Israel dhidi ya Iran

Israel dhidi ya Iran

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
8,349
Reaction score
7,151
Iran dhidi ya Israel kabla hujasoma maelezo angalia ramani uone ukubwa wa Iran then ulinganishe na nchi Takatifu ya Israel!!

Mnamo 1976, Pato la Taifa la Iran lilikuwa dola bilioni 76 na la Israeli lilikuwa dola bilioni 16 — uchumi wa Iran ulikuwa karibu mara 5 zaidi.

Mnamo 2026, Pato la Taifa la Israeli lilikuwa takriban dola bilioni 700, huku la Iran likiwa karibu dola bilioni 300. Uchumi wa Israeli ni mkubwa zaidi ya mara mbili licha ya Wairani milioni 90 ikilinganishwa na Waisraeli milioni 10 pekee.

IMG_20260423_185546_862.jpg
 
Kwahio unajifanya hujui Kama mmoja anavikwazo kuanzia 79 mwingine ni omba omba kila kitu anawekewa mezani?

Na Sasa Mojtaba kashasema either vikwazo vyote viondolewe au kuzinesa mpaka mkubwa ajulikane nani
 
Kwahio unajifanya hujui Kama mmoja anavikwazo kuanzia 79 mwingine ni omba omba kila kitu anawekewa mezani?

Na Sasa Mojtaba kashasema either vikwazo vyote viondolewe au kuzinesa mpaka mkubwa ajulikane nani
Vikwazo vinaingiaje hapo?
Majitaka taka mwenyewe anapumulia machine!!
 
Kwahio unajifanya hujui Kama mmoja anavikwazo kuanzia 79 mwingine ni omba omba kila kitu anawekewa mezani?

Na Sasa Mojtaba kashasema either vikwazo vyote viondolewe au kuzinesa mpaka mkubwa ajulikane nani
Kama kawaida yenu endeleeni kumdanganyeni na huyu
 
Vikwazo vinaingiaje hapo?
Majitaka taka mwenyewe anapumulia machine!!
Hivi wewe unaakili nani ananunua bidhaa za Iran? Kwa kumuogopa US? Mbona Iran Katia kikwazo kimoja TU Cha kufunga Hormuz dunia nzima hisa na uchumi hoi? Hujui kua hakuna nchi inayofanya biashara na Iran zaidi ya nchi za kibabe Kama urusi na china na Cuba?
 
By the way hawa wachambuzi wanasema no more bases in middle east kazi ya muajemii.

🐦🤔In a report, CBS News confirms that U.S. military bases in the Middle East have suffered "far greater damage" from Iranian attacks than is publicly known.

The bases are said to have been largely destroyed, and it is likely that repairing them will cost billions of dollars.

Notably, the U.S. bases were even attacked by Iranian F-5 fighter jets—despite Trump's claims that the Iranian Air Force had been "completely wiped out."

This represents the third confirmed use of the Iranian Air Force against U.S. bases during the war. Earlier, an attack by two Iranian Su-24 jets resulted in the deaths of 6 Americans in Kuwait, before they were eventually shot down while approaching the coast of Doha, Qatar.
 
Hivi wewe unaakili nani ananunua bidhaa za Iran? Kwa kumuogopa US? Mbona Iran Katia kikwazo kimoja TU Cha kufunga Hormuz dunia nzima hisa na uchumi hoi? Hujui kua hakuna nchi inayofanya biashara na Iran zaidi ya nchi za kibabe Kama urusi na china na Cuba?
Kwa hiyo!!!!!
 
Kwa hiyo!!!!!
Ujinga ni wako unasemaje Mazayuni yana uchumi mkubwa dhidi ya Iran wakati yenyewe ndio yanachochea Iran izidi kufirisiwa? Hakuna taifa la kishenzi dunian mashetani ambayo dunia haitakuja kupata Raha midhali yanaishi dunian
 
By the way hawa wachambuzi wanasema no more bases in middle east kazi ya muajemii.

🐦🤔In a report, CBS News confirms that U.S. military bases in the Middle East have suffered "far greater damage" from Iranian attacks than is publicly known.

The bases are said to have been largely destroyed, and it is likely that repairing them will cost billions of dollars.

Notably, the U.S. bases were even attacked by Iranian F-5 fighter jets—despite Trump's claims that the Iranian Air Force had been "completely wiped out."

This represents the third confirmed use of the Iranian Air Force against U.S. bases during the war. Earlier, an attack by two Iranian Su-24 jets resulted in the deaths of 6 Americans in Kuwait, before they were eventually shot down while approaching the coast of Doha,
Kambi za Marekani huko Mashariki ya kati zilifungwa na vifaa mhimu za kijeshi kuondolewa askari waliobaki huko ni walinzi tu wa vifaa ambavyo haviondosheki/havihamishiki kwa hiyo kama kuharibu kaharibu majengo tu kitu ambacho si issue sana!!
 
