Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
Viwanda vya ulinzi vya Israeli vinajitahidi kuzuia ndege mpya zisizo na rubani za Hezbollah zenye hatari - na baadhi ya suluhisho zinasikika kama hadithi za kisayansi.

Miongoni mwa teknolojia zinazojaribiwa sasa ni mifumo ya sumakuumeme iliyoundwa kukamata ndege zisizo na rubani kutoka angani, mifumo ya hali ya juu ya kuzuia, na ulinzi mpya unaotegemea nishati.

Hii ni Israeli ya kisasa:

Nchi iliyozungukwa na vitisho vinavyobadilika, inayolazimishwa kila mara kubuni kwa kasi zaidi kuliko maadui zake ili tu kuwalinda watu wake.

IMG_5359.jpeg
 
Viwanda vya ulinzi vya Israeli vinajitahidi kuzuia ndege mpya zisizo na rubani za Hezbollah zenye hatari - na baadhi ya suluhisho zinasikika kama hadithi za kisayansi.

Miongoni mwa teknolojia zinazojaribiwa sasa ni mifumo ya sumakuumeme iliyoundwa kukamata ndege zisizo na rubani kutoka angani, mifumo ya hali ya juu ya kuzuia, na ulinzi mpya unaotegemea nishati.

Hii ni Israeli ya kisasa:

Nchi iliyozungukwa na vitisho vinavyobadilika, inayolazimishwa kila mara kubuni kwa kasi zaidi kuliko maadui zake ili tu kuwalinda watu wake.

View attachment 3593061
Hizo ndoto za Echolima1 kwa hio unauhakika atazitungua hahaha unanikubusha na ujinga ulio leta siku za nyuma kudai Israel ana Iron beam ziko wapi afu umesikia leo Israel kakiri Iran alizidestroyed base zake zote na kwanza alikuwa anadai hakuna alicho piga Iran.
 
Habari zenyewe ananukuu kutoka PressTv inayo milikiwa na Magaidi wa Iran!!

Unategemea nini ukitegemea habari za kutoka kwa Magaidi w PressTv na Magaidi wa Hezbollah?
Hahaha hio channel Al Arab ipo against Iran nimekuwekea habari na nikaweka habari pia kutoka Al Mayadeen ambayo ni ya Lebanon ambayo hio ndio ina support Iran nimeweka 1 against na 1 inayo support. Wapi nimeweka Press tv

Haya nakuwekea zingine


View: https://youtube.com/shorts/mY1I7MZIcDU?si=dPGyd2pnHHHgyJro

View: https://youtube.com/shorts/2sxvlJqXLh4?si=zXZKXfFtaQhx-7Je

Israel anashambuliwa na drones za Hezbullah mpaa kwake sasa we endelea kuleta kanga za Tela Aviv hapa


View: https://youtu.be/NiilPCMaClY?si=AbjsHbgbNop17yGu
 
Hahaha hio channel Al Arab ipo against Iran nimekuwekea habari na nikaweka habari pia kutoka Al Mayadeen ambayo ni ya Lebanon ambayo hio ndio ina support Iran nimeweka 1 against na 1 inayo support. Wapi nimeweka Press tv

Haya nakuwekea zingine


View: https://youtube.com/shorts/mY1I7MZIcDU?si=dPGyd2pnHHHgyJro

View: https://youtube.com/shorts/2sxvlJqXLh4?si=zXZKXfFtaQhx-7Je

Israel anashambuliwa na drones za Hezbullah mpaa kwake sasa we endelea kuleta kanga za Tela Aviv hapa


View: https://youtu.be/NiilPCMaClY?si=AbjsHbgbNop17yGu

Channel yeyewe ya Propaganda za Waarabu/Waislamu unategemea nini hasa wanapobondwa na Israel? Kwa ujumla gawawezi kukuambia Ukweli wewe Mwarabu-Koko!!
 
Echolima1 akishashiba magimbi anakuja mbio kudanganya watu umu kageuza apa kijiwe chake cha kaawa!!!😜😜
 
Waisrael wenyewe wanaogopa Vita baada ya kuona Hezbollah inatumia Technology kubwa kuwadhidi!! Kwasasa Israel inatumia ma proo kutoka Colombia Mexico nk.

Israel kwishaaaaa kwasasa. Ndiomana Netanyahu anaogopa mgogoro ukisha !!

uku Iran bado inanguvu kubwa ni hatari kubwa kwao!!!

Uko mbele itakuwa Iran tu anajibutulia tu.

Na Israel itaufyata kimyaaa.
 
Waisrael wenyewe wanaogopa Vita baada ya kuona Hezbollah inatumia Technology kubwa kuwadhidi!! Kwasasa Israel inatumia ma proo kutoka Colombia Mexico nk.

Israel kwishaaaaa kwasasa. Ndiomana Netanyahu anaogopa mgogoro ukisha !!

uku Iran bado inanguvu kubwa ni hatari kubwa kwao!!!

Uko mbele itakuwa Iran tu anajibutulia tu.

Na Israel itaufyata kimyaaa.
Ndoto za Mwendawazimu hizo!!!!
 
Back
Top Bottom