bad spenko
Senior Member
- Jun 22, 2020
- 125
- 137
Wakuu najaribu tu kuwaza kama heading inavyojieleza, tunalala na tunaamka viumbe wote hai lazima walale tena usingizi wa kutojitambua na pasipo kujua chochote kinachoendelea juu yao.
Kuna mahusiano yoyote juu ya usingizi na kifo?
Kuna mahusiano yoyote juu ya usingizi na kifo?