International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Majivuno,kiburi,zarau na ubabe vinafanya ata wazungu wenzie wamuone kama mgaigai asietabilika wala kuaminika
0 Reactions
5 Replies
156 Views
Mashambulizi ya helikopta ya kijeshi yanaendelea katika mji mkuu kufuatia msururu wa mashambulizi ya alfajiri yaliyolenga viongozi wa karibu wa utawala wa kijeshi (junta). Mapigano makali na...
0 Reactions
1 Replies
218 Views
Anaitwa Cole Allen ni Mwalimu na Dini yake MKIRISTO . 10 minutes ago White House dinner shooting suspect was California teacher - CBS News The man who opened fire outside the White House...
1 Reactions
19 Replies
598 Views
Viongozi wa chama Cha upinzani Taiwan walienda kumuona rais wa china na kufanya nae mazungumzo katikati ya mwenzi huu wa aprili 2026. Kushuka Kwa ushawishi wa Marekani ndio anguko lenyewe. Watu...
7 Reactions
13 Replies
540 Views
‼️ MPYA: Trump afuta mazungumzo yaliyopangwa ya Islamabad na Iran, akisema muda unapotea safarini na kutaja "machafuko makubwa ya ndani" ndani ya uongozi wa Iran. "Ikiwa wanataka kuzungumza...
2 Reactions
25 Replies
536 Views
Iran dhidi ya Israel kabla hujasoma maelezo angalia ramani uone ukubwa wa Iran then ulinganishe na nchi Takatifu ya Israel!! Mnamo 1976, Pato la Taifa la Iran lilikuwa dola bilioni 76 na la...
3 Reactions
27 Replies
459 Views
Wanaukumbi. Chombo cha habari cha Iran Tasnim kinaripoti kwamba Iran haijawahi kuomba mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani, ikipinga moja kwa moja madai yaliyotolewa na katibu wa habari wa Ikulu...
2 Reactions
20 Replies
333 Views
Baada ya boat za Iran kuonekana zinateka meli na zingine kuonekana kutega mabomu kwenye Mlango bahari wa Hormuz, Rais wa Marekani Donald Trump ameliagiza jeshi la majini na la anga kuzizamisha...
2 Reactions
30 Replies
740 Views
Sasa rasmi Trump amesema Iran imeipa Marekani njia salama ya kupitisha meli kadhaa za mafuta kupitia Hormuz — maafisa waambia ToI Meli za mafuta na meli za mizigo zimejipanga katika Mlango wa...
4 Reactions
121 Replies
3K Views
Shambulio lililolengwa na Israeli lilipiga kituo cha polisi cha Hamas huko Sheikh Radwan, kaskazini mwa Gaza. Angalau magaidi 2 waliuawa na wengine 3 walijeruhiwa vibaya kwa kufumuliwa makalio yao...
0 Reactions
1 Replies
140 Views
Wadau, hali ni yeye muda wowote vita inaanza tena🛡️ MULTIPLE COUNTRIES URGE CITIZENS TO LEAVE IRAN; U.S. DEPLOYS THREE AIRCRAFT CARRIERS AND REGIONAL DIPLOMACY INTENSIFIES ‼️ GLOBAL EVACUATION...
1 Reactions
1 Replies
228 Views
Mkuu wa IEA Apendekeza Bomba Jipya la Mafuta Kupita Hormuz Mkurugenzi Mtendaji wa IEA Fatih Birol amependekeza kujengwa kwa bomba jipya kutoka mashamba ya mafuta ya Basra nchini Iraq hadi kituo...
3 Reactions
35 Replies
868 Views
Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu: Niliwaahidi kwamba tutabadilisha sura ya Mashariki ya Kati - na ndivyo tunavyofanya. Kwanza kabisa, nchini Iran: Nilikuwa na mazungumzo mazuri na Rais...
1 Reactions
0 Replies
173 Views
Netanyahu afichua kwamba alikuwa ametibiwa saratani ya tezi dume; daktari anasema uvimbe ulipatikana 'miezi michache iliyopita,' Waziri Mkuu alipata tiba ya mionzi miezi 2.5 iliyopita, na ugonjwa...
2 Reactions
1 Replies
203 Views
Kuna taarifa zinasikika kuhusu Iran kwamba wamewapa muda marekani kuondoka hapo walipoweka wao kizuizi la sivyo wataamua kujenga ukuta wa zege kabisa ili iwe kazi kubwa kuufungua hata kama...
4 Reactions
9 Replies
353 Views
Tazama jinsi Misri walivyojenga kuta zenye matabaka saba na kuweka walinzi wenye bunduki ili kuwazuia wasiiingie
1 Reactions
2 Replies
257 Views
Wanaukumbi. Hivi karibuni tutajibu wizi wa kijeshi wa baharini unaofanywa na Marekani Marekani, kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano na kushiriki katika uharamia wa baharini, ilifyatua...
1 Reactions
209 Replies
2K Views
Ni kipi haswa ulichosimamia😁😁 muuaji ayatollah anaeua watu wake kwa ajili ya madaraka au watu wa iran ambao kiasili ndio wenye nchi? Hakuna unajua wewe zaidi ya ushabiki, unashibikia IRGC kwa...
0 Reactions
2 Replies
117 Views
Matokeo na Hitimisho la Uchunguzi Kuhusu Mwenendo wa Askari wa IDF Aliyeharibu Alama ya Kikristo Kusini mwa Lebanon Uchunguzi uligundua kuwa wakati wa shughuli za IDF katika eneo la kijiji cha...
2 Reactions
49 Replies
741 Views
Back
Top Bottom