Je, ugonjwa wa saratani/kansa hurithishwa?

Je, ugonjwa wa saratani/kansa hurithishwa?

Kutoka chuo cha kijiweni kwetu

Kuna cancer za kurithi kama genetic/hereditary cancer.

Mara nyingi hutokana na jeni ya kurithi kutoka kwa wazazi.

Karibia 80-90% siyo za kurithi mkuu hizi hutokana na life style zetu au kigalatia quite mtindo wa maisha mdano
Kula fegi
Matumizi ya vipodozi
Mionzi nk.
 
Kila binadamu hufa kwa saratani.
Tatizo ni lini itaanza kutokea au kama kuna ugonjwa mwingine. lakini mwili ni nyama na mifupa na zinaoza taratibu na kuharibika kadri muda unavyoenda.
 
Kila binadamu hufa kwa saratani.
Tatizo ni lini itaanza kutokea au kama kuna ugonjwa mwingine. lakini mwili ni nyama na mifupa na zinaoza taratibu na kuharibika kadri muda unavyoenda.
Hata nikiuwawa na makombora ya Iran au USA bado nitakuwa nimekufa kwa saratani?
 
Hata nikiuwawa na makombora ya Iran au USA bado nitakuwa nimekufa kwa saratani?
Ni hivi,
Binadamau uzeeni kabisa, kama ame-survive magonjwa ya moyo, kisukari, ajali, magonjwa ya maambukizi n.k
Basi kifo chake kitasababishwa na kansa. yaani organs zitaanza kuwa cancerous na kufail.
hatua hii mara nyingi haifikiwi kwa sababu magonjwa mengine yatakuwahi, au kansa itakayotokea utotoni, ujanani au kwenye umri wa utu uzima.
 
Duh 🙄
Kama hujuwi jibu si ungenyamaza tu..
Ni mchango ambao mimi pia nimesikia na nimesoma articles kutoka kwa wataalam. Ni mawazo ambayo wanasayansi wameyaunganisha na kuja na theory.
Kwa hiyo mtu akikuuliza kama saratani ni ugonjwa wa kurithi, basi unaweza kukataa na kumpa theory hii.

Source: Hakem R. DNA-damage repair; the good, the bad, and the ugly. EMBO J. 2008 Feb 20;27(4):589-605. doi: 10.1038/emboj.2008.15. PMID: 18285820; PMCID: PMC2262034.
 
Ni Mawili:
Signal au Protein mbaya.
Fuatilia mtiririko inavyopatikana Protein kupingana na maandiko yao.

Wananendelea kutibu dalili wakiita ugonjwa
But hata mionzi huuwa had seli nzima but haiuwi tatizo.
 
Ni Mawili:
Signal au Protein mbaya.
Fuatilia mtiririko inavyopatikana Protein kupingana na maandiko yao.

Wananendelea kutibu dalili wakiita ugonjwa
But hata mionzi huuwa had seli nzima but haiuwi tatizo.
kwa hiyo huenda cancer haitibiki?
 
Kitabibu wanasema Cancer mtu anaweza akarithi, hii imejihidhirisha kwa kiwango kikubwa.

Mwili wa mwanadamu unaundwa na organs, organs zinaundwa na tissue, tissue zinaundwa na seli na ndani ya seli (basic unit of life) kuna genes yaani vinasaba.

Mtoto anapozaliwa huchukua vinasaba kutoka kwa baba na kwa mama pia. So mtu anaweza akabeba vinasaba kwenye kansa toka akiwa mdogo. Ila kubwa zaidi chanzo cha Cancer ni life style ya mtu na hasahasa pia matumizi ya ARV.

GOOD NEWS ni kwamba, kuna baadhi ya Cancer mtu anaweza akapokea chanjo mapema zaidi na chanjo ikawa na msaada mkubwa, kuna chanjo ya kansa ya kizazi kwa mwanamke asiyezidi miaka 28 nadhani. So better kuwahi chanjo ikiwezekana.
 
Ni mchango ambao mimi pia nimesikia na nimesoma articles kutoka kwa wataalam. Ni mawazo ambayo wanasayansi wameyaunganisha na kuja na theory.
Kwa hiyo mtu akikuuliza kama saratani ni ugonjwa wa kurithi, basi unaweza kukataa na kumpa theory hii.

Source: Hakem R. DNA-damage repair; the good, the bad, and the ugly. EMBO J. 2008 Feb 20;27(4):589-605. doi: 10.1038/emboj.2008.15. PMID: 18285820; PMCID: PMC2262034.

Hii naikataa kivyanbu na kwa yale Nimesikia na kuona watu wanapitia..
Maana wengi najua haswa kansa za kama kadhalika wengi wanatakiwa kujua mapema wawe wanacheki kwani inatembea kwa familia... Na ndio kuepuka ETC ikiwezekana

Nimesahau mengine sijajikumbusha
 
Hii naikataa kivyanbu na kwa yale Nimesikia na kuona watu wanapitia..
Maana wengi najua haswa kansa za kama kadhalika wengi wanatakiwa kujua mapema wawe wanacheki kwani inatembea kwa familia... Na ndio kuepuka ETC ikiwezekana

Nimesahau mengine sijajikumbusha
Daktari atakuuliza historia ya kansa katika familia yako. Ukijibu ndiyo, atakuuliza mwanafamilia alipata akiwa na umri gani, ukijibu 80s au 90s au hata late 70s. daktari ataihusisha na old age.
Hata magonjwa ya moyo yanaenda na familia, lakini tabia zinachangia kwa kiasi kikubwa. Kwa hiyo theory ya deterioration ni strong na imethibitishwa.
 
Daktari atakuuliza historia ya kansa katika familia yako. Ukijibu ndiyo, atakuuliza mwanafamilia alipata akiwa na umri gani, ukijibu 80s au 90s au hata late 70s. daktari ataihusisha na old age.
Hata magonjwa ya moyo yanaenda na familia, lakini tabia zinachangia kwa kiasi kikubwa. Kwa hiyo theory ya deterioration ni strong na imethibitishwa.

Miaka hiyo tu kwa familia miaka hii mfano au?
 
Back
Top Bottom