Naharisha wakuu, niombeeni nipone haraka

Naharisha wakuu, niombeeni nipone haraka

ilikula sana nini ? .. nipe maelekezo nikupe short cut ya kujiponya bila dawa yeyote ile kama kipindu pindu wala bakteria ila.
 
Dah! Wakuu niombeeni,nguvu zinaniishia,nahara kweli,nimenunua oral,glucose,Quenin,paracetamol najisikilizia.
Chukua tangawizi CHANGANYA na kitunguu swaumu saga saga mama Kisha tumia maji moto koroga bugia BAADA ya dk 15 njoo hapa...




Ila inakuwaje mtoto kama huyu anaharisha

images (43).jpeg
 
Back
Top Bottom