Wanawasubiria wapi mbona tayari Iran wapo Islamabad?
Huyo naye kachanganyikiwa, kwani wanapigana na Pakistan au kuongea na Pakistan itafanya waachiwe wauze mafuta. Wanapoteza muda tu.Wanawasubiri wapi wakati Aragachi amesema yeye hana mda wa kukaa meza moja na marekani ila anafanya mazugumzo na pakstan kisa ataendelea na safari zake kwa mzee putin
Kama unavyopoteza wewe hapaHuyo naye kachanganyikiwa, kwani wanapigana na Pakistan au kuongea na Pakistan itafanya waachiwe wauze mafuta. Wanapoteza muda tu.