International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Nchi za kusini mwa jangwa la Sahar mpaka sasa ndio zimebaki chini ya ukoloni mamboleo na hawajaonesha dhamira ya kuachana na ukoloni huo. Eneo hilo lenye utajiri mkubwa unaokodolewa macho na...
8 Reactions
12 Replies
849 Views
Profesa Luciano Zaccara wa chuo kikuu huko Qattar amesema kuvukwa kwa mstari mwekundu na Israel huko Gaza hakuna athari yoyote. Matamko yote yaliyotolewa na umoja wa mataifa na jumuiya kadhaa...
3 Reactions
16 Replies
845 Views
1. UTANGULIZI Sheria za vita, zinazojulikana kama International Humanitarian Law (IHL), ni kanuni zinazodhibiti mwenendo wa vita na migogoro ya silaha ili kulinda raia na wahanga wa vita. Sheria...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya Israel kuacha kuwashambulia majeshi ya magaidi wa Hezboullah magaidi hao wameibuka tena kwa kuishambulia Israel na bila kupita majeshi ya Israel yamejibu mapigo kwa ngumu sana huko...
4 Reactions
58 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa BBC Kwa nini Leopard 2? Kifaru cha Leopard ndicho chaguo bora kwa Ukraine, kwani ndicho kinachotumika sana na kimeenea zaidi kati ya nchi za Ulaya ambazo ni wanachama wa NATO...
11 Reactions
21 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Naona waarabu wameanza kutambua kuwa vita vinavyoendelea huko Gaza wake itakuwa na matokeo mabaya ya kufutika kizazi cha Wapalestina Rais wa Mamlaka ya Palestine ( PA)...
7 Reactions
94 Replies
3K Views
Baada ya majeshi ya Israel kuingia tena Gaza sasa hivi yameweza kushikilia maeneo mbalimbali bila upinzani wowote kutoka kwa wale vibaka waliokuwa wanavaa Combat kipindi cha ubadirishanaji wa...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Muslims living with Hindus = Problem. Muslims living with Buddhists = Problem. Muslims living with Christians = Problem. Muslims living with Jews = Problem. Muslims living with Sikhs = Problem...
54 Reactions
97 Replies
4K Views
Majeshi ya Marekani yamewaambia askari wa Israel wasijishughulishe na Magaidi wa Houthi badala yake wao Marekani wako tayari kuwanyoosha magaidi hao. Hayo yamejiri baada ya Wahouthi kuzidi...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu, Habari ndio hiyo, Waasi wa M23 wanaelekea Bukavu mji mkuu wa jimbo la Sud Kivu baada ya kuuteka mji mkuu wa Nord Kivu wa Goma. ================================================== The...
5 Reactions
348 Replies
14K Views
Aliyekuwa mlinzi binafsi wa Gaidi aliyeuwawa YAHYA SINWAR naye ameuwawa na jeshi la anga la Israel baada ya kushambulia maficho yake huko Gaza. Ikumbukwe tu kuwa YAHYA SINWAR ndiye alikuwa...
11 Reactions
29 Replies
2K Views
Wafuga Midevu watu wa ajabu sana Oct 07,2023 walikuwa wanasherehekea sana kwa kuua watu wasio na hatia, Juzi tena alionekana Sheikh huyu akicheza mbele za maiti za watoto Ariel na Kfir familia ya...
1 Reactions
2 Replies
228 Views
Wadau hamjamboni nyote Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Times of Israel A very senior Houthi official was eliminated in overnight US airstrikes in Sanaa, the Saudi Al Hadath network...
7 Reactions
12 Replies
843 Views
Amani kwenu wakuu Iran kashasoma nyakati yupo kama hayupo na mimi pia namwombea akae kwa kutulia hivyo hivyo, maana wale wababe wa Dunia wana mtafuta kwa nguvu nyingi sana Anapitia majaribu...
2 Reactions
5 Replies
553 Views
IDF muda mfupi uliopita imemuua gaidi mkuu wa Hamas Ismail Barhoum ndani ya Hospitali ya Nasser huko Khan Younis, kusini mwa Gaza. Kulingana na ripoti za ndani, ndege isiyo na rubani ya IDF...
5 Reactions
11 Replies
814 Views
Kwa zaidi ya miaka 70 sasa Waisrael wamekuwa wakiwanyanyasa sana na kuwaua. Huko Gaza na West Bank, Waisrael wanawaua kila siku. Gaza huko Waisrael wanadhibiti karibu huduma zote za msingi...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Mia Love, mbunge wa kwanza mwanamke mweusi wa chama cha Republican nchini Marekani amefariki akiwa na umri wa miaka 49 huko Utah, imetangaza familia yake. Taarifa hiyo imesema, aliaga dunia kwa...
0 Reactions
1 Replies
406 Views
Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa wiki sita yalianza kutekelezwa Januari, lakini Israeli ilianzisha tena mashambulizi yake wiki iliyopita, ambapo mamia ya Wapalestina wameuawa tangu wakati...
2 Reactions
1 Replies
304 Views
FaizaFoxy Hivi wale vijana machachari wa Hezbollah waliendaga wapi? Wamebaki wala Mirungi wa Houthis ndio wanasumbua sumbua. Hezbollah hata online hawaonekani Hamas wamesalitiliwa na kila mtu 😅...
10 Reactions
10 Replies
770 Views
Naipongeza Serikali ya Rwanda kuona mbali na kuweka utaratibu mzuri wa makanisa, Misikiti na taasisi za dini Rwanda imefungia zaidi ya makanisa 600, Kabla walipiga marufuku matumizi ya azana Kwa...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Back
Top Bottom