Habari ya asubuhi wadau.
Tafadhali nahitaji msaada wa kufahamu wapi ninapoweza kupata Daktari bingwa mzuri wa magonjwa ya wanawake (Gynaecologists) , either ana hospitali binafsi , Polyclinic au anahudumu katika hospitali binafsi au serikali. Nikipata Jina au hata mawasiliano yake nitashukuru sana.
Natanguliza shukrani
UPDATE.
Habari wadau, nashukuru kwa maoni na michango yenu, hatimaye kisa changu kimepata suluhu, baada ya kupima mimba kwa Rapid test imeonekana matokeo kuwa POSITIVE. Japo ataenda hospitali kuthibitisha rasmi.
Tafadhali nahitaji msaada wa kufahamu wapi ninapoweza kupata Daktari bingwa mzuri wa magonjwa ya wanawake (Gynaecologists) , either ana hospitali binafsi , Polyclinic au anahudumu katika hospitali binafsi au serikali. Nikipata Jina au hata mawasiliano yake nitashukuru sana.
Natanguliza shukrani
UPDATE.
Habari wadau, nashukuru kwa maoni na michango yenu, hatimaye kisa changu kimepata suluhu, baada ya kupima mimba kwa Rapid test imeonekana matokeo kuwa POSITIVE. Japo ataenda hospitali kuthibitisha rasmi.
- Dynamics
- anahitajika asubuhi dar dar es salaam habari ndugu ndugu zangu
- Replies: 34
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko