Afya ya mama mjamzito

Afya ya mama mjamzito

allyzaharani066

New Member
Joined
Jun 13, 2026
Posts
2
Reaction score
0
Je, ni kawaida kwa mwanamke mwenye ujauzito kuwa anatapika frequently kiasi kwamba hakuna chochote anachoweza kula iwe ni maji ama chakula ni lazima atapike?

NI ujauzito wake wa kwanza.📌
dawa zote alizopewa siku ya kuanza clinic hazimezwi sababu ya kutapika.
 
Back
Top Bottom