, do...
Wanasayansi wamegundua sayari ambayo inakaribia sana Dunia kwa mazingira na ukubwa wake na ambayo inazunguka nyota ijulikanayo kama Proxima Centauri, iliyo na mfumo unaokaribia zaidi mfumo wetu wa...
Habari wanajukwaa?
Naona kichwa cha habari kitakuwa kimekuvutia na wewe pia.
Hata mimi natamani kufahamu ukweli uliojificha juu ya viumbe hivi kutoka sayari nyingine. Nilishapataga kusikia sana...
Biblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu.
Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe.
Yataibuka Magonjwa ya kuenea
Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri
watu...
PESA NI NINI:
Pesa inatambulika kama nyenzo ya kukuwezwesha kupata kitu au huduma, lakini kwa watu wengine huchukuliwa katika tafsiri tofauti,
Kwa wengine pesa kwao huwa ni ulinzi na furaha na...
1.JOHN F KENNEDY (JFK)
Alikuwa raisi wa 35 wa marekani aliuwa November 22 mwaka 1963 akiwa raisi wa nne kuuawa kwa kupigwa risasi katika historia ya marekani. Akiwa na mkewe, kwenye gari la wazi...
KWANINI AFRICA NI BARA MASIKINI?
Heshima yenu wakubwa na wadogo.
Bara la Afrika ni bara la pili kwa ukubwa baada ya Asia, ni bara lenye kila aina ya utajiri na rasilimali za kutosha.
La...
Amani iwe nanyi!
...
Ivi kuna Mahusiano gani kati ya nyota na matendo ya wanadamu?
...
Kilichonifanya niulize hilo swali niki apa chini:
Kipindi niko mdogo (miaka 12) nilipenda kusikiliza...
Habari za kazi wakuu!?? Ni matumaini yangu yu wazima wa afya kabisa na ninaomba nitoe pole kwa ndugu zetu waaliopo hosipitali kwa muda huu,
Naomba turudi kwenye swali hapo juu...
Salute comrades,
Wakuu, naomba kufahamishwa, Mbinguni anapoishi Mungu ni wapi?
Ukisoma Biblia, Katekisimu etc zinasema Mungu yupo Mbinguni na mahali pote duniani. Je Mbinguni ni wapi?
Ni kule...
Wakubwa zangu kumekuwa na mijadala miwili kinzani kuhusu umbo la dunia yetu nzuri.
Wapo ambao wamethibitisha kwamba dunia ni ya mviringo kama tulivyosoma mashuleni na sababu za kutuambia hivyo...
VIETNAM WAR UNSUNG HEROES: Kutana na Komando wa Marekani aliyenusurika kuzikwa akiwa hai. Alimtemea daktari mate usoni akiwa ndani ya begi la kubebea maiti.
Roy Benavidez pia anajulikana kwa...
Vitazame vitu vyote: hai na visivyo hai, muundo wao na jinsi yao ni ya kustajabia.
Ni kwa namna gani vitu hivi vimepangwa katika mpangilio huo, ni jambo pia la kustajabia.
Hakuna kitu kilicho...
Hivi ndivyo mdomo wake ulivyo kwa ndani
Picha na buzzfeed
Watu wengi wamekua wakijiuliza sana kuusu mdomo wake unavyotisha
Ukiingia kwenye account ya ig kwa brykim official kwa kutumia...
Hello, habari zenu wakuu. Nahisi muko wazima wa afya, leo nimekuja na hii, unahisi dunia itakuwaje kama sisi sote tukilala kwa muda wa miaka 1000. Baada ya miaka hiyo 1000 tutakapoamka dunia...
Tuanze na HALI YA KWELI na HALI YS UONGO. Kuijua hali ya kweli lazima tupime na hali ya uwongo. Uongo ni hali isiyo na msimamo hubarika badirika kutokana mahali na muda unavyopita. Mfano; Rangi ya...
Habarini wana Intelijenisia...
Katika thread hii nitajaribu kufupisha maana ina mambo mengi sana. Tutajuzana zaidi pindi tutapojadili kwa pamoja. Moja kwa moja nataka nilete hii mada tupate...
Kumekuwepo maswali kadha wa kadha toka kwa wadau wakitaka kujua maana ya UTAKATISHAJI FEDHA (Money laundering), wengine huita "PESA/FEDHA CHAFU" na tumeona ni vema ikaeleweka kwa lugha rahisi kwa...