complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 379
- 1,208
Kabla ya kuwapo UKIMWI magonjwa yaliokua yanasumbua ni Degedege Pepopunda na mengine ambayo hivi sasa yote yana Chanjo kama Polio.
Ukimwi ulivyoingia miaka ya 80 ndio ulikua ugonjwa tishio na jamii zetu nyingi hakukua na magonjwa mengine hata Malaria haikuepo sehem zote Tanzania.
Hivi sasa kuna magonjwa mengi yanakuja hayajulikani yametoka wapi au nani ameyaleta. UTI, Typhoid, AMOEBA sijui blood infection na mengine ambayo yamekua sugu kufanya serikali itumie pesa nyingi kuagiza dawa kutoka nje kutibu hayo magaonjwa
Swali langu ni je haya magonjwa huletwa makusudi ili hao wanaotengeneza dawa wapate biashara ya kuuza dawa?
Je, mipaka yetu hatuna maabara na ulinzi wa kisasa kuzuia magonjwa mengine mapya yasiletwe kwetu?
Kama Malaria miaka yote hua tunaagiza dawa kwanini saiv serikali isiweke nguvu kubwa kwenye kupuliza dawa na kuua mazalia ya mbu kama walivofanya Morocco leo hii Malaria ni historia kwao.
Pia tukija kwa wakulima kuna magonjwa ya mimea kama vitunguu kwa mtu alielima Igawa atakua anajua ulikua unaotesha vitunguu mpaka unauza gharama yako ni mbolea na maji ya kunyeshea. Mwaka 2016/7 kama sijakosea kuna ugonjwa ukaja unashambulia kitunguu hakikui hivo unahitaji kuingia gharama nyingine ya Dawa.
Ndugu zangu haya magonjwa magonjwa huwa yanaletwa makusudi ili watu wafanye biashara au ni mabadiliko ya binadamu na tabia nchi?
Ukimwi ulivyoingia miaka ya 80 ndio ulikua ugonjwa tishio na jamii zetu nyingi hakukua na magonjwa mengine hata Malaria haikuepo sehem zote Tanzania.
Hivi sasa kuna magonjwa mengi yanakuja hayajulikani yametoka wapi au nani ameyaleta. UTI, Typhoid, AMOEBA sijui blood infection na mengine ambayo yamekua sugu kufanya serikali itumie pesa nyingi kuagiza dawa kutoka nje kutibu hayo magaonjwa
Swali langu ni je haya magonjwa huletwa makusudi ili hao wanaotengeneza dawa wapate biashara ya kuuza dawa?
Je, mipaka yetu hatuna maabara na ulinzi wa kisasa kuzuia magonjwa mengine mapya yasiletwe kwetu?
Kama Malaria miaka yote hua tunaagiza dawa kwanini saiv serikali isiweke nguvu kubwa kwenye kupuliza dawa na kuua mazalia ya mbu kama walivofanya Morocco leo hii Malaria ni historia kwao.
Pia tukija kwa wakulima kuna magonjwa ya mimea kama vitunguu kwa mtu alielima Igawa atakua anajua ulikua unaotesha vitunguu mpaka unauza gharama yako ni mbolea na maji ya kunyeshea. Mwaka 2016/7 kama sijakosea kuna ugonjwa ukaja unashambulia kitunguu hakikui hivo unahitaji kuingia gharama nyingine ya Dawa.
Ndugu zangu haya magonjwa magonjwa huwa yanaletwa makusudi ili watu wafanye biashara au ni mabadiliko ya binadamu na tabia nchi?