Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Trouble sleeping? Establish a routine to promote good sleep habits. Set a bedtime and a waking time, and stick to them - even on weekends. This will help your body get used to a regular sleep...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimeitafuta sana huku ninapoishi Morogoro ila sijaipata. Najua Dar es salaam ipo ila sijui ni wapi, naomba msaada wa duka kubwa hapo Daresalam ninapoweza kupata hii dawa. Nawasilisha.
4 Reactions
32 Replies
425 Views
Wana JF, Ni njia gani isiyo na madhara ya kumfanya mtoto aache kunyonya vidole, ana miezi 7 sasa ila naona kwa kasi anayoenda nayo yaani hadi usingizini yeye yuko navyo tu... Sitamani afike umri...
10 Reactions
52 Replies
884 Views
Nimekuja hapa kupongeza, kwa kweli naishukuru Serikali ya Tanzania na Rais wetu mama Samia Suluhu. Mama yangu anaumwa Saratani ya Kizazi, alipogundulika na hilo tatizo kwakweli kwenye familia...
1 Reactions
3 Replies
143 Views
PEP (Post - Exposure Prophylaxis) ni matibabu anayopewa mtu after been exposed to HIV ili kukukinga kuwa HIV positive. Matibabu haya yanatakiwa kutolewa as soon as possible baada ya mtu kuwa...
4 Reactions
578 Replies
120K Views
Serikali imeanza rasmi utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote kwa kaya zisizo na uwezo kwa kutoa Shilingi bilioni 48.8 kwa ajili ya kuwawezesha wananchi wa makundi maalum kupata huduma za...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Watu wengi wakiona picha za “before and after” za watu walioanza kufanya mazoezi, mara nyingi hushangazwa na jambo moja, mtu anaonekana mdogo kuliko zamani. Wengine huonekana kama wamerudisha...
4 Reactions
4 Replies
413 Views
Figo hufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja katika mwili wetu. Huondoa taka katika mwili. Kuweka uzaini wa maji na madini ya elektroliti. Figo hufuatilia shinikizo la damu na pia kusaidia katika...
9 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba kujua madhara ya kumtolea mtu figo na tahadhari gan mtu anapaswa kuchukua kabla na bahati ya kumtolea mtu figo
3 Reactions
65 Replies
872 Views
Wizara ya Afya pamoja na taasisi zake imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini kupitia ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha katika utekelezaji wa miradi na huduma mbalimbali za...
0 Reactions
0 Replies
101 Views
Wakuu nimekuwa nakumbwa na changamoto ya kumwaga mbegu, kila ninapo lala usingizini. Changamoto hii ina kama miezi kadhaa, mwanzoni nili dhani ni issue normal pengine ni kutokana na issue za...
11 Reactions
107 Replies
1K Views
Ni wazi kuwa tumepata kuona kwenye vituo vyetu mbalimbali vya afya wagonjwa wa Hydrocephalus, watoto wetu wamekuwa wakipata matatizo haya kwa kiwango kikubwa. Kwa zaidi ya miaka 10 nimekuwa...
0 Reactions
2 Replies
474 Views
Zaidi usiku ndio nawashwa sana wakuu. Halafu hakuna vipele wala redness. Nisaidieni dawa maana makebo yanaungua wakuu
13 Reactions
73 Replies
1K Views
Nimekuwa nikimletea chakula apendavyo na huwa ananiagiza yeye,lakini matokeo yake unakuta hajala,ukimuuliza why haujala atakwambia nlipoikula kdg nilitapika. Leo kaniagiza chapati, mandazi na...
2 Reactions
11 Replies
398 Views
Hayo amesema Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa wakati akizindua kampeni ya Jua Namba Yako, Mei 4, 2026, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sokou - Toure, Jijini Mwanza. Pia soma: ~ Kwanini...
0 Reactions
3 Replies
220 Views
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema hayo Mei 4, 2026 alipokuwa mkoani Mwanza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya “Jua Namba Zako”. Waziri Mchengerwa amesisitiza kuwa Taifa lina uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Je, ni kweli kuwa Mwanaume akiwa anapiga Katerero anakuna kwa nje katika Kisimi na kupitisha Uume kwa nje katika Uke (pasipo kuingiza Uume ndani) sehemu za Siri za Mwanamke aliyeathirika kamwe au...
0 Reactions
4 Replies
239 Views
Habari wakuu Naomba msaada wenu watoto wangu Kila ukifika usiku wakiwa wamelala hung'ata meno hili itakua ni tatizo Gani
3 Reactions
3 Replies
154 Views
Nina mgonjwa wangu ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure (Mwanza), moja ya changamoto ambayo nimeishuhudia hapa ni kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme kukatika mara kwa...
3 Reactions
3 Replies
500 Views
Back
Top Bottom