Tazama jinsi Misri ilivyojenga ukuta wa tabaka saba kuwazuia Wapalestina kuvuka, Walinzi wamewekwa kumpiga risasi yeyote ataevuka.

Tazama jinsi Misri ilivyojenga ukuta wa tabaka saba kuwazuia Wapalestina kuvuka, Walinzi wamewekwa kumpiga risasi yeyote ataevuka.

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
2,495
Reaction score
7,506
Tazama jinsi Misri walivyojenga kuta zenye matabaka saba na kuweka walinzi wenye bunduki ili kuwazuia wasiiingie


 
Hawa si ndugu moja ama
Waarabu wana undugu na umoja kwenye kumshambulia Israel tu lakini nje ya hapo hawataki wapalestina wala Hezbollah kuhamia nchi zao kwasababu wanajua ni tatizo kubwa, Fikiria mtu anafurahia kujitoa muhanga utaweza kumruhusu atumie hata choo cha nyumbani kwako ?

Jordan iliwakaribisha Wapalestina na walikaribia kumpindua mfalme,

Egypt waliwahi kuwaruhusu, kilichotokea kimewafanya wajenge kuta saba

Lebanon mpaka leo wanajutia kuwaingiza, walichochea uundwaji wa Hezbollah yenye nguvu kuzidi Serikali

Wazungu wanajifanya wakarimu wa kuwaingiza, wameanza kuonja joto huko kwao,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom