Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,310
- 10,999
Habari!?
Eeeeh bwana eeeh, nimeteseka sana aisee.
Nimesumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo kwa zaidi ya miaka 10.
Katika kipindi hicho chote nimetumia dawa nyingi sana, kuanzia dawa za hospitali mpaka dawa za asili. Dawa zote zilishindwa kunisaidia.
Hivi karibuni nilikutana na jamaa fulani eneo fulani, katika kupiga stori mbili tatu, nikamchomekea kuhusu shida yangu ya vidonda vya tumbo. Jamaa akaniambia hata yeye alishakuwaga na hiyo shida kipindi cha nyuma, lakini alishapona.
Aliniambia kuna mzee alimtibu kwa kutumia dawa za asili, bahati nzuri alikuwa na mawasiliano ya huyo mzee.
Nilimuomba jamaa mawasiliano ya huyo mzee, jamaa akanipatia.
Siku hiyohiyo nilimpigia simu huyo mzee kumuambia shida yangu. Mzee alinielekeza nyumbani kwake, akaniambia niende nikafuate dawa.
Siku inayofuata nilienda nyumbani kwa huyo mzee, akanipatia dawa pamoja na maelekezo.
Mwisho aliniambia, nikimaliza kutumia dawa, nitampigia simu kumpa mrejesho.
Hizo dawa nilitumia kwa muda wa wiki moja.
Tangu nimetumia hizo dawa mpaka leo sijawahi kusumbuliwa na vidonda vya tumbo tena!!!
Oyaaaah, nimeteseka sana aisee, vidonda vya tumbo sio poa, visikie tu kwa mwenzako.
Namba za huyo mzee hizi hapa chini.
MZEE MUARABU: 0796368846
Eeeeh bwana eeeh, nimeteseka sana aisee.
Nimesumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo kwa zaidi ya miaka 10.
Katika kipindi hicho chote nimetumia dawa nyingi sana, kuanzia dawa za hospitali mpaka dawa za asili. Dawa zote zilishindwa kunisaidia.
Hivi karibuni nilikutana na jamaa fulani eneo fulani, katika kupiga stori mbili tatu, nikamchomekea kuhusu shida yangu ya vidonda vya tumbo. Jamaa akaniambia hata yeye alishakuwaga na hiyo shida kipindi cha nyuma, lakini alishapona.
Aliniambia kuna mzee alimtibu kwa kutumia dawa za asili, bahati nzuri alikuwa na mawasiliano ya huyo mzee.
Nilimuomba jamaa mawasiliano ya huyo mzee, jamaa akanipatia.
Siku hiyohiyo nilimpigia simu huyo mzee kumuambia shida yangu. Mzee alinielekeza nyumbani kwake, akaniambia niende nikafuate dawa.
Siku inayofuata nilienda nyumbani kwa huyo mzee, akanipatia dawa pamoja na maelekezo.
Mwisho aliniambia, nikimaliza kutumia dawa, nitampigia simu kumpa mrejesho.
Hizo dawa nilitumia kwa muda wa wiki moja.
Tangu nimetumia hizo dawa mpaka leo sijawahi kusumbuliwa na vidonda vya tumbo tena!!!
Oyaaaah, nimeteseka sana aisee, vidonda vya tumbo sio poa, visikie tu kwa mwenzako.
Namba za huyo mzee hizi hapa chini.
MZEE MUARABU: 0796368846