Ilianza na kasehemu kadogo kuwasha then kuanza vipele vidogo, now vimekua kama kidonda ingawa ni kasehem kadogo ka uume, haviumi sana. Kuna dokta jiran nilimuonyesha nikamwambia last j'mosi nilikunywa mitakelfin n 4rm j3 ndo vipele vikaanza. Akaniambia nitakua nina alegy na dawa zenye sulphur akanipa vidonge vimeandkwa cosmos. Bt bado hali iko vile vile. Naomba Ushauri jf doctor