Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Wakuu kwema? Uume wangu linawasha kwambaali kipindi nakojoa kama sijanywa maji mengi. Hii ni kawaida?
3 Reactions
16 Replies
291 Views
Ukichunguza vizuri sio kwa ubaya wala majivuno utagundua watu wanaoishi kwakutegemea ngano na bidhaa zake kama chakula wana afya nzuri ya mwili na akili tofauti na mataifa yanayotegemea mahindi na...
4 Reactions
16 Replies
241 Views
Hi ni maalumu kwa wanawake wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ya mifumo ya uzazi. Kuhusu Wanaume nilishaandika Sana hapa. Leo ninawapa mchanganyiko maalumu wa mimea tiba ambao inaweza kuponya...
3 Reactions
6 Replies
618 Views
Skip breakfast mchana kula kwa kiasi tena mchemsho mpaka kesho mchana tena Achana na sukari mafuta pombe na vyakula vya kukaanga, yote kwa yote fasting ndio mpango mzima
17 Reactions
50 Replies
736 Views
Habari zenu ndugu zangu. Mimi ni binti wa miaka 26, sijaolewa na Sina mtoto. Mwaka Jana nilisumbuliwa sana uvimbe kwenye mayai mpaka ikapelekea kufanya upasuaji nikiwa na matumaini nimepona...
6 Reactions
131 Replies
6K Views
Naomba nielewesheni pole pole bila kunigombeza kwanini ndani ya siku 4 presha yangu imebadilika hivi? Je, hapa ndo mtu anakuwa tayari ni muhanga wa presha? Sijaonana na daktari nimepima tu kujua...
2 Reactions
30 Replies
437 Views
Waungwana hamjambo? Twende kwenye mada moja kwa moja . Kwa hivi karibuni nimefanya utafiti na kugundua kuwa watu wengi sana wanasumbuliwa na changamoto ya harufu mbaya kinywani sio Wanawake au...
9 Reactions
41 Replies
719 Views
😊, kujichua (masturbation) kwa mwanaume kuna faida kadhaa kiafya na kisaikolojia, ingawa pia ina mambo ya kuzingatia. Faida zinazojulikana Kupunguza msongo wa mawazo (stress) – Wakati wa kufika...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Mara nyingi watu wenye chuki na hasira huonekana kama watu hatari je vitu ivyo ni matatizo ya akili na je nikosa kisheria za kimataifa?
2 Reactions
1 Replies
107 Views
Je ni kweli bangi,sigara hazina faida hata kidogo kwa mvutaji au kuna jambo linafichwa na kwanini dunia nzima watu hutumia ingawaje inapigwa vita?
0 Reactions
3 Replies
136 Views
Kuna kamtindo cha baadhi ya watu kubeza wenzao kuhusu ugonjwa fulani ambao umemkuba au unamsumbua kwa sababu tu ya mambo ya ku view majambo ya dunia au ushabiki fulani, ikitoka kutofautiana huko...
2 Reactions
3 Replies
130 Views
Ilianza na kasehemu kadogo kuwasha then kuanza vipele vidogo, now vimekua kama kidonda ingawa ni kasehem kadogo ka uume, haviumi sana. Kuna dokta jiran nilimuonyesha nikamwambia last j'mosi...
2 Reactions
235 Replies
105K Views
Dah! Wakuu niombeeni,nguvu zinaniishia,nahara kweli,nimenunua oral,glucose,Quenin,paracetamol najisikilizia.
6 Reactions
31 Replies
337 Views
Anonymous (0c95)
Mimi nina 24yrs nasumbuliwa na tumbo kujaa gesi, kujamba hovyo kila dakika hewa inatoka chafu sehemu ya haja kubwa, choo kigumu na hili tatizo limeanza tangu Mwaka 2022 mpaka leo 2026. Nishatumia...
0 Reactions
11 Replies
570 Views
Pia soma: ~ Mtumishi anayetuhumia kulazimisha Wafiwa kununua majeneza kwake Hospitali ya Sekou Toure asimamishwa kazi ~ Uongozi wa SEKOU TOURE Hospital uchunguze, kuna Mtumishi analazimisha...
1 Reactions
9 Replies
219 Views
Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume. Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa...
34 Reactions
261 Replies
26K Views
Mwaka 2016 nilipost thread ndefuu kuhusu madhara ya punyeto, na si Kama wengine wanavyoposti tu Bali Mimi no shuhuda rasmi wa tukio lenyewe. Kwanza sipendi kulizungumzia hili wala kuposti kwenye...
11 Reactions
153 Replies
33K Views
Ufafanuzi tafadhari, mama mkwe amekatwa ziwa kutokana ugonjwa huu hatari zaidi. Je huenda watoto wake nao wakawa na vimelea vya ugonjwa huu nianze tiba mapema?
5 Reactions
15 Replies
223 Views
Muda mfupi baada ya Mdau wa JamiiForums.com kutoa wito kwa Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Sekou Toure kufanua uchunguzi juu ya tuhuma za Mtumishi wa Mochwari hospitalini hapo kudaiwa...
0 Reactions
3 Replies
155 Views
Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure umepokea taarifa ya Mtumishi kitengo cha Mochwari anaeuza majeneza na kulazimisha wafiwa kununua kwake na tayari umeshachukua hatua za...
0 Reactions
2 Replies
194 Views
Back
Top Bottom