Ujinga ni wako unasemaje Mazayuni yana uchumi mkubwa dhidi ya Iran wakati yenyewe ndio yanachochea Iran izidi kufirisiwa? Hakuna taifa la kishenzi dunian mashetani ambayo dunia haitakuja kupata Raha midhali yanaishi dunian
gTurn punguza kujiliza-liza na tambua kuwa Israel ni Taifa teule halijawa kuvamia/ kuipiga nchi yoyote bila nchi hiyo kuanzisha uchokozi!!

Israel ni nchi ya Amani lakini ukiichokoza cha moto utakipata.

Mfano 1967 walichokozwa
1973 wakachokizwa tena, huko Lebanon walichokozwa Oct 07,2023 walichokozwa h7ko Gaza, na sasa Iran pia wameichokoza Israel na ndiyo maana sasa hivi wanapigwa kama Ngoma tu!!!
 
Kambi za Marekani huko Mashariki ya kati zilifungwa na vifaa mhimu za kijeshi kuondolewa askari waliobaki huko ni walinzi tu wa vifaa ambavyo haviondosheki/havihamishiki kwa hiyo kama kuharibu kaharibu majengo tu kitu ambacho si issue sana!!
Unajua maana ya billion dollars wewe? Wanasema itachukua miaka kutengeneza na sio malengo tu ndege aina mbali mbali zikiwemo za kujaza mafuta
 
Mimi ni mkristo tena pentekoste.ila kwa hii vita siko upande wa israel maana haina mashiko. Kama mtu anafatilia toka mwanzo ni marekani ndio anayemsakama iran na iran alikuwa anasema kisasi chake ni kwa israel hivyo kama marekani asingemsakama iran basi israel isigepigwa
 
Mimi ni mkristo tena pentekoste.ila kwa hii vita siko upande wa israel maana haina mashiko. Kama mtu anafatilia toka mwanzo ni marekani ndio anayemsakama iran na iran alikuwa anasema kisasi chake ni kwa israel hivyo kama marekani asingemsakama iran basi israel isigepigwa
Pumbavu zako Acha kujipendekeza kwa Wakristo,

Ulivyo mjinga hata hujui sababu hasa ya vita hivyo!!

Kwa akili zako hizo wewe ni Mfuga Midevu na Majini tu!!
 
Unajua maana ya billion dollars wewe? Wanasema itachukua miaka kutengeneza na sio malengo tu ndege aina mbali mbali zikiwemo za kujaza mafuta
Kwani shida iko wapi? Dollar Billion ni kitu gani kwa nchi zinazolindwa na marekani za huko Mashariki ya kati?
 
Kwahio unajifanya hujui Kama mmoja anavikwazo kuanzia 79 mwingine ni omba omba kila kitu anawekewa mezani?

Na Sasa Mojtaba kashasema either vikwazo vyote viondolewe au kuzinesa mpaka mkubwa ajulikane nani
Hakuna nchi inayoweza kufikia hiyo hatua iliyofikia Israel kwa kuombaomba ingekuwa hivyo nchi zote zingeamua kuwa ombaomba.

Hiyo ni mikakati thabiti na sera murua pamoja na uchapa kazi uliotukuka bila kusahau teknolojia ya kisasa ambayo mataifa mengi hayana.
 
Iran dhidi ya Israel kabla hujasoma maelezo angalia ramani uone ukubwa wa Iran then ulinganishe na nchi Takatifu ya Israel!!

Mnamo 1976, Pato la Taifa la Iran lilikuwa dola bilioni 76 na la Israeli lilikuwa dola bilioni 16 — uchumi wa Iran ulikuwa karibu mara 5 zaidi.

Mnamo 2026, Pato la Taifa la Israeli lilikuwa takriban dola bilioni 700, huku la Iran likiwa karibu dola bilioni 300. Uchumi wa Israeli ni mkubwa zaidi ya mara mbili licha ya Wairani milioni 90 ikilinganishwa na Waisraeli milioni 10 pekee.

Wewe mke wa Netanyahu acha ujinga, sasa hio Israel jumlisha na Marekani utapata jibu, halafu hio Iran si ipo kwenye vikwazo ? Hio Israel bila marekani ni mboga tu mbele ya Iran acha ujinga na shobo kwa wazayuni shoga wewe
 
Kwahio unajifanya hujui Kama mmoja anavikwazo kuanzia 79 mwingine ni omba omba kila kitu anawekewa mezani?

Na Sasa Mojtaba kashasema either vikwazo vyote viondolewe au kuzinesa mpaka mkubwa ajulikane nani
Hilo shoga la Mayahudi achana nalo nafikiria wayahudi wamelioa
 
Back
Top Bottom