MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,644
- 7,755
Asalam waleku
Wandugu waJF hapa nataka nijulishe kwamba kule china mambo yameenda ndivyo sivyo.
Kwa maana mapatano ya ajenda zote yapo PENDING
Kwa hali ilikuwa kwamba ni mbinu za kimkakati ziliandaliwa kuingia na devices zao kuiba some information na kuzi export kwenye mashine zao ila ngoma iligonga mwamba walipewa device zingine kwa ajili ya matumizi ya hapo china .
Na baada ya hapo zao ziliwekwa kwenye mifuko maalum zinazozuia kufanya chochote na kuachwa kwenye ndege.
Marekani nao wakaona licha kutupa kwenye mapipa device walizopewa kutumia waliamua hata zawadi zao walizopewa kuzitupa kwenye mapipa hayo.
Hii ina maanisha kwamba kila mmoja hitaji lake halikukamilika .(mission paralised)
Wandugu waJF hapa nataka nijulishe kwamba kule china mambo yameenda ndivyo sivyo.
Kwa maana mapatano ya ajenda zote yapo PENDING
Kwa hali ilikuwa kwamba ni mbinu za kimkakati ziliandaliwa kuingia na devices zao kuiba some information na kuzi export kwenye mashine zao ila ngoma iligonga mwamba walipewa device zingine kwa ajili ya matumizi ya hapo china .
Na baada ya hapo zao ziliwekwa kwenye mifuko maalum zinazozuia kufanya chochote na kuachwa kwenye ndege.
Marekani nao wakaona licha kutupa kwenye mapipa device walizopewa kutumia waliamua hata zawadi zao walizopewa kuzitupa kwenye mapipa hayo.
Hii ina maanisha kwamba kila mmoja hitaji lake halikukamilika .(mission paralised)