Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

1.��️ Uvutaji wa sigara 2.��️ Unywaji wa pombe 3.��️ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine kama vile Kahawa,Chocolate, Soda nk 4.��️ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula...
1 Reactions
2 Replies
87 Views
Nimekuwa nikihudhuria Muhimbili kwa takribani mwezi sasa. Ukweli wagonjwa wanachukua muda mrefu sana kumsubiria Daktari afike. Madaktari wengi wanaanza kusikiliza wagonjwa kuanzia SAA TANO...
6 Reactions
11 Replies
186 Views
Leo nimepigiwa simu ya shukrani, mama wa binti akilia machozi ya furaha, binti yake kapata mtoto. Mwaka 2024 mwishoni nilienda kijijini nilikozaliwa, nikakutana na binti aliyemaliza degree na...
2 Reactions
3 Replies
134 Views
. Epuka kufanya ngono hadi matibabu yakamilike na daktari athibitishe kuwa ni salama, ili kuzuia kuambukiza wengine au kuambukizwa tena. Hii watu wengi hupuuzia lakini imekuwa ikifanya watu wengi...
2 Reactions
2 Replies
160 Views
Kuna kipindi tulitangaziwa ugunduzi wa dawa ya Tezi uliofanywa na wanafunzi wa St John University Dodoma. Serkali nayo ikaipigia debe kuwa dawa hiyo ni suluhisho la maradhi hayo maana haiitaji...
1 Reactions
9 Replies
174 Views
Wakuu njiani gani nzuri ya kutumia ili kuondoa kitambi. Kwa kweli naibika , Tumbo kubwa nakosa Confedence. Nimekimbiwa hadi na shemeji yenu 😎😎😎.
6 Reactions
63 Replies
883 Views
Ni kawaida kwa wanaume wengi kushuhudia uume “kulala” au kulegea mara tu baada ya kumaliza tendo la kwanza la ngono (kufika kileleni / kumwaga shahawa). Hali hii husababishwa na mabadiliko ya...
5 Reactions
52 Replies
7K Views
Salam ndugu zangu wanaJF, JF imekuwa na msaada mkubwa sana kwangu. Leo nimekuja na kuomba msaada, je mwanamme kushindwa kutungisha mimba tiba yake ni Nini? Vipimo vya hospital vinaonesha sperm...
1 Reactions
0 Replies
83 Views
Hali zenu vip wakuu? Nauliza wapi naweza kupata huduma (iwe hosptali au kienyeji) ya kuzuia hamu na hisia ya tendo la ndoa angalau kwa miaka mitatu? Mwenzenu, hawa viumbe wananisumbua. Yaani...
4 Reactions
31 Replies
470 Views
Habari viongozi, mimi nina kijana ambae ni rafiki yangu, ambae ikitokea kaota ndoto nyevu basi humletea maumivu wakati anachafua bukta yake, kwahiyo nilikua naomba msaada wa kuweza kukabili hali...
3 Reactions
34 Replies
392 Views
Ni yapi matibabu sahihi ya Tezi dume?
0 Reactions
3 Replies
92 Views
Kuwashwa (Itching) ni hali ya kuhisi mchonyoto unaokera kwenye ngozi unaokufanya utamani kukuna sehemu iliyoathirika unaweza Kuwashwa sehemu fulani ya mwili pekee au mwili mzima KUWASHWA...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Habari Wadau Naomba Tujadili suala jambo hili kama title inavyojieleza Kwa wanaume wengi ,mtu akisimulia KUPOTEZA pesa kwa kamari au kupata stress kwa namna fulani. Mara nyingi wengi husema...
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Habarini wakuu Nahitaji msaada wa kiafya siku hizi, naweza imaliza siku bila kuingia mwakani kwa maana ya haja kubwa. Je, hilo ni tatizo au ni kawaida
7 Reactions
29 Replies
398 Views
Zahanati ya Kata ya Itundu, Wilaya ya Urambo katika Mkoa wa Tabora, Mganga Mfawidhi anakuja kazini anapojisikia ni kama Mganga Mkuu wa Wilaya ameshindwa cha kufanya. Kwa wiki anaweza kuna mara...
0 Reactions
5 Replies
266 Views
Star mrembo wa Holywood alikuwa na miaka 36 tu kakauka kwa umeme, Kuanzaia mwaka 1985 hadi 1995 Ukimwi ulikupurukitsiha sana vijana lakini baada ya ARV kugunduliwa, inaonekana vijana wengi...
2 Reactions
7 Replies
251 Views
Katika wodi za uzazi, sauti za uchungu na matumaini hukutana. Wakati mwingine, dakika chache ndizo hutenganisha uhai na mauti. Ndipo upasuaji wa dharura unapokuwa tumaini la mwisho. Lakini nyuma...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
SAFARI ya uzazi, ambayo kwa familia nyingi hutarajiwa kuwa ya matumaini na furaha ya kumpokea mtoto imeanza kugubikwa na hofu, mashaka na maswali yasiyo na majibu katika baadhi ya hospitali...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Habari, Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi. How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia? I...
36 Reactions
242 Replies
4K Views
Jana nilala mchana kidogo kama dakika 20 gafla nimeamka nakuta mdomo umevimba upande wajuu uliobeba meno ya mbele! kama nimepigwa ngumi au kung’atwa na nyuki! Leo tuna hapa napoandika...
4 Reactions
17 Replies
199 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